Kwa kauli hii ya Rais Samia, Jaji Biswalo anapaswa kujiuzulu haraka

Akijisafisha chawa wataishi vipi? Yeye anawapa WaTz jambo la kuwashughulisha tu, hana la zaidi.
 
Upo sahihi sana.
Kama boss wa PCCB angekuwa yupo huru na ni mtu mweledi na mwenye hofu ya Mungu, kauli hiyo ya Mh. Rais SSH ilipaswa kuwa agizo kwake la kuhakikisha huyo Biswalo anakuwa kwenye mikono salama akifanyiwa uchunguzi.
 
Maandishi yako yanasomeka kuwa hakuna pesa ya "p-b" iliyopelekwa China!!?

Alichosema Mh. Rais umekisikia kwa masikio yako na kukielewa kwa akili zako!!???

Unajua hitimisho la maandishi yako yanasomeka kuwa namba moja hakusema ukweli!!???
 
Unafiki ndicho kitu pekee ambacho watanzania tunakifanya kwa uwezo mkubwa sana.

Makamu wa kipindi hicho ku "table" barua ya kuachia ngazi na kukataliwa na vitisho juu,ulitaka nini afanye mbele ya shetani yule!!??
 
Unafiki ndicho kitu pekee ambacho watanzania tunakifanya kwa uwezo mkubwa sana.

Makamu wa kipindi hicho ku "table" barua ya kuachia ngazi na kukataliwa na vitisho juu,ulitaka nini afanye mbele ya shetani yule!!??
Kwahio Commander in Chief wa sasa ni mwoga na kwa kuogopa vitisho anaweza akafanya na kukubali chochote kile ?

Kwahio vitisho vya sasa vya mataifa mbalimbali anafanyaje ? Tuache ku-defend the indefensible....
 
Kwa kauli hiyo ilitakiwa awe ashavuliwa viatu sio yupo nyuma ya Nondo akisaidia kutoa ushahidi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…