Kwa hii kauli ya Wenje, Msajili Ashurutishe Vyama Vya Siasa Kuchapisha Taarifa zao za Kifedha Haraka Sana

Kwa hii kauli ya Wenje, Msajili Ashurutishe Vyama Vya Siasa Kuchapisha Taarifa zao za Kifedha Haraka Sana

Mikopo Consultant

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2024
Posts
529
Reaction score
1,150
Sheria ya vyama vya siasa inataka vyama kupeleka taarifa zao za kifedha kwa msajili kila mwaka; kwakuwa vyama hivi vina maslahi kwa nchi, ningependekeza ofisi ya msajili kuzitoa taarifa hizo kwa umma wa watanzania, kuna viongozi wanastahili kufunguliwa kesi za matumizi mabaya ya fedha za umma.

Nimeshtushwa sana na hoja ya Wenje; kwa Chama cha Chadema kuchangiwa Milioni 250 na Mbowe, ambaye amekuwa mwenyekiti kwa miaka 20; hii ni hoja nzito kabisa ya kumpumzisha siasa huyu baba.

Kwa tafsiri ya kwenye biashara, Chadema haina cash flow za ku run operations zake za kila siku. Hii ni tafsiri ya taasisi iliyofilisika.

Lakini ukiwachimba sana Chadema, iliwahi kuwa na wabunge karibia 80 bungeni, maana yake hiki chama kina karibu muongo mmoja wa kujichotea pesa nyingi za ruzuku na misaada ya wafadhili nje.

Sasa hoja iliyoletwa na Wenje mezani kwamba chama kinakosa hata pesa za vikao kwa sasa, ina tafsiri ya uongozi ulioshindwa, na tukifukunyua zaidi - ikiwa msajili atatupatia taarifa za kifedha za hiki chama, yaani nahisi kabisa kuna viongozi wanatakiwa kwenye hichi chama kujibu kesi za matumizi mabaya ya madaraka.

Kama Lissu hajachanga, namuunga mkono kabisa, hata mimi nisingechangia hata senti tano, kuna haja kwanza ya kujua Chadema imefanyia nini pesa za ruzuku mabilioni ya shilingi..

Unaweza kushangwazwa eti chama kimetumia bilioni 3 kununua kofia, sasa huu si utoto kabisa huu, yaani waliacha kuwekeza hizi bilioni 3 kwenye bonds ambapo wangekuwa wanakula interest ya zaidi ya milioni 400 kila mwaka ambazo wala usingesikia kelele za kuomba michango.

Huyu mtu amechoka, apumzike kabisa.
 
Sheria ya vyama vya siasa inataka vyama kupeleka taarifa zao za kifedha kwa msajili kila mwaka; kwakuwa vyama hivi vina maslahi kwa nchi, ningependekeza ofisi ya msajili kuzitoa taarifa hizo kwa umma wa watanzania.

Nimeshtushwa na hoja ya Wenje; kwa Chama cha Chadema kuchangiwa Milioni 250 na Mbowe, ambaye amekuwa mwenyekiti kwa miaka 20; hii ni hoja nzito kabisa ya kumpumzisha siasa huyu mtu.

Kwa tafsiri ya kwenye biashara, Chadema haina cash flow za ku run operations zake za kils siku. Hii ni tafsiri ya taasisi iliyofilisika.

Lakini ukiwachimba sana Chadema, iliwahi kuwa na wabunge karibia 80 bungeni, maana yake hiki chama kina karibu muongo mmoja wa kujichotea pesa nyingi za ruzuku na wafadhili.

Sasa hoja iliyoletwa na Wenje mezani kwamba chama kinakosa hata pesa za vikao kwa sasa, ina tafsiri ya uongozi ulioshindwa, na kutukifukua zaido, ikiwa msajili akatupatia taarifa za kifedha, yaani nahisi kuna watu kwenye hichi chama wanastahili kufunguliwa kesi za matumizi mabaya ya madaraka.

Kama Lissu hajachanga, namuunga mkono kabisa, hata nisingechangia hata senti tano, kuna haja kwanza ya kujua Chadema imefanyia nini pesa za ruzuku mabilioni ya shilingi..

Unaweza kushangwazwa eti chama kimetumia bilioni 3 kununua kofia, sasa huu si utoto kqbisa huu, yaani waliacha kuwekeza hizi bilioni 3 kwenye bonds ambapo wangekuwa wanakula interest ya zaidi ya milioni 400 kila mwaka ambazo wala usingesikia kelele za kuomba michango.

