Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mweusi au mweupe?Although Botha alikuwa ni mbaguzi juu ya watu weusi South Africa lakini zaidi ya miaka 30 baadae unakuja kuona alikuwa sahihi katika baadhi ya vipengele katika hotuba yake.
Baadhi ya vipengele vya hotuba yake:
"Watu weusi hawawezi kujitawala kwa sababu hawana akili na uwezo wa kifikra wa kutawala jamii ... Wape bunduki watauana; Wapeni madaraka wataiba pesa zote za serikali; Wape uhuru na demokrasia wataitumia kuendeleza ukabila, ubaguzi, chuki, mauaji na vita!”
"Kwa sasa kila mmoja wetu ameona kwa vitendo kwamba Weusi hawawezi kujitawala wenyewe. Wape bunduki na watauana. Hawafai kitu kingine isipokuwa kufanya kelele, kucheza, kuoa wake wengi na kujiingiza katika ngono. Sote tukubali kwamba Mtu Mweusi ni ishara ya umaskini, unyonge wa kiakili, uvivu na uzembe wa kihisia"
My take: Nadhani hakuna mtu anaehitaji more explanation, yamejitosheleza kabisa. Kwa asilimia kubwa sisi ni mizigo.
Germany amefight WW1na WW2 na bado ana maendeleo kuliko sisi we've never even experienced an economic crisis ila bado hatujiwezihayo yakwetu vipi WW1 na WW2 alileta muafrika..?
utumwa nakuligawa bara letu ktk nchi navyo alifanya muafrika..?
vita vinavyolindima huko mashariki yakati,ugaidi na utengenezaji wa siraha za nyuklia navyo ni vya muafrika!.
nafikiri kila mmoja anatakiwa ajikomboe pale alipo,wakoloni waliacha athari kadha wa kadha hapa africa ni mambo ambayo bado yanatutafuna pia!.
wao walileta shule lkn hizo shule zilikuwa na ubaguzi pia hawakusoma watu wote walisoma watoto wao!.
sidhani kama kuna msafi hapa sote madunduka tu..🤣
Hakuna sentesi hata moja aliyoitoa Botha ambayo ni ya UongoAlthough Botha alikuwa ni mbaguzi juu ya watu weusi South Africa lakini zaidi ya miaka 30 baadae unakuja kuona alikuwa sahihi katika baadhi ya vipengele katika hotuba yake.
Baadhi ya vipengele vya hotuba yake:
"Watu weusi hawawezi kujitawala kwa sababu hawana akili na uwezo wa kifikra wa kutawala jamii ... Wape bunduki watauana; Wapeni madaraka wataiba pesa zote za serikali; Wape uhuru na demokrasia wataitumia kuendeleza ukabila, ubaguzi, chuki, mauaji na vita!”
"Kwa sasa kila mmoja wetu ameona kwa vitendo kwamba Weusi hawawezi kujitawala wenyewe. Wape bunduki na watauana. Hawafai kitu kingine isipokuwa kufanya kelele, kucheza, kuoa wake wengi na kujiingiza katika ngono. Sote tukubali kwamba Mtu Mweusi ni ishara ya umaskini, unyonge wa kiakili, uvivu na uzembe wa kihisia"
My take: Nadhani hakuna mtu anaehitaji more explanation, yamejitosheleza kabisa. Kwa asilimia kubwa sisi ni mizigo.
Mpanga Mchonganishwe, mpigane kisha Muibiwe Resources maana yake ninyi ni WAJINGA na DHAIFUHuo ni mtazamo wako mkuu Nikupe mfano Kongo vita vinaendelea kila kukicha Kuna watu wa UN ambao wao kazi yao ni kulinda usalama sasa badala ya kulinda wanaiba rasilimali kama madini na vitu vya thamani vingi kwakuwa tu hawakaguliwi..Kwahio kwa picha nyepesi ni kuwa shida haipo Kongo TU ,hata wazungu wanachangia .
Nakukosoa mtizamo wako kwasababu haya matatizo yapo Kila mahali tunapotufautiana na wenzetu ni ule uwezo(uharaka) wa kutatua matatizo yanayojitokeza
Wajinga eh...Kwa hio Mali zilizoachwa na wajerumani Bongo na hatuwezi zitumia sisi pia ni wajinga?Mpanga Mchonganishwe, mpigane kisha Muibiwe Resources maana yake ninyi ni WAJINGA na DHAIFU
Ardhi ya Kongo ina Chuma nyingi sana tangu enzi na enzi...kwanini hawakuweza kutengeneza Silaha kama Bunduki za kulinda Mali zao na Uhai wao?
