Kwa hii kauli ya Wenje, Msajili Ashurutishe Vyama Vya Siasa Kuchapisha Taarifa zao za Kifedha Haraka Sana

Na hapa duniani hakuna mchaga anaweza kuchezea pesa yake kijinga hivyo kama haizai. Mbowe ana biashara kubwa na CHADEMA pengine kuliko biashara NYINGINE yoyote aloyonayo.

Eti mchaga atoe 250mil hivi hivi!? Yule Mjaluo wa Shirati Kuna kitu anafanya na Mbowe
 
Hawakuwa wanafanya biashara hiyo sustainable cash flow itoke wapi? Wao wanategemea ruzuku na ada za wanachama ziingie ndiyo revenues yao, kisha wanatumia kwa kufuata bajeti na wanapotumia zinaisha hiyo sustainability haiwezi kuwepo.
 
CAG kila mwaka anavifanyia financial auditing vyama vyote vyenye usajili wa kudumu. Na kwenye ripoti ya mwisho ya CAG Chadema ilipata hati safi. Sijui unalijua hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…