Kwa kizazi cha Sasa. Ukishakuwa single mother tafuta tuu Pesa. Hakuna Mwanaume atakayehitaji single mother Maskini asiye na kazi

Kwa kizazi cha Sasa. Ukishakuwa single mother tafuta tuu Pesa. Hakuna Mwanaume atakayehitaji single mother Maskini asiye na kazi

Utasikia wakisema “ mwanaume tafuta Hela”
Wanajidanganya mno.
Ndio maana wanawake wengi siku hizi wamekuwa makahaba, wachawi na washirikina, wanahaha, wamejaa tamaa .
Wanamakasiriko wanaume hawataki kugandwa na kutwisha majukumu ya kulipia kodi ya nyumba , chakula, mavazi n.k

Unajiuliza kama asingekutana na wewe hiyo kodi ya nyumba angelipiwa na nani?
Inamaana moja moja kwa huyo ni muuzaji, ni cha wote.
Anaweza kuliwa na yoyote.
 
Japo umetumia lugha ngumu but ni fact,
Shida hawa wadogo zetu nao wamekuwa laini laini na kupenda slope
Mimi nimeweka standard zangu kuanzia umri , siwezi kutoka na mdada below 27, au ambaye mmepanga kutoka alafu anakwambia sina nauli,
Single parents wa kike nins criteria zao
Kiufupi ni wanaume tuwe na standard hasa hawa wadogo zetu chini ya 30s
 
Utasikia wakisema “ mwanaume tafuta Hela”
Wanajidanganya mno.
Ndio maana wanawake wengi siku hizi wamekuwa makahaba, wachawi na washirikina, wanahaha, wamejaa tamaa .
Wanamakasiriko wanaume hawataki kugandwa na kutwisha majukumu ya kulipia kodi ya nyumba , chakula, mavazi n.k

Unajiuliza kama asingekutana na wewe hiyo kodi ya nyumba angelipiwa na nani?
Inamaana moja moja kwa huyo ni muuzaji, ni cha wote.
Anaweza kuliwa na yoyote.

WAELEWE tuu kwamba hata hizô pesa zikipatikana bado hazitawahusu
 
Japo umetumia lugha ngumu but ni fact,
Shida hawa wadogo zetu nao wamekuwa laini laini na kupenda slope
Mimi nimeweka standard zangu kuanzia umri , siwezi kutoka na mdada below 27, au ambaye mmepanga kutoka alafu anakwambia sina nauli,
Single parents wa kike nins criteria zao
Kiufupi ni wanaume tuwe na standard hasa hawa wadogo zetu chini ya 30s

Upo Sahihi Kabisa
 
KWA KIZAZI CHA SASA. UKISHAKUWA SINGLE MOTHER TAFUTA TUU PESA. HAKUNA MWANAUME ATAKAYEHITAJI SINGLE MOTHER MASKINI ASIYE NA KAZI

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Mambo ya ûkipenda Boga penda na ua lake ni Misemo ya kipigaji waliopigwa Wazee wa Miaka ya Uhuru Huko.

Mambo mengi yamebadilika Sana.

Sikuambii kama kukusema ili uumie Bali nakuambia ukweli ili uchukue hatua lakini kama utakuwa lijinga shauri yako.

Wewe NI Maskini, single mother, alafu hutaki kazi. Hivi kwa Akili yako hata kama ingekuwa ndogo kama mbegu ya fenesi. Unafikiri Nani atakutaka?

Hutaki kuwa Mama ntilie.
Wakati Wanawake wenzako weñye Waume na àmbao Hawana watoto wanafanya Mama ntilie. Wewe hutaki

Hutaki kupika vitumbua, Kupika maandazi na chapati, hutaki kusuka Watu, hutaki Kushona nguo, hutaki kufanya Kazi za Usafi kwèñye majumba ya Watu, hutaki kuuza juisi, hutaki kufanyia Watu masaji, hutaki kazi yoyote wewe. Na unanuka Umaskini kuanzia kichwani Mpaka miguuni.

Alafu ulivyo Mjinga unasema Mtu apende Ua na Boga lake hivi Akili zako ziko Sawa kwèli?
Nani apende MTU Maskini asiye na Kazi?
Kama vile Wanawake msivyopenda Wanaume Maskini wasio na Kazi ndivyo hivyohivyo hata Wanaume hawapendi Mwanamke Maskini asiye na Kazi tena zaidi úwe single mother.

