Si wengibe wanapewa teuzi au?Huyu maza ngoja nimtetee Kwa hili , kipindi cha Marehemu gaidi huyu maza hakua na nguvu yeyote ndio maana kuna kipindi alitaka hata kujiuzulu ila alipigwa biti.
Wacha tu nae ateme nyongo.
Ila Kwa mitazamo wangu maza inabidi mambo mengine ya hovyo yaliyofanyika kipindi cha Mwenda zake awe anayafanyia kazi kimyakimya bila kutaarifu umma kwani ni kama analeta taharuki na kuongeza kinyongo Kwa wananchi.
Namshauri wote waliofanikisha madhambi hayo awawajibishe kimya kimya
Alishawateua kabla hajajua, kajua baada ya kuwateua. Na ndo maana anataka unda hata Tume ya kufatilia Mambo ya nje kuona kama hao watu hufaa au hawafaiMama huwezi jisafisha wakati naye alikuwa kwenye hilo hilo jahazi. Kiongozi makini alipaswa awe amesha jiuzulu zamani.
Yeye kuendelea kukaa hapo, na hao waliofanya haya madudu kuendelea kuwateua ni ishara kwamba yeye kiongozi anabariki hayo madudu.
Kulialia na kutafuta sympathy hakuta msaidia, ni heri akae kimya sio kusema halafu huwa uwezo wa kuchukua hatua. Watanzania sio wajinga.
Ushauri mzuri mkuu wacha nifate ushauri wako ingawaje unaweza ukawa wa kitura pia..Umeandika kwa hisia sana, solution ya haya yote ni utajiri tu. Unafikir kuna tajiri atakaa analialia hapa Kama wewe? Ongeza bidii za kutafuta pesa dogo ukikutana na wajinga wapige, dunia haina huruma
Huo ushauri ndio muhimu kuliko hivi vilio vyenu. Umeanza kulialia toka epa, ukaja Richmond, Mara dowans, Mara escrow, na Sasa unalia plea bargaining, tukiuliza hivyo vilio vyote umepata nini? Wenzako wanaaccumulate wealth ili Watoto na wajukuu wasije kuwa watumwa baadae.Ushauri mzuri mkuu wacha nifate ushauri wako ingawaje unaweza ukawa wa kitura pia..
Hata Magufuli aliamini ana kinga anaweza kuuwa watu atakavyo.Nafasi aliyo nayo ni Kinga tosha.
Ukiwa tajiri ukazungukwa na maskini 10 ni rahisi na wewe kuwa maskini.Maisha sio utajiri masikini wengi wanaamini ukiwa tajiri ndio maisha kumbe ni kawaida tuu...ila wengi waliokulia kwenye umasikini wakabahatika kupata Elimu kidogo na kuendelea na poverty circle of life wanaamini wao washatoka kumbe bado wapo kwenye mfumo wa umasikini...
Yule zimwi magu alikuwa mwizi sana na alitisha, SAMIA angefanyaje paleKwanini na yeye si alikua sehemu ya wahusika
Wewe ni chawa mama?
Samia alisharesign, wazee ndio wakaingilia kati, alishashindwa kufanya kazi na mgonjwa wa akili na kufokewa kama mtoto Mdogo wakati kwenye uchaguzi mmeomba wote kura.Yule zimwi magu alikuwa mwizi sana na alitisha, SAMIA angefanyaje pale
Ndio maana walikimbilia jiwekea KingaHata Magufuli aliamini ana kinga anaweza kuuwa watu atakavyo.
Sasa leo mwenye kinga analiwa na funza Tundu Lisu yuko mzima wa afya.
Kama ushahidi upo, wahusika wote wanatakiwa wakamatwe, wafungwe.Leo Januari 31, 2023 Rais Samia amezungumzia suala la Plea Bargain, utaratibu wa Makubaliano ya Kumaliza Kesi kwa Kulipa Fedha kwa Serikali ambao ulitumika wakati wa Utawala wa Hayati Rais Magufuli chini ya DPP Biswalo Mganga aliyeondolewa na kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu, huku akieleza kuwa Suala hilo limekuwa na utata ikiwemo baadhi ya pesa zilizolipwa kwenye akaunti zimeoneka kupelekwa Nchini China.
Ukiachana na hilo Jaji Biswalo amekuwa kwenye kashfa nyingi ikiwemo kuchukua mali za washtakiwa bila utaratibu wenye uwazi, bila uwepo wa sheria na akaunti maalumu ya Serikali inayokusanya fedha hizo.
Sasa kwa hili la leo, Jaji Biswalo anasubiri nini kuachia nafasi hiyo kuonesha Uwajibikaji? Lakini Pia, Rais Samia anasubiri nini kuunda Tume ya Majaji watatu wanaotakiwa kuchunguza suala hilo na kutoa uamuzi wa nini Rais afanye?
