Kama anakubalika huko kanda ya ziwa kwanini 2020 hakwenda kugombea ubunge huko?Wamemteua Kwa Ajili ya kupata kura za Kanda ya Ziwa sambamba na Biteeko na hizo unazosema mapungufu ndio sifa za watu wa huko Wasukuma Bado wanazihusudu ukitoa Kagera.
Kwa hiyo Kwa muda huu wa kupelekea kwenye uchaguzi hue da zikawapa nafasi but naona is too early yaani angeteuliwa mwakani.
Mwisho Kwa tamaa ya upigaji huyo ni namba Moja.
Sikubaliani na mtazamo wako ila yakija kutokea kulingana na mtazamo, nitakuwa radhi kutengua kauli yangu hiiMakonda atakua amejifunza mengi kwa hiyo miaka 3 ya kukaa bench, siku ukipata tatizo la kukosa kazi au kesi mahakani au kuenda jela, au kulazwa kwa mda mrefu ndo mda wakujifunza na kujua binaadamu walivyo.
Utakuja kuona ragi zote za hao viumbe hasa ndugu zako na marafiki zako au unao waita comrades. Nina wakika makonda this time atakua best politician kwasbb amesahisha makosa yake na kujua nyoyo za watu, ule ushamba ubabe ulimbukeni tamaa za mali ameziacha anaanza upya maisha ya kisiasa.
Ina maana marekani nao ni wazushi?Zinabaki kuwa rumors tu,kati ya waliotendwa wameshindwa kwenda mahakamani na makonda akiwa hana nafasi yoyote serikalini,hana Godfather,hebu fikiri mara mbili kabla ya kuleta upuuzi wako hadharani
Shida sio uzuri wa hao vijana wa ccm, bali ukweli ni kuwa ccm kama chama sio chama Cha kizazi hiki, hivyo hakivutii kizazi hiki kwa ushawishi wa hoja za kisiasa. Kwahiyo namna ya kubaki madarakani kwa shuruti ni lazima watumie hao wahalifu kuhakikisha kinabaki madarakani.Hapana kwenye hoja wapo bora zaidi kumzidi.
CCM ina vijana wazuri wamemaliza vyuo na nawajua wapo vizuri sana. Ni wao kupewa nafasi na kuwa groomed vizuri tu.
Watu waende mahakama zipi kwenda kushitaki waliofanya uovu kwa backup ya utawala? Mahakama hizihizi zenye kesi za kina Mdee mwaka wa tatu huu na ushahidi wote upo. Hakuna namna utamshitaki Makonda kisha Magufuli aache kuwa sehemu ya maagizo wa uovu huo. Labda kama ni mahakama ya kimataifa , au za nje ya nchi hii.Zinabaki kuwa rumors tu,kati ya waliotendwa wameshindwa kwenda mahakamani ,na makonda akiwa hana nafasi yoyote serikalini,hana Godfather,hebu fikiri mara mbili kabla ya kuleta upuuzi wako hadharani
Unajua huko juu wenyewe udanganyana na kutiana moyo kuwa hayo wanayoyasema usijali wewe piga kazi, akipewa hiyo kauli na Rais tayari ni Rungu kwake.Makonda atakua amejifunza mengi kwa hiyo miaka 3 ya kukaa bench, siku ukipata tatizo la kukosa kazi au kesi mahakani au kuenda jela, au kulazwa kwa mda mrefu ndo mda wakujifunza na kujua binaadamu walivyo.
Utakuja kuona ragi zote za hao viumbe hasa ndugu zako na marafiki zako au unao waita comrades. Nina wakika makonda this time atakua best politician kwasbb amesahisha makosa yake na kujua nyoyo za watu, ule ushamba ubabe ulimbukeni tamaa za mali ameziacha anaanza upya maisha ya kisiasa.
Mkuu Lord denning , you might be right kwenye yote hayo, ila human beings are not static, they are dynamics and hence, they change with time. Kwa mapito aliyoyapitia amejifunza humility, he will be the best of the best!.
Ili kumjua vizuri, anzia hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Kisha Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Akawa RC wa DSM na akafanya makubwa ikiwa ni pamoja na kupitishwa kwenye tanuri la moto kupikwa akaiva kisawasawa
Kwa wale mnaopenda kujua mapito aliyo yapita karibuni pande hizi
Najua kuna watu bado hawaamini hili linawezekana, naomba kuwathibitishia, lisilo wezekana kwa binadamu, kwa Mungu linawezekana!.
P
Semeni nyie wana cccm. Wengine wakisema wanaambiwa ni NongwaNiliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.
Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.
kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe
1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.
2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.
3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.
4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola
Swali langu
Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?
Wakati utaongea!
Raisi inamhitaji hasa hiki kipindi cha 2025 OCT baada ya hapo lazima mtu sahihi wa kwao atawekwa tu,Unajua huko juu wenyewe udanganyana na kutiana moyo kuwa hayo wanayoyasema usijali wewe piga kazi, akipewa hiyo kauli na Rais tayari ni Rungu kwake.
Kwamba tujipe moyo ata change? Kwani i umpe mafasi mtu anayetiliwa mashaka ndio kusema hakuna watu wasafi ktk ccm nzima?Mkuu @Lord denning , you might be right kwenye yote hayo, ila human beings are not static, they are dynamics and hence, they change with time. Kwa mapito aliyoyapitia amejifunza humility, he will be the best of the best
Sasa Makonda si atakuwa mnyonge kama akiujua huu ukweli?Raisi inamhitaji hasa hiki kipindi cha 2025 OCT baada ya hapo lazima mtu sahihi wa kwao atawekwa tu,
Kura za uchaguzi ujao hazitegemi Kanda ya Ziwa; zinategemea Bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026 itakayosomwa Julai 2025.Wamemteua Kwa Ajili ya kupata kura za Kanda ya Ziwa sambamba na Biteeko na hizo
Anaonekana ni mtu muhimu sanaAjaingia ofisini watu presha juu.
Yote hayo si kitu. Dosari kubwa ya Makonda ni kuteka na kuua. Huyu ana mkono wake kwa kupotea kwa Ben Saanane pamoja na kurekwa kwa akina Roma Mkotoliki, MoDewji nk.Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.
Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.
kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe
1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.
2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.
3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.
4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola
Swali langu
Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?
Wakati utaongea!
Kwahiyo mamako huyu hangaya ni katili?Si Kila mtu anaweza kutekeleza mambo ya kikatili, lakini Makonda anaweza. Hivyo amerudishwa ili awe eneo la kitengo Cha ukatili. Ccm wanajua fika hawana uwezo wa kushinda kwa njia halali tu, hivyo mtu mwenye uthubutu wa kufanya ukatili ni muhimu sana kwao.
Kuna ushahidi mwingi wa wazi hasa wakati wa chaguzi, ccm hutumia sana wahalifu kudhuru wapinzani, na mambo haya hufanywa kwa uratibu wa vyombo vya Dola. Makonda atakuwa sehemu ya kitengo hiki Cha uhalifu wakati wa uchaguzi, na Sabaya naye atarudishwa maana wao huona sifa sana kutumiwa katika uovu.
Taja wawili tuoneHapana kwenye hoja wapo bora zaidi kumzidi.
CCM ina vijana wazuri wamemaliza vyuo na nawajua wapo vizuri sana. Ni wao kupewa nafasi na kuwa groomed vizuri tu.