Kwa kauli hii ya Rais Samia, Jaji Biswalo anapaswa kujiuzulu haraka

Hawez kujiuzulu kwasababu aliyemteua walikuwa pamoja
 
Kabla ya ripoti ya uchunguzi kutoka mnatoaje hukumu kwamba pesa iliibwa?

NCHI hii imeanza Kuwa ya mihemko na mauzushi.

Wananchi wenye hasira Kali wameanza kuibuka wanaua mpaka watu wasio na hatia
Bar mad mmoja kapiga kelele za Mwizi Kwa mteja aliyeshindwa kulipa wamemuua hivi kosa la Kushindwa kulipa bill ya bia ADHABU yake ni KIFO?

Wananchi wamesambaziana uongo kwamba Kuna Bibi amekamatwa na misukule Wananchi wamevamia Kituo cha Polisi wanataka kuua.!

Hii sijui ndiyo Uhuru wa kufanya mikusanyiko na maandamano iliyokuwa inasubiriwa Kwa hamu!

Bibi mwingine amekamatwa na watoto watatu ambao kunakila dalili kwamba alikuwa anawatesa wakati utaratibu wa kisheria unaendelea Wananchi wanamtaka huyo Bibi ili wamuue!

Haitofautiani Sana hizi TUHUMA hivi kweli Yule Marehemu angeruhusu pesa iende China wakati Kwanza hakuwa na muda wa kujikomba Kwa wazungu
na mataifa yote ya kigeni ikiwemo China.

Miamala yote ya fedha aliiweka kiganjani watu walivyokuwa wanamuogopa wasingethubutu kucheza na pesa ya NCHI Chini ya mwendazake pamoja na mambo mengi ambayo wengine walichukilia kama ukatili Kwa kadri walivyoona lakini kwenye eneo la udhibiti wa pesa ya Umma Yule Mzee tumuache apumzike Kwa Amani.
Plea bargaining Ilikuwa inafanywa na Mahakama DPP alikuwa ni mwendesha mashtaka tu MAAMUZI yote ni ya Mahakama na Jambo lolote ambalo Mahakama itakuwa imeamua na kama hukuridhika DAWA yake ni kukata rufaa na si vinginevyo.
 
Watu wengi waliumizwa na kuporwa, kinachotakiwa ni tume ya Ukweli na maridhiano, vinara ni Kuna Bwisalo
 
Siyo kujiuzulu, anatakiwa atiwe pingu yeye pamoja na binamu wa Mrundi Dotto James
Umaskini ndio unakufanya unalialia hivi. Ungekua tajiri wala usingelia hivi. Tafuta pesa uondoe aibu
 
Na makamu wa kipindi hicho aliamua tu kuendelea kula mshahara na kusubiri Pension yake huku anajua yanayofanyika hayaendani na haki ?

Yaani na Kampeni akapiga kabisa ili watu waendelee kunyimwa haki....., mambo mengine ukiyaangalia vizuri unaona chembe chembe za unafiki....
 
Asiposema sasa hivi, tutayasikia kwenye mikutano ya hadhala. Ndio mjue kwa kwa nini Magufuri aliikataa.
 
Aseme ndio nafuu yake, akikaa kimya, ikaja kuvuja kwa Mwamba Lisu akaitoa itakuwaje. Angalau likiongelewa baadae linajulikana. Tutasikia mengi ndio faida ya vyama vingi huru. Magufuri aliziba midomo ili afanye yake!
 

Wapemba hawana akili
 
Tanzania ni nchi maskini Ila wapo matajiri, jitahidi uwe mmoja wao.
Maisha sio utajiri masikini wengi wanaamini ukiwa tajiri ndio maisha kumbe ni kawaida tuu...ila wengi waliokulia kwenye umasikini wakabahatika kupata Elimu kidogo na kuendelea na poverty circle of life wanaamini wao washatoka kumbe bado wapo kwenye mfumo wa umasikini...
 
Kama unaumia chomowa.
Mimi naumia au wewe ndio unaumia? Mimi toka lini nikalialia kwa mtu mwenye pesa. Umaskini wako ndio unakufanya ulielie Sana, hii ni awamu ya 6 ni awamu ya kutafuta pesa sio ya kulalama.
 
Umeandika kwa hisia sana, solution ya haya yote ni utajiri tu. Unafikir kuna tajiri atakaa analialia hapa Kama wewe? Ongeza bidii za kutafuta pesa dogo ukikutana na wajinga wapige, dunia haina huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…