Kwa haya tunayofanyiana Waafrika nakuja kuona hotuba ya P.W. Botha ilikuwa ina mashiko kwa kiasi fulani

Kwa haya tunayofanyiana Waafrika nakuja kuona hotuba ya P.W. Botha ilikuwa ina mashiko kwa kiasi fulani

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Although Botha alikuwa ni mbaguzi juu ya watu weusi South Africa lakini zaidi ya miaka 30 baadae unakuja kuona alikuwa sahihi katika baadhi ya vipengele katika hotuba yake.

Baadhi ya vipengele vya hotuba yake:

"Watu weusi hawawezi kujitawala kwa sababu hawana akili na uwezo wa kifikra wa kutawala jamii ... Wape bunduki watauana; Wapeni madaraka wataiba pesa zote za serikali; Wape uhuru na demokrasia wataitumia kuendeleza ukabila, ubaguzi, chuki, mauaji na vita!”

"Kwa sasa kila mmoja wetu ameona kwa vitendo kwamba Weusi hawawezi kujitawala wenyewe. Wape bunduki na watauana. Hawafai kitu kingine isipokuwa kufanya kelele, kucheza, kuoa wake wengi na kujiingiza katika ngono. Sote tukubali kwamba Mtu Mweusi ni ishara ya umaskini, unyonge wa kiakili, uvivu na uzembe wa kihisia"

My take: Nadhani hakuna mtu anaehitaji more explanation, yamejitosheleza kabisa. Kwa asilimia kubwa sisi ni mizigo.
 
Alikuwa sahihi kwenye hayo maelezo, Maana kuna wajinga wanaambiwa flani alihusika kuteka badala ya kusikitikia mambo haya anaanza kuitetea!Unajiuliza Angetekwa Mama yake au mjomba wake,wakamwambia muuzaji ni kimwakaleli,angeendea kunisapoti?Upumbavu kabisa.
 
Alikuwa sahihi kwenye hayo maelezo, Maana kuna wajinga wanaambiwa flani alihusika kuteka badala ya kusikitikia mambo haya anaanza kuitetea!Unajiuliza Angetekwa Mama yake au mjomba wake,wakamwambia muuzaji ni kimwakaleli,angeendea kunisapoti?Upumbavu kabisa.
Nakuambia fiuzi ya humility kwa watu weusi ilisha katika
 
hayo yakwetu vipi WW1 na WW2 alileta muafrika..?
utumwa nakuligawa bara letu ktk nchi navyo alifanya muafrika..?
vita vinavyolindima huko mashariki yakati,ugaidi na utengenezaji wa siraha za nyuklia navyo ni vya muafrika!.
nafikiri kila mmoja anatakiwa ajikomboe pale alipo,wakoloni waliacha athari kadha wa kadha hapa africa ni mambo ambayo bado yanatutafuna pia!.
wao walileta shule lkn hizo shule zilikuwa na ubaguzi pia hawakusoma watu wote walisoma watoto wao!.

sidhani kama kuna msafi hapa sote madunduka tu..🤣
 
hayo yakwetu vipi WW1 na WW2 alileta muafrika..?
utumwa nakuligawa bara letu ktk nchi navyo alifanya muafrika..?
vita vinavyolindima huko mashariki yakati,ugaidi na utengenezaji wa siraha za nyuklia navyo ni vya muafrika!.
nafikiri kila mmoja anatakiwa ajikomboe pale alipo,wakoloni waliacha athari kadha wa kadha hapa africa ni mambo ambayo bado yanatutafuna pia!.
wao walileta shule lkn hizo shule zilikuwa na ubaguzi pia hawakusoma watu wote walisoma watoto wao!.

sidhani kama kuna msafi hapa sote madunduka tu..🤣
Madunduka:
Mzungu 35pcnt
Mweusi 65pcnt
 
hayo yakwetu vipi WW1 na WW2 alileta muafrika..?
utumwa nakuligawa bara letu ktk nchi navyo alifanya muafrika..?
vita vinavyolindima huko mashariki yakati,ugaidi na utengenezaji wa siraha za nyuklia navyo ni vya muafrika!.
nafikiri kila mmoja anatakiwa ajikomboe pale alipo,wakoloni waliacha athari kadha wa kadha hapa africa ni mambo ambayo bado yanatutafuna pia!.
wao walileta shule lkn hizo shule zilikuwa na ubaguzi pia hawakusoma watu wote walisoma watoto wao!.

sidhani kama kuna msafi hapa sote madunduka tu..🤣
Sawa hakuna msafi,kwa hiyo unaona uchafu ndio tuuendekeze?Vizazi havitaisha Dunia hii kama wewe ni mwanangu urithi umeukosa sio kwa akili hiyo ya mirembe jazz.
 
