Wamfanye mara ngapi mkuu?"Uliwahi kusikia vyombo vya dola vilimwambia amtoe Makonda akagoma kwa sababu anampenda "
"Unadhani Makonda kwa atakuwa Liability kwa Rais Samia"
Wewe ni IDIOT,acha majungu watakugomola au kuku sodomize ukiendelea na hii tabia
Nani siyo mpigaji huko ccmWamemteua Kwa Ajili ya kupata kura za Kanda ya Ziwa sambamba na Biteeko na hizo unazosema mapungufu ndio sifa za watu wa huko Wasukuma Bado wanazihusudu ukitoa Kagera.
Kwa hiyo Kwa muda huu wa kupelekea kwenye uchaguzi hue da zikawapa nafasi but naona is too early yaani angeteuliwa mwakani.
Mwisho Kwa tamaa ya upigaji huyo ni namba Moja.
Kiswahili hukijui?Unamaanisha nini?
Mkishindwa kwenye hoja mnakimbilia matusi. Mnasikitisha sanaWamfanye mara ngapi mkuu?
Huyu kipindi kile cha uchaguzi wa 2020 alikuwa anajitapa kwamba Lisu asipotamgazwa rais atabeba madumu ya petrol kwenda kulipua sehemu mbalimbali hapa nchini.
Ila shangaa leo hii ni shabiki wa Hangaya. Yule aliesema hata mkipiga kura kwingine ccm atatangazwa mshindi.
Amemchukua Makonda ili amsaidie kufanya ukatili aliokuwa anafanya kipindi Cha dhalimu.Kwahiyo mamako huyu hangaya ni katili?
Kwahiyo mama ni dhalimu?Amemchukua Makonda ili amsaidie kufanya ukatili aliokuwa anafanya kipindi Cha dhalimu.
Mbona hizo ni sifa za CCM kabisa,na Makonda amelelewa katika misingi hiyohiyo ya dhuruma.Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.
Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.
kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe
1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.
2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.
3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.
4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola
Swali langu
Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?
Wakati utaongea!
Nitajie Kiongozi wa ngazi za Juu CCM ya sasa ambaye hana tamaa ya Mali na ni masikini kama akina Mzee Kawawa na Mwalimu Nyerere.Makonda atakua amejifunza mengi kwa hiyo miaka 3 ya kukaa bench, siku ukipata tatizo la kukosa kazi au kesi mahakani au kuenda jela, au kulazwa kwa mda mrefu ndo mda wakujifunza na kujua binaadamu walivyo.
Utakuja kuona ragi zote za hao viumbe hasa ndugu zako na marafiki zako au unao waita comrades. Nina wakika makonda this time atakua best politician kwasbb amesahisha makosa yake na kujua nyoyo za watu, ule ushamba ubabe ulimbukeni tamaa za mali ameziacha anaanza upya maisha ya kisiasa.
Hii ni mikakati ya Uchaguzi wa serikali za mitaa;..hata mimi nimeshangaa.
..hivi Maza kafukuza kazi watu wote wa kitendo cha vetting?
..anamteuaje Makonda? Nani kamshauri?
Hizo za kuonga Ili umuone Rais, January Makamba pia kala sana kipindi cha JK.Kwa niliyoyasikia kwa wahusika waliokutana na dhahama ya Makonda, upo sahihi kabisa.
Alipokuwa RC, watu waliokuwa wanataka kumwona Magufuli kwa yeye kuwafanyia appointment aluwatoza milioni 200 mpaka 400. Baba yake akihitaji hela au yeye akihisi anataka kumpa hela, aliwaamrisha baadhi ya wafanyabiashara wampe pesa baba yake. Na mara nyingi ilikuwa kati ya milioni 20 mpaka 40.
Kwa ujumla, ni kwa sababu tu katika nchi, waovu ndiyo wanaongoza nchi. Ingekuwa ni zile nchi ambazo mtu kuwa kiongozi ni lazima awe mwadilifu, Makonda asingeweza kuwa hata mtendaji wa kijiji.
Kama Kinana alitajwa kuwa ndiye Jangili namba moja wa kuangamiza Tembo wetu lakini sasa ndiyo Makamu Mwenyekiti wa CCM.Sasa shida nini Muhuni Makonda kupewa cheo kizito CCM.Wakati utaongea
Samia kafanya kazi kubwa sana kurudisha trust kwa wawekezaji ambao walikata tamaa kwa kuporwa fedha zao na kuteswa na vikundi visivyo rasmi ikiwemo alivyoviongoza huyu huyu Makonda.
Kwa kumrudisha Makonda inaweza zua hofu kubwa sana kwa hawa watu kiasi wakaanza kufikiria kutoa fedha zao ambazo wameziachia sana kwenye uchumi wa nchi.