Binti yàngu, nisipokuambia ukweli wôte na mchungu pasipo kukuperemba hutaona Wala kuelewa Kwa ûzuri nilichokueleza

Hivi ingekuwa wewe Binti yàngu amekuja kijana Maskini mwenye Mtoto Mvivu asiye na Kazi na Wala asiyetaka Kazi ungemkubali awe Mumeo?
Bila Shaka hata kuongea naye usingetaka amalize sentensi Zake

Vivyohivyo Hakuna huyo Mwanaume wa kukutaka wewe ukiwa Maskini alafu single mother. Hakuna huyo Mwanaume Kwa Dunia ya Leo.

Yaani Wanawake Wazuri weñye Kazi zào wamejaa, Wanawake single mother weñye biashara zào wàpo kîla Kona, wasichana wabichi wanamaliza Shule Kila uchwao Wanaume wawaache hao wakufuate wewe na umaskini wako alafu single mother. Come on! Huo uite muujiza.

Hakuna Mwanaume anayetaka kulemewa Sasa hivi Binti yàngu.

Asije akakudanganya Mtu yeyote.
Huna huo ûzuri Wanaokudanganya nao. Huo ûzuri Huna Binti yàngu.
Ûzuri wa Sura au ûzuri wa umbo ni Kwa àmbao hawajakuzoea Binti yàngu. Wakizoea Huna ziada yoyote watakuacha Hapo na kukuona kero kûbwa, mzigo Mkubwa, ombaomba Mkubwa.
Uliwahi kuona Ombaomba anaheshimika Binti yàngu? Uliwahi kuona?

Huna huo ûzuri hata wewe mwenyewe unajijua Huna huo ûzuri.
Mzuri ni Mtu anayejitegemea, mwenye Kazi, asiye mzigo Kwa Mtu Mwingine. Huyo ni mzuri na hawezi kuwa Kero Kwa yeyote.

Huwezi kuwa na tàbia nzuri kama wewe ni tegemezi usiye na Kazi yoyote. Huna Sifa ya kuitwa Mwanamke mwenye tàbia nzuri Kwa Sababu moja ya mambo yanayomtambulisha Mtu anatabia Njema NI kufanya Kazi. Lazima úwe na Kazi. Lazima uulizwe shughuli yako ni Ipi.

Fanya Kazi!
Binti chapa Kazi!
Ukiwa Maskini Hakuna Mwanaume atakayekuthamini na kukuona wa Maana kama Huna Kazi.

Sisi Wanaume wa Leo vikao vyetu vyote. Wazazi wetu wanatuambia tutafute Wasaidizi wa Maisha na siô Wanawake Maskini tegemezi.

Hata Kanisani tunahubiriwa kîla Siku hivyo.

Ukifanya Kazi hakuna atakayekunyanyasa wewe na Watoto wako. Hayupo huyo Mtu. Atakunyanyasa Kwa lipi Wakati Mama Yao ndiye unawatunza Watoto wako?

Usipofanya Kazi lazima unyayaswe wewe na hao Watoto wako.
Vitoto vyako vitaitwa majina ya Kejeli kama vimbwa, vipanya, n.k.

Huwezi kuwa Mwanamke Maskini na single mother alafu Kwa ûjinga wako umwambie Mwanaume ati unamkubalia lakini asikunyanyase wewe Mbuzi nini?
Usinyanyaswe kwani wewe Nani? Mtu Fukara usiyetaka Kazi. Unàtaka kuwa Mzigo Kwa Mwingine na kumpa Mizigo ya Watoto wako alafu usinyanyaswe?
Watakunyanyasa na Mimi nawaambia wanyanyaseni Mpaka Akili zitie Moto.

Achana na mambo ya serikali sijui Dini sijui porojo za Mila kuwa Unyanyasaji unapigwa MARUFUKU.hizo NI porojo tuu hazina uhalisia.
Ukiwa Fukara alafu hutaki kazi utanyanyaswa tuu serikali ikiwemo,Dini zikiwepo na Mungu akiwepo na Hakuna kitu watafanya.

Fanya Kazi, jihudumie, lisha watoto wako kama Huwezi wapeleke Kwa Baba zào.

Unajiita Mama alafu Huwezi kulisha Watoto wako. Unashindwa hata na Ndege na Wanyama. Pumbavu!

Baba yako Acha nipumzike. Najua umenikasirikia lakini nisipokuambia ukweli utaumia zaidi ya Maneno niliyokupa.