Tena kama Tz ndo tunatia aibu...hata majirani zetu wa Kenya wanatuzidi Sana kifikra
Tazama wabongo wapo Bize na Simba na Yanga...wanaficha ujinga na uwezo wao kwakupiga Soga za Simba na Uyanga.
Yaani tumekuwa wajinga kuanzia Juu mpaka Chini.
Ukiwa unaijua Simba na Yanga basi unaonekana We ndo mjanjaa wa Mjini na wapo hata walio enda mbali Kwa kutegemea hizi Timu katika kujingiizia kipato Kikubwa sanaaa kwasababu ya pesa za wajinga kweli...
Acha tuwe wajinga na Maskini maisha yetu yotee
 
Tena kama Tz ndo tunatia aibu...hata majirani zetu wa Kenya wanatuzidi Sana kifikra
Tazama wabongo wapo Bize na Simba na Yanga...wanaficha ujinga na uwezo wao kwakupiga Soga za Simba na Uyanga.
Yaani tumekuwa wajinga kuanzia Juu mpaka Chini.
Ukiwa unaijua Simba na Yanga basi unaonekana We ndo mjanjaa wa Mjini na wapo hata walio enda mbali Kwa kutegemea hizi Timu katika kujingiizia kipato Kikubwa sanaaa kwasababu ya pesa za wajinga kweli...
Acha tuwe wajinga na Maskini maisha yetu yotee
Tuchane mkuu.
 
Tena kama Tz ndo tunatia aibu...hata majirani zetu wa Kenya wanatuzidi Sana kifikra
Tazama wabongo wapo Bize na Simba na Yanga...wanaficha ujinga na uwezo wao kwakupiga Soga za Simba na Uyanga.
Yaani tumekuwa wajinga kuanzia Juu mpaka Chini.
Ukiwa unaijua Simba na Yanga basi unaonekana We ndo mjanjaa wa Mjini na wapo hata walio enda mbali Kwa kutegemea hizi Timu katika kujingiizia kipato Kikubwa sanaaa kwasababu ya pesa za wajinga kweli...
Acha tuwe wajinga na Maskini maisha yetu yotee
Hahahha hakika mkuu
 
Although Botha alikuwa ni mbaguzi juu ya watu weusi South Africa lakini zaidi ya miaka 30 baadae unakuja kuona alikuwa sahihi katika baadhi ya vipengele katika hotuba yake.

Baadhi ya vipengele vya hotuba yake:

"Watu weusi hawawezi kujitawala kwa sababu hawana akili na uwezo wa kifikra wa kutawala jamii ... Wape bunduki watauana; Wapeni madaraka wataiba pesa zote za serikali; Wape uhuru na demokrasia wataitumia kuendeleza ukabila, ubaguzi, chuki, mauaji na vita!”

"Kwa sasa kila mmoja wetu ameona kwa vitendo kwamba Weusi hawawezi kujitawala wenyewe. Wape bunduki na watauana. Hawafai kitu kingine isipokuwa kufanya kelele, kucheza, kuoa wake wengi na kujiingiza katika ngono. Sote tukubali kwamba Mtu Mweusi ni ishara ya umaskini, unyonge wa kiakili, uvivu na uzembe wa kihisia"

My take: Nadhani hakuna mtu anaehitaji more explanation, yamejitosheleza kabisa. Kwa asilimia kubwa sisi ni mizigo.
Huo ni mtazamo wako mkuu Nikupe mfano Kongo vita vinaendelea kila kukicha Kuna watu wa UN ambao wao kazi yao ni kulinda usalama sasa badala ya kulinda wanaiba rasilimali kama madini na vitu vya thamani vingi kwakuwa tu hawakaguliwi..Kwahio kwa picha nyepesi ni kuwa shida haipo Kongo TU ,hata wazungu wanachangia .

Nakukosoa mtizamo wako kwasababu haya matatizo yapo Kila mahali tunapotufautiana na wenzetu ni ule uwezo(uharaka) wa kutatua matatizo yanayojitokeza
 
Sawa hakuna msafi,kwa hiyo unaona uchafu ndio tuuendekeze?Vizazi havitaisha Dunia hii kama wewe ni mwanangu urithi umeukosa sio kwa akili hiyo ya mirembe jazz.
"nafikiri kila mmoja anatakiwa ajikomboe pale alipo"

hiyo sentence uliiona ama ulikuwa unasoma kwa Tigo.?
 
Back
Top Bottom