Nimemsikiliza sana mama na kwa maelekezo ya mama lile ni agizo inatakiwa TAKUKURU na Jeshi la Polisi wamkamate dpp aliyemaliza muda wake ndugu biswalo, awe chini ya ulinzi huyu mtu aliwaumiza watu wengi sana kupitia ofisi yake.
Huyu mtu DPP alijigeuza Mungu kwenye Ile ofisi hata hizo pesa walizokuwa wanatozwa akina Seth, ili waachiwe yeye ndiye alikuwa kinara, aliweka wafanyabiashara mahabusu kwa kuwasingizia kesi za uhujumu bila sababu ili ajipatie pesa, kama kweli mama umeamua kuisafisha nchi huyu hatakiwi kabisa kuwa uraiani!