T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Mzee Nyembo alikula maisha na pisi kali, hakujihusisha na maisha ya mwanae hata mama yake alipokufa akiwa angali mdogo. Kwa ukatiri alioonyesha sio kosa Ommy Dimpoz akiishi naye kwa umbali hivi hivi kwa sababu hizi:
1. Mzee alitarajia Ommy awe chokoraa, choka mbaya au kibaka ndio maana hakujali
2. Mzee aliona ni kawaida kuzaa kama mbuzi ukaenda zako, mbuzi akitungisha mimba huwa harudi kwa ndama kudai chochote. Naye aishi hivyo hivyo
3. Mzee alijua possibility ya mwanae kufanikiwa ila alijishauri kwamba ale bata atakuja kuomba msamaha
4. Kuna vijana maelfu wanaacha watoto wao, itakuwa ni inspiration kwao kuona kumbe unaweza fyatua tu ukadanga zako miaka ya baadaye mtoto atakutunza. Waliokimbia majukumu wakikaziwa hivi ni onyo kwa vijana wa ovyo ovyo
1. Mzee alitarajia Ommy awe chokoraa, choka mbaya au kibaka ndio maana hakujali
2. Mzee aliona ni kawaida kuzaa kama mbuzi ukaenda zako, mbuzi akitungisha mimba huwa harudi kwa ndama kudai chochote. Naye aishi hivyo hivyo
3. Mzee alijua possibility ya mwanae kufanikiwa ila alijishauri kwamba ale bata atakuja kuomba msamaha
4. Kuna vijana maelfu wanaacha watoto wao, itakuwa ni inspiration kwao kuona kumbe unaweza fyatua tu ukadanga zako miaka ya baadaye mtoto atakutunza. Waliokimbia majukumu wakikaziwa hivi ni onyo kwa vijana wa ovyo ovyo