Nawatakia Sabato Njema

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Juu ujumbe ni mzuri lakini huku uliko uleta hakuna mtu wa namna hiyo hata mmoja.

What a lost Target?
 
Utasikia wakisema “ mwanaume tafuta Hela”
Wanajidanganya mno.
Ndio maana wanawake wengi siku hizi wamekuwa makahaba, wachawi na washirikina, wanahaha, wamejaa tamaa .
Wanamakasiriko wanaume hawataki kugandwa na kutwisha majukumu ya kulipia kodi ya nyumba , chakula, mavazi n.k

Unajiuliza kama asingekutana na wewe hiyo kodi ya nyumba angelipiwa na nani?
Inamaana moja moja kwa huyo ni muuzaji, ni cha wote.
Anaweza kuliwa na yoyote.
Kwa taarifa yako sasa Mwanamke hata kama anafanya kazi benk bado Kodi ya Nyumba anahakikisha kuna Fala Mmoja mwenye nyege zake atailipa.

This is the Whole Ugly truth
 
Upo Sahihi Kabisa


Wapo wengi tu .
Huku pia kuna kada za kila aina ingawa rate inaweza ikawa sio kubwa kiivyo kama usemavyo lakini hawakosi kuwemo.
Mbona wengine wanajitokezaga kujielezea wenyewe kwa uwazi tu kwa Habari za maisha yao ?!

Hawajakufuata inbox kukutegeshea mingo za kukutaka kukudangia ??!
Buyer beware.
 
Mleta mada utakuwa unasumbuliwa na ugonjwa wa akili au zero confidence na maisha yako, kila siku na mitopic yako ya single mothers, kwani walikufanya nini? watu wengi wametunzwa na single mothers na wamekuwa watu wa maana katika jamii, so acha stereotype na kuwakosea mama za watu, wengi wana kazi zao wanajiheshimu na hawaombi pesa kama unavyodanganya, utakuwa na mental illness au umefanywa kitu kibaya na maisha maana chuki zako kwa single mothers sio kawaida na kila siku unaandika mitopic mirefu unajaza humu, huna kazi?
 
Sii mnatamba na hizo mbususu zenu tamu 😜
E u tule jibu kwa nini nyie single maza mbususu zenu tamu sana?
Ngoja niulze wenye hunikula,, au huyu jamaa akimalza kula apa ntamuulza kam n tamu.
 
Ngoja niulze wenye hunikula,, au huyu jamaa akimalza kula apa ntamuulza kam n tamu.
Huyo anayekula mwambie ale kwa kiasi anibakishie na mie utamu wa mbususu wa single mama
 
Na hata hivyo kwa sasa wanawake wanapambana mno , vijana wamekua Marioo tu ndio maana utasikia kila kona sifa za mishangazi zikimwagwa🤔
Vijana wanapambana sana mkuu. Ukiona mpaka kijana amekata tamaa au amesimamisha mapambano akusanye nguvu ujue ametaabika balaa.

Wanawake wanaonekana wanapambana kwa sababu mfumo unawabeba, mwanamke akiamua kupambana anaukuta tayari mfumo ushamuandalia mazingira wezeshi.

Kumbuka pia mwanamke ana advantage ya kula vizuri, kufunguliwa biashara, kusomeshwa n.k by trading sexualy favor tofauti na mwanaume ambae atatakiwa kupambana mwenyewe from scratch.

Vijana wa kiume wanapambana sema mazingira sio wezeshi ukimuona mwanaume mwenzako jobless au anafanya chochote ili kusurvive ikowemo kutembea na mishangazi, kama uwezo unao msaidie usimponde
 
Single maza tunywe sumu kwa namna tunavyoandamwa
The fact that you are single mother is a prove that you are stupid. You are an idiot if you get pregnant for a man who hasn't made you his wife and you deserve whatever shit comes with that.

As a woman you are a gatekeeper of sex and fertility, meaning no sex happens without a woman's consent.

The only way a woman will ever know if a man is serious about being a father is if he marry you or pay your brideprice. Any woman decide to get pregnant without that having happened is an idiot

Don't let a man make you a mother before he makes you a wife.
 
Sijaponda single mother.
Nimewaambia wafanye Kazi kwani hakuna Mtu mwenye Akili Zake timamu achukue Mwanamke single mother Maskini asiye na Kazi. Huyo Mtu hayupo Zama hizi
Single Maza wanaongoza kuolewa.
Endelea kuota
Usiseme wanaume sema Mimi sichukui single maza
 
Back
Top Bottom