Ni Wajinga na hawakutumia Akili
Wazungu wameanza kuingia pale karne ya 19, yaani karne ya pili nyuma tu...wakati Congo ilishakuwa na Wabantu kwa karne zaidi ya kumi nyuma
Ni Wajinga ndio, na sijui kama umepata point yangu vizuriWajinga eh...Kwa hio Mali zilizoachwa na wajerumani Bongo na hatuwezi zitumia sisi pia ni wajinga?
"Kwa sasa kila mmoja wetu ameona kwa vitendo kwamba Weusi hawawezi kujitawala wenyewe. Wape bunduki na watauana.
Before colonialism unadhani Africa kulikuwa kuna nini ? Unadhani kabla ya hao Boers ya kuingia Africa Kusini watu walikuwa wanaishi vipi ? Kwa kutawaliwa na Simba ? Au kulikuwa na Utawala wao ?"Watu weusi hawawezi kujitawala kwa sababu hawana akili na uwezo wa kifikra wa kutawala jamii ... Wape bunduki watauana; Wapeni madaraka wataiba pesa zote za serikali; Wape uhuru na demokrasia wataitumia kuendeleza ukabila, ubaguzi, chuki, mauaji na vita!”
Sasa hivi tunavyoongea vita vipo wapi na wapi vikubwa na hao wanaopigana na weusi ? Vita vya kwanza na vya pili vya dunia alianzisha mtu mweusi ? One of the wealthiest people to ever lived Mansa Musa alikuwa mzungu wa wapi ?"Kwa sasa kila mmoja wetu ameona kwa vitendo kwamba Weusi hawawezi kujitawala wenyewe. Wape bunduki na watauana.
Sasa kuna shida gani mtu kucheza na kufanya kelele na ku enjoy maisha (au unadhani living in a rat race ndio ujanja) unaongelea uzembe wakati kabla ya industrial revolution nguvu kazi unayodhani ilitumika kujenga dunia ya leo ni watu wapi walikuwa nguvu kazi kama sio weusiHawafai kitu kingine isipokuwa kufanya kelele, kucheza, kuoa wake wengi na kujiingiza katika ngono. Sote tukubali kwamba Mtu Mweusi ni ishara ya umaskini, unyonge wa kiakili, uvivu na uzembe wa kihisia"
My take: Nadhani hakuna mtu anaehitaji more explanation, yamejitosheleza kabisa. Kwa asilimia kubwa sisi ni mizigo.
Mtazamo wa Hilo ni sahihi lakini kiini Cha hayo yote ni mtu weupe , mara nyingi anayejipambanua katika usafi ndio kiini Cha kuleta na kusababisha uchafu zaidi .
Tazama wanavyohubili demokrasia na kueshimu utu ila wanachofanya ni kuonyesha demokrasia inavyofanana na sio kuiishi demokrasia tayari wameweka mifumo kadamizi ambayo inafanya kazi kimabavu chini Kwa chini uku juu wanaendelea kupaka rangi ya uzuri
Save the pity to yourself. Afterall that answer was something you were expecting.Hahahah daah
SawaAlthough Botha alikuwa ni mbaguzi juu ya watu weusi South Africa lakini zaidi ya miaka 30 baadae unakuja kuona alikuwa sahihi katika baadhi ya vipengele katika hotuba yake.
Baadhi ya vipengele vya hotuba yake:
"Watu weusi hawawezi kujitawala kwa sababu hawana akili na uwezo wa kifikra wa kutawala jamii ... Wape bunduki watauana; Wapeni madaraka wataiba pesa zote za serikali; Wape uhuru na demokrasia wataitumia kuendeleza ukabila, ubaguzi, chuki, mauaji na vita!”
"Kwa sasa kila mmoja wetu ameona kwa vitendo kwamba Weusi hawawezi kujitawala wenyewe. Wape bunduki na watauana. Hawafai kitu kingine isipokuwa kufanya kelele, kucheza, kuoa wake wengi na kujiingiza katika ngono. Sote tukubali kwamba Mtu Mweusi ni ishara ya umaskini, unyonge wa kiakili, uvivu na uzembe wa kihisia"
My take: Nadhani hakuna mtu anaehitaji more explanation, yamejitosheleza kabisa. Kwa asilimia kubwa sisi ni mizigo.
Asante mwafrican, naona unaandika na kuongea kiafrican, ingependeza na lilugha lao ukalitupia kando hukoSave the pity to yourself. Afterall that answer was something you were expecting.
Enhe...Asante mwafrican, naona unaandika na kuongea kiafrican, ingependeza na lilugha lao ukalitupia kando huko