Huyu mtu amechoka, apumzike kabisa.
Chama cha siasa kinaruhusiwa kufanya biashara??
 
Kuna tatizo gani Mbowe akiichangia CHADEMA?
 
Chama cha siasa kinaruhusiwa kufanya biashara??
Kununua bond sio kufanya biashara mkuu, ni matumizi bora ya pesa, kuliko kununua kofia.

Bond ingeweza kuwapatia stable cashflow ya miaka 25 ijayo ambayo wangeweza nunua makofia kila mwaka kwa riba za bond
 
Kuna tatizo gani Mbowe akiichangia CHADEMA?
Tatizo kubwa sana tena sana, kama umekuwa kiongozi wa chama kwa miaka 20 halafu bado unatoa pesa zako mfukoni, hiyo maana yake umeshindwa kuifanya taasisi kuwa na sustainability kwenye vyanzo vyake vya mapato.

Hii ni hoja nzito ya Mbowe kupumzishwa siasa na uongozi wa hiki chama
 
Tatizo kubwa sana tena sana, kama umekuwa kiongozi wa chama kwa miaka 20 halafu bado unatoa pesa zako mfukoni, hiyo maana yake umeshindwa kuifanya taasisi kuwa na sustainability kwenye vyanzo vyake vya mapato.

Hii ni hoja nzito ya Mbowe kupumzishwa siasa na uongozi wa hiki chama
Hujui chochote, umekariri ujinga.
Democrats na Republicans wanafanya siasa zao kwa michango ya raia tu. CCM kufanya biashara kunachangia sana kudhoofisha mchakato wa nchi yetu kuwa ya demokrasia halisi.
 
Hujui chochote, umekariri ujinga.
Democrats na Republicans wanafanya siasa zao kwa michango ya raia tu. CCM kufanya biashara kunachangia sana kudhoofisha mchakato wa nchi yetu kuwa ya demokrasia halisi.
Hauwezi kuwa ujinga kuhoji matumizi sahihi ya pesa za chama. Hapa tunapima akili ya kiongozi anayetoa milioni 250 kwa chama chake baada ya kukaa madarakani kwa miaka 20, at the same time hiki chama kilikuwa kinapokea mabilioni. Kwanini huyu kiongozi azingeteneza sustainability plan ya chama mapema? Kwa ukubw wa Chadema na historia yake, haikupaswa kufika mahali pa kuchangishana pesa kugharamia mikutano.

Huko kwa Democrats na Republican wala usikimbilie huko kabisa, tubaki hapa hapa Tanzania. Tukiyajadili ya akina Democrats na Republican wala hatutayaweza, naona ni makubwa mno kutumia kama case study ya kuijadili Chadema
 
Hiko chama kinakuwa kinalipa kodi ya mapato TRA/serikalini?
Hii jibu lake linaweza kutolewa na TRA au msemaji wa hicho chama. Si rahisi mtu wa nje kukupa taarifa za kodi za biashara isiyo yake
 
Hiko chama kinakuwa kinalipa kodi ya mapato TRA/serikalini?
Kuna sheria zake mkuu, logically vyama vya siasa sio biashara, ila sidhani kama sheria inawakataza kutengeneza trustees account kwa ajili ya ku manage pesa zao wisely, Including hata kuwekeza kwenye vitu kama amana za serikali kwania ya kukisaidia chama. Kwahiyo usikomae sana kwenye hili
 
Hauwezi kuwa ujinga kuhoji matumizi sahihi ya pesa za chama. Hapa tunapima akili ya kiongozi anayetoa milioni 250 kwa chama chake baada ya kukaa madarakani kwa miaka 20, at the same time hiki chama kilikuwa kinapokea mabilioni. Kwanini huyu kiongozi azingeteneza sustainability plan ya chama mapema? Kwa ukubw wa Chadema na historia yake, haikupaswa kufika mahali pa kuchangishana pesa kugharamia mikutano.

Huko kwa Democrats na Republican wala usikimbilie huko kabisa, tubaki hapa hapa Tanzania. Tukiyajadili ya akina Democrats na Republican wala hatutayaweza, naona ni makubwa mno kutumia kama case study ya kuijadili Chadema
Chama cha siasa kinatakiwa kifanye kazi kwa kuchangisha wanachama na wafadhili wakati wote, sio kufanya biashara.
 
