Pre GE2025 Kwa maoni yako, nani anafaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2025?
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1. Ana hoja za msingi za kuikomboa Nchi yetu kutoka mikononi mwa MAJANGILI.

2. Anatoa elimu ya kuwafumbua na kuwaamsha watu kutoka usingizini.

3. Anakerwa na dhuluma wanazofanyiwa Watanzania na serikali.

4. Bila shaka anaweza kututoa hapa tulipo na kutupeleka Kaanani.

5. Wachungaji, Mapadre, Maaskofu, Masheikh, Maimamu, Watumishi wote wa Umma na Watanzania wote wa Dini, kabila na vyama vyote, tumuunge mkono mtu huyu.
NB:- Viongozi wetu wa Dini waache tabia ya kufichama kwenye pazia la kulinda amani na kuacha Nchi inateketea wao wamekaa kimya.
Nawasilisha.
Nahodha wa jahazi anayejua pepo zivumavyo na dalili za dhoruba za hatari lkn abiria walioko ndani ya jahazi waliowengi hawana na hawawezi kumtambua kwakuwa ni vipofu na na viziwi lkn wachache wanajitambua ila ndio walioko ndani ya engine room na kamwe hawataki kumsikiliza nahodha kwakuwa wananufaika na ugumu wa safari kwa kuuza mizigo njiani kimagendo.
 
Kama kweli ni mzalendo kwanini alimpiga vita Magufuli.

Au anafikiri siasa ni kutafuta sifa binafsi pekee.

Haka kajamaa kanapenda sifa za kijinga.

Hatuna muda na huo ujinga wake.
Magufuli hakuwa mzalendo Bali mlevi wa madaraka.
 
Habari za leo,

Kwa maoni yako nani anaweza kulisaidia hili Taifa ili lisonge mbele kimaendeleo kwa kasi.

Binafsi huwa namkubali sana Majaliwa K. Majaliwa. Namuona kama mtu ambaye anaweza kutufikisha sehemu nzuri.

Je, wewe unaona nani anafaa kuwa Rais wa hii Nchi 2025.
Mwigulu, marope waziri mkuu
 
Mheshimiwa Dr Makamba anategemea kutangaza Nia yake Safi ya kuwatumikia Wananchi 2025-2030. Tusubiri muda na venue. Asanteni
 
Tuongee ukweli nani unamuona anaweza kutufaa kuwa Rais wetu, akazilinda rasilimali zetu, akatupa maisha bora,akawabana majizi mafisadi akaifanya Tanzania sehemu salama kwa kuishi kwa kila mtu?
 
Tuongee ukweli nani unamuona anaweza kutufaa kuwa Rais wetu, akazilinda rasilimali zetu, akatupa maisha bora,akawabana majizi mafisadi akaifanya Tanzania sehemu salama kwa kuishi kwa kila mtu?
Kwa uchaguzi gani?
 
Tuongee ukweli nani unamuona anaweza kutufaa kuwa Rais wetu, akazilinda rasilimali zetu, akatupa maisha bora,akawabana majizi mafisadi akaifanya Tanzania sehemu salama kwa kuishi kwa kila mtu?
Hizo sifa zinaangukia kwa mtanganyika Tundu Lissu

Hivyo kura yangu nitampa mtanganyika mzalendo Bw. Tundu Lissu
 
Tuongee ukweli nani unamuona anaweza kutufaa kuwa Rais wetu, akazilinda rasilimali zetu, akatupa maisha bora,akawabana majizi mafisadi akaifanya Tanzania sehemu salama kwa kuishi kwa kila mtu?
Unatuuliza sisi kama wapiga kura wa kawaida au kama Tume?
 
Tuongee ukweli nani unamuona anaweza kutufaa kuwa Rais wetu, akazilinda rasilimali zetu, akatupa maisha bora,akawabana majizi mafisadi akaifanya Tanzania sehemu salama kwa kuishi kwa kila mtu?
Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia, Dkt Samia,
 
Back
Top Bottom