Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naunga mkono hoja .
 
Ila asithubutu kumhusisha JPM na yeye kupigwa risasi mana wananchi watamcheka na 2025 wananchi watamcheka kwenye sanduku la kura
 
Ila asithubutu kumhusisha JPM na yeye kupigwa risasi mana wananchi watamcheka na 2025 wananchi watamcheka kwenye sanduku la kura
Sanduku lipi la kura, hilo lililonajisiwa wakati wa huyo dhalimu magu?
 
Mimi simuungi mkono
 
Kama kweli ni mzalendo kwanini alimpiga vita Magufuli.

Au anafikiri siasa ni kutafuta sifa binafsi pekee.

Haka kajamaa kanapenda sifa za kijinga.

Hatuna muda na huo ujinga wake.
 
Hatuna tatizo la kushindwa, tuna tatizo na ushindi usio wa halali. Kama muda wote mazingira ya ushindani sio sawa, unapata wapi nguvu ya kuongelea mshindi?
Sasa uchaguzi gn mliwahi kukubali kushindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…