Sheria ya vyama vya siasa inataka vyama kupeleka taarifa zao za kifedha kwa msajili kila mwaka; kwakuwa vyama hivi vina maslahi kwa nchi, ningependekeza ofisi ya msajili kuzitoa taarifa hizo kwa umma wa watanzania, kuna viongozi wanastahili kufunguliwa kesi za matumizi mabaya ya fedha za umma.

Nimeshtushwa sana na hoja ya Wenje; kwa Chama cha Chadema kuchangiwa Milioni 250 na Mbowe, ambaye amekuwa mwenyekiti kwa miaka 20; hii ni hoja nzito kabisa ya kumpumzisha siasa huyu baba.

Kwa tafsiri ya kwenye biashara, Chadema haina cash flow za ku run operations zake za kila siku. Hii ni tafsiri ya taasisi iliyofilisika.

Lakini ukiwachimba sana Chadema, iliwahi kuwa na wabunge karibia 80 bungeni, maana yake hiki chama kina karibu muongo mmoja wa kujichotea pesa nyingi za ruzuku na misaada ya wafadhili nje.

Sasa hoja iliyoletwa na Wenje mezani kwamba chama kinakosa hata pesa za vikao kwa sasa, ina tafsiri ya uongozi ulioshindwa, na tukifukunyua zaidi - ikiwa msajili atatupatia taarifa za kifedha za hiki chama, yaani nahisi kabisa kuna viongozi wanatakiwa kwenye hichi chama kujibu kesi za matumizi mabaya ya madaraka.

Kama Lissu hajachanga, namuunga mkono kabisa, hata mimi nisingechangia hata senti tano, kuna haja kwanza ya kujua Chadema imefanyia nini pesa za ruzuku mabilioni ya shilingi..

Unaweza kushangwazwa eti chama kimetumia bilioni 3 kununua kofia, sasa huu si utoto kabisa huu, yaani waliacha kuwekeza hizi bilioni 3 kwenye bonds ambapo wangekuwa wanakula interest ya zaidi ya milioni 400 kila mwaka ambazo wala usingesikia kelele za kuomba michango.

Huyu mtu amechoka, apumzike kabi

Sheria ya vyama vya siasa inataka vyama kupeleka taarifa zao za kifedha kwa msajili kila mwaka; kwakuwa vyama hivi vina maslahi kwa nchi, ningependekeza ofisi ya msajili kuzitoa taarifa hizo kwa umma wa watanzania, kuna viongozi wanastahili kufunguliwa kesi za matumizi mabaya ya fedha za umma.

Nimeshtushwa sana na hoja ya Wenje; kwa Chama cha Chadema kuchangiwa Milioni 250 na Mbowe, ambaye amekuwa mwenyekiti kwa miaka 20; hii ni hoja nzito kabisa ya kumpumzisha siasa huyu baba.

Kwa tafsiri ya kwenye biashara, Chadema haina cash flow za ku run operations zake za kila siku. Hii ni tafsiri ya taasisi iliyofilisika.

Lakini ukiwachimba sana Chadema, iliwahi kuwa na wabunge karibia 80 bungeni, maana yake hiki chama kina karibu muongo mmoja wa kujichotea pesa nyingi za ruzuku na misaada ya wafadhili nje.

Sasa hoja iliyoletwa na Wenje mezani kwamba chama kinakosa hata pesa za vikao kwa sasa, ina tafsiri ya uongozi ulioshindwa, na tukifukunyua zaidi - ikiwa msajili atatupatia taarifa za kifedha za hiki chama, yaani nahisi kabisa kuna viongozi wanatakiwa kwenye hichi chama kujibu kesi za matumizi mabaya ya madaraka.

Kama Lissu hajachanga, namuunga mkono kabisa, hata mimi nisingechangia hata senti tano, kuna haja kwanza ya kujua Chadema imefanyia nini pesa za ruzuku mabilioni ya shilingi..

Unaweza kushangwazwa eti chama kimetumia bilioni 3 kununua kofia, sasa huu si utoto kabisa huu, yaani waliacha kuwekeza hizi bilioni 3 kwenye bonds ambapo wangekuwa wanakula interest ya zaidi ya milioni 400 kila mwaka ambazo wala usingesikia kelele za kuomba michango.

Huyu mtu amechoka, apumzike kabisa.
Wazo nzuri! Pia ofisi ya msajiri wa vyama vya siasa nayo ichapiche taarifa zake za fedha. Kama ipo tuione.
 
Back
Top Bottom