pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
- Thread starter
-
- #61
Kabisa mkuu, mchezo huu hautaki hasira, Shughuli imekushinda waachie wengineUkiona aliwa na mwinhine unuwe umeshindwa kumtimizia mahitaji yake.Dawa ni kumuachia huo,snayemtimizia mahitaji yake.
Hamna, ni ukweli tuCCM bwana!mmeona mmetafuta kiki ya kuondoa tozo kwenye miamala imebuma mmekuja na hii Sasa?Hatutaki bandari yetu
😃😃😃 Hili swali ukijibiwa nitag nipo paleeeUmeuliza huko bandarini chanzo cha kutotoa konteina lako ni kipi?
Uhaba wa vitendea kazi,Umeuliza huko bandarini chanzo cha kutotoa konteina lako ni kipi?
Noted ✍️Mkuu kama ni kweli unachosema agent wako anakudanganya labda kama uko kisiasa zaidi.
Mm niko CFA, sasa hivi hakuna meli inayokaa wiki bila kushusha tangu TICTS iondolewe
Ndio wamekupa huo mjibu wa zama za ujima? Jina la aliekupa jibu hilo ni nani na ana cheo gani ?Uhaba wa vitendea kazi,
Usisaha kuwatag waliokuomba uwatag
hakuna anayepinga ila sema bahasha hazijawafikia tu..Nina konteina kutoka china, leo ni wiki ya pili tangu meli imefika dar port ila mzigo haujashushwa, sasa hapa kuna nini? Zaidi ni tubinafsishe tu hii bandari ili tulete maendeleo hakuna njia wala namna
Wanaopinga vaeni viatu vya mfanyabiashara kwanza halafu ndio uje na point, tena ziwe fupi fupi
Ameshakutag? 👍Ndio wamekupa huo mjibu wa zama za ujima? Jina la aliekupa jibu hilo ni nani na ana cheo gani ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu mleta mada ukute ni Maulid Kitenge
Jibu swaliAmeshakutag? 👍
Ni mpumbavu tu anaweza kuona faida yaa kontena moja ni kuubwa kulika hasara ya milele kwa taifa.Nina konteina kutoka china, leo ni wiki ya pili tangu meli imefika dar port ila mzigo haujashushwa, sasa hapa kuna nini? Zaidi ni tubinafsishe tu hii bandari ili tulete maendeleo hakuna njia wala namna
Wanaopinga vaeni viatu vya mfanyabiashara kwanza halafu ndio uje na point, tena ziwe fupi fupi
Duh, laana tena?Ni mpumbavu tu anaweza kuona faida yaa kontena moja ni kuubwa kulika hasara ya milele kwa taifa.
Mjaa laana
Yaani umeshindwa hata kuelewa kwamba nimeshamjibu?Jibu swali
Kuna waliomba invoice uliyopewa kwa ajili ya kutoa container lako. Wakati unarejea swali la nyongeza, hilo ulikumbuke kulijibu. AsanteUhaba wa vitendea kazi,
Usisaha kuwatag waliokuomba uwatag
Kuna mengine ni ya siri,Kuna waliomba invoice uliyopewa kwa ajili ya kutoa container lako. Wakati unarejea swali la nyongeza, hilo ulikumbuke kulijibu. Asante
Inaqezekana unasema ni kweli ila kumbuka makuadi wa ubinafsishaji wana mkono mrefu na mikakati hatarishi, wana uwezo wa ku inflitilate mfumo wa bandari na kuudhoofisha kimkakati ili kuhalarisha malengo yao ya kinyonyaji.Nina konteina kutoka china, leo ni wiki ya pili tangu meli imefika dar port ila mzigo haujashushwa, sasa hapa kuna nini? Zaidi ni tubinafsishe tu hii bandari ili tulete maendeleo hakuna njia wala namna
Wanaopinga vaeni viatu vya mfanyabiashara kwanza halafu ndio uje na point, tena ziwe fupi fupi
Wewe nadhani hujawahi kutumia bandari ya Tz, acha mchezo unaweza kuja kuuza miti ya xmass pasaka.Umeuliza huko bandarini chanzo cha kutotoa konteina lako ni kipi?
Ubinafsishaji wa bandari ni muhimu. Ila mkataba huu ndio una ukakasi kwa watu.Nina konteina kutoka china, leo ni wiki ya pili tangu meli imefika dar port ila mzigo haujashushwa, sasa hapa kuna nini? Zaidi ni tubinafsishe tu hii bandari ili tulete maendeleo hakuna njia wala namna
Wanaopinga vaeni viatu vya mfanyabiashara kwanza halafu ndio uje na point, tena ziwe fupi fupi
SAWASAWA....ndio wanaposti sana humu.Inaqezekana unasema ni kweli ila kumbuka makuadi wa ubinafsishaji wana mkono mrefu na mikakati hatarishi, wana uwezo wa ku inflitilate mfumo wa bandari na kuudhoofisha kimkakati ili kuhalarisha malengo yao ya kinyonyaji.