Anyway Taifa linasubiria ripoti ya matumizi ya fedha zaidi ya Tsh. Bilioni 50 zilizotokana na makubaliano ya washtakiwa na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS), Rais Samia Suluhu Hassan amesema ofisi hiyo ilipitia kipindi ambacho kuna michezo ilikuwa inafanyika ambayo iliharibu taswira ya taasisi hiyo.
Nimekuelewa saana,mama bado tu hajarizika na kifo cha jpm,sijui anataka mpk amfanyaje,!?Mzigo wote mtupie msukuma ndio inadhihirika lawama we rusha kwa mfu tu wote wataitikia anhaa ndio maana, anayeelekezewa tuhuma hawezi kujibu.
Ila kipo kiama
Hii nchi kuna siku inakuja,patachimbika,Huyu mama anafikir taifa hili ni la wajinga woote,Huyu maza ngoja nimtetee Kwa hili , kipindi cha Marehemu gaidi huyu maza hakua na nguvu yeyote ndio maana kuna kipindi alitaka hata kujiuzulu ila alipigwa biti.
Wacha tu nae ateme nyongo.
Ila Kwa mitazamo wangu maza inabidi mambo mengine ya hovyo yaliyofanyika kipindi cha Mwenda zake awe anayafanyia kazi kimyakimya bila kutaarifu umma kwani ni kama analeta taharuki na kuongeza kinyongo Kwa wananchi.
Namshauri wote waliofanikisha madhambi hayo awawajibishe kimya kimya
Sasa Biswalo atajiuzulu vipi wakati aliyemteua kuwa jaji ni huyo huyo Samia?Leo Januari 31, 2023 Rais Samia amezungumzia suala la Plea Bargain, utaratibu wa Makubaliano ya Kumaliza Kesi kwa Kulipa Fedha kwa Serikali ambao ulitumika wakati wa Utawala wa Hayati Rais Magufuli chini ya DPP Biswalo Mganga aliyeondolewa na kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu, huku akieleza kuwa Suala hilo limekuwa na utata ikiwemo baadhi ya pesa zilizolipwa kwenye akaunti zimeoneka kupelekwa Nchini China.
Ukiachana na hilo Jaji Biswalo amekuwa kwenye kashfa nyingi ikiwemo kuchukua mali za washtakiwa bila utaratibu wenye uwazi, bila uwepo wa sheria na akaunti maalumu ya Serikali inayokusanya fedha hizo.
Sasa kwa hili la leo, Jaji Biswalo anasubiri nini kuachia nafasi hiyo kuonesha Uwajibikaji? Lakini Pia, Rais Samia anasubiri nini kuunda Tume ya Majaji watatu wanaotakiwa kuchunguza suala hilo na kutoa uamuzi wa nini Rais afanye?
Anyway Taifa linasubiria ripoti ya matumizi ya fedha zaidi ya Tsh. Bilioni 50 zilizotokana na makubaliano ya washtakiwa na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS), Rais Samia Suluhu Hassan amesema ofisi hiyo ilipitia kipindi ambacho kuna michezo ilikuwa inafanyika ambayo iliharibu taswira ya taasisi hiyo.
Nani alimpa ujaji?Leo Januari 31, 2023 Rais Samia amezungumzia suala la Plea Bargain, utaratibu wa Makubaliano ya Kumaliza Kesi kwa Kulipa Fedha kwa Serikali ambao ulitumika wakati wa Utawala wa Hayati Rais Magufuli chini ya DPP Biswalo Mganga aliyeondolewa na kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu, huku akieleza kuwa Suala hilo limekuwa na utata ikiwemo baadhi ya pesa zilizolipwa kwenye akaunti zimeoneka kupelekwa Nchini China.
Ukiachana na hilo Jaji Biswalo amekuwa kwenye kashfa nyingi ikiwemo kuchukua mali za washtakiwa bila utaratibu wenye uwazi, bila uwepo wa sheria na akaunti maalumu ya Serikali inayokusanya fedha hizo.
Sasa kwa hili la leo, Jaji Biswalo anasubiri nini kuachia nafasi hiyo kuonesha Uwajibikaji? Lakini Pia, Rais Samia anasubiri nini kuunda Tume ya Majaji watatu wanaotakiwa kuchunguza suala hilo na kutoa uamuzi wa nini Rais afanye?
Anyway Taifa linasubiria ripoti ya matumizi ya fedha zaidi ya Tsh. Bilioni 50 zilizotokana na makubaliano ya washtakiwa na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka (NPS), Rais Samia Suluhu Hassan amesema ofisi hiyo ilipitia kipindi ambacho kuna michezo ilikuwa inafanyika ambayo iliharibu taswira ya taasisi hiyo.
Tatizo huko juu kila mtu mchafu...Sasa Biswalo atajiuzulu vipi wakati aliyemteua kuwa jaji ni huyo huyo Samia?
Ina maana Samia alivyomteua alikuwa hajui haya madudu?
Samia ana nia ya kweli ya kufanya mabadiliko?
Au ameanza kampeni za 2025 mapema tu?