Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Amani ya ulaya Sasa kulindwa na ulaya pasipo wahuni kutoka Marekani.
Viongozi wa ulaya wamekutana kujadili namna ya kuimarisha ulinzi na majirani zao Ukraine pasipo kuwaalika Marekani. Hii ni njia ya kwanza kabisa kuiambia Dunia kuwa Ulaya unarudi kwenye himaya yake.
Viongozi waliohudhuria ni Hawa wafuatao
1. Waziri mkuu wa Uingereza Keir Starmer
2. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy
3. Rais wa Commission ya ulaya Ursula von der Leyen
4. Rais wa Baraza la ulaya Antonio Costa
5. Katibu mkuu wa NATOMark Rutte
6. Rais wa France Emmanuel Macron
7. Rais wa Finland Alexander Stubb
8. Waziri mkuu wa Italy Giorgia Meloni
9. Waziri mkuu wa Poland Donald Tusk
10. Waziri mkuu wa Pedro Sánchez
11. waziri mkuu wa Denmark Mette Frederiksen
12. Waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau
13. Rais wa Romania Ilie Bolojan
14. Waziri mkuu wa Netherlands Dick Schoof
15. Waziri mkuu wa Sweden Ulf Kristersson
16. Chancellor wa Ujerumani Olaf Scholz
17. Waziri mkuu wa Czechia Petr Fiala
18. Waziri mkuu wa Norway Jonas Gahr Store
19. Waziri wa mambo ya nje wa Turkey Hakan Fidan
Viongozi wa ulaya wamekutana kujadili namna ya kuimarisha ulinzi na majirani zao Ukraine pasipo kuwaalika Marekani. Hii ni njia ya kwanza kabisa kuiambia Dunia kuwa Ulaya unarudi kwenye himaya yake.
Viongozi waliohudhuria ni Hawa wafuatao
1. Waziri mkuu wa Uingereza Keir Starmer
2. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy
3. Rais wa Commission ya ulaya Ursula von der Leyen
4. Rais wa Baraza la ulaya Antonio Costa
5. Katibu mkuu wa NATOMark Rutte
6. Rais wa France Emmanuel Macron
7. Rais wa Finland Alexander Stubb
8. Waziri mkuu wa Italy Giorgia Meloni
9. Waziri mkuu wa Poland Donald Tusk
10. Waziri mkuu wa Pedro Sánchez
11. waziri mkuu wa Denmark Mette Frederiksen
12. Waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau
13. Rais wa Romania Ilie Bolojan
14. Waziri mkuu wa Netherlands Dick Schoof
15. Waziri mkuu wa Sweden Ulf Kristersson
16. Chancellor wa Ujerumani Olaf Scholz
17. Waziri mkuu wa Czechia Petr Fiala
18. Waziri mkuu wa Norway Jonas Gahr Store
19. Waziri wa mambo ya nje wa Turkey Hakan Fidan