Tuone itakuwaje
Yaani watu wanaangaika na CCM kumteua Makonda utadhani wale wote waliomo ndani ya CCM ndiyo wasafi wakati wote Wahuni tu.Sasa mule CCM nani ni asset!,Wabunge wao tu ni kituko cha Karne![emoji1787][emoji1787]Hayatuhusu,
Kama ni LIABILITY Kwa chama chake, DP World watalipia deni Hilo!!
Jamaa si Mpambe wa Mama Abdul,anajiona anaijua CCM kumbe haijui.CCM ni chama Dola na siasa zake haziwezi kuwa soft kwenye Uchaguzi!Si Kila mtu anaweza kutekeleza mambo ya kikatili, lakini Makonda anaweza. Hivyo amerudishwa ili awe eneo la kitengo Cha ukatili. Ccm wanajua fika hawana uwezo wa kushinda kwa njia halali tu, hivyo mtu mwenye uthubutu wa kufanya ukatili ni muhimu sana kwao.
Kuna ushahidi mwingi wa wazi hasa wakati wa chaguzi, ccm hutumia sana wahalifu kudhuru wapinzani, na mambo haya hufanywa kwa uratibu wa vyombo vya Dola. Makonda atakuwa sehemu ya kitengo hiki Cha uhalifu wakati wa uchaguzi, na Sabaya naye atarudishwa maana wao huona sifa sana kutumiwa katika uovu.
sasaivi hana backup ya jiwe, akileta ujinga watamkamua kamasi pusi asiye na adabu huyo. yeye mwenyewe analijua hilo.Niliwahi sikia kuwa vyombo vya dola vilimwambia Magufuli amuondoe Makonda ila yeye tu aligomaga kutokana na kumpenda sana.
Kwa nafasi mpya aliyoteuliwa na Chama chake nina uhakika mwenyekiti wake ajipange kuletewa kila siku taarifa zinazotokana na mapungufu yake.
kwa niliyowahi kusikia huko nyuma haya ndo mapungufu ya makonda yaliyofanya vyombo vya dola kupendekeza kwa Magufuli amuondoe
1. Ana tamaa kubwa sana ya pesa na mali kiasi anaweza kumfanya mtu chochote kile ile apate pesa au mali.
2. Ana hulka ya ubabe na kupenda kutumia nguvu kiasi anaweza kumuumiza mtu ili tu afanikishe lengo lake.
3. Hana nidhamu wala adabu. Anaamini katika nguvu za aliye juu yake tu anayemlinda. Mtu kama huyu hafai kufanya kazi katika mifumo thabiti ya uwajibikaji na utendaji.
4. Ni mtu anayeamini kutengeneza mifumo nje ya mifumo halali ya nchi katika kutimiza malengo yake. Amewahi kutengeneza vikundi vilivyokuwa vikifanya kazi chafu hadi kusababisha Rais wa nchi kukosana na vyombo vya dola
Swali langu
Je waliomteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi wanajua hizi changamoto zake? Hawakuuliza hata kwenye vyombo vya dola?
Wakati utaongea!
Wafunde siasa za CCM hao vijana,shida wanamtazama Makonda kwa jicho la chuki lakini yule jamaa ana kipawa cha uongozi,anatakiwa aendelee kufundwa;ana uwezo ata wa kuwa Rais,Makamu au Waziri Mkuu.Mkuu Lord denning , you might be right kwenye yote hayo, ila human beings are not static, they are dynamics and hence, they change with time. Kwa mapito aliyoyapitia amejifunza humility, he will be the best of the best!.
Ili kumjua vizuri, anzia hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Kisha Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Akawa RC wa DSM na akafanya makubwa ikiwa ni pamoja na kupitishwa kwenye tanuri la moto kupikwa akaiva kisawasawa
Kwa wale mnaopenda kujua mapito aliyo yapita karibuni pande hizi
Najua kuna watu bado hawaamini hili linawezekana, naomba kuwathibitishia, lisilo wezekana kwa binadamu, kwa Mungu linawezekana!.
P
Ana umuhimu gani mtu anayechukiwanna Nchi nzima? Chawa wachache mliolipwa ndio mna mpa moyp wa uongoAnaonekana ni mtu muhimu sana
Mbona wao USA hawajamsafisha Bush na mauaji ya raia wema wa Irak kwasababu za kubumba kuwa Sadam ana silaha za kemikali kumbe uwongo.Not that idiot; na wewe pascal you need to stop your hypocrite behavior.
Before you defend his appointment, you need to clear him of the allegations leveled against him by the USA government.
Otherwise we shall continue to believe that the ruling party is there to protect killers and thieves.
Mkuu ni shida,kuna watu wameanza kufuatilia siasa za CCM juzi.Nitajie kiongozi mmoja tu huko ccm ambae hana tabia hizi ulizosema anazo Makonda!?