Kwa mara ya kwanza katika historia, Viongozi wakuu wa Ulaya, Canada na Australia wakutana kujadili namna ya kuisaidia Ukraine bila kumwalika Marekani

Kwa mara ya kwanza katika historia, Viongozi wakuu wa Ulaya, Canada na Australia wakutana kujadili namna ya kuisaidia Ukraine bila kumwalika Marekani

Mabomu yangekuwa yanatua moja kwa moja nchini mwao wangetafuta njia sahihi ya kumaliza vita na siyo kuendeleza mapambano na mtu ambaye kabisa wanajua hawawezi wakamshinda,sanasana watatupeleka kwenye vita kuu ya tatu ya dunia.
Sana yaani NATO imejaa mashoga wenye maamuzi ya kikugongwa gongwa wanaume. Menyewe USA kawadanganya na wamebaki na uongo wao 😂 na hawataki kutambua kuwa vita ile haina maslahi. Ngoja tuone itakuwaje ila mi naona NATO imejaa wajinga ndiyo wanaotunyonya na huku Africa
 
Trump anajifanya yeye ni tajiri, huyu jamaa huna muda hana akili sawa.
PUtin kafurahi sana anajua wiki moja ijayo kama Ulaya ikigoma basi Ukraine inakuwa jimbo lake.
 
kwahiyo Ulaya walishawishi Urusi kupora Crimea , kisha kufadhiri uasi ndanj ya Ukraine , kisha kuivamia Ukraine , kuna mambo hutakiw kutumia akili za kiccmu

LEO MNAANGALUA DRC INAANGUKA ILA KESHK NI TZ INAFUATIA

ULAYA HAWASUBIRI URUSI AFIKE CHUMBANI KABISA , WANAMKABIA HAPO HAPO UKRAINE , SIKU URUSI AKITOKA NA KUIACHA UKRAINE BAS VITA ITAISHA SIKU HIYO HIYO , KWA UKUBWA WA ARDHI YA URUSI , NI AIBU KUGOMBANIA KANCHI KAMA UKRAINE

WEWE ENDELEA KUISUBIR M23 WENZIO HAWAMSUBIR ADUI , WATUTSI WALIANZA KUITEKA UGANDA KISHA RWANDA ILA BURUNDI WALIFERI , WAKAFOCUS NA DRC MUDA SI MREFU WANAITEKA KISHA BURUNDI ITAKUWA MSELELEKO , BY 2035-40 , WATUTSI WATAKUWA WANAITAFUTA DAR KWA HOJA NYINGINE KABISA MAANA WANAJUA KUTUNGA VISA , MARA UDIKTETA , MATA MAUAJI YA KIMBARI MARA SERIKALI KUWATENGA KANA KWAMBA JAMII ZINGINE ZA DRC ZINAISH MAISHA YA KIFAHARI
Duuhhh coment yako aibu naona mimi, International politics huzijui bora ubakie kuwa msomaji tu
 
Amani ya ulaya Sasa kulindwa na ulaya pasipo wahuni kutoka Marekani.
Viongozi wa ulaya wamekutana kujadili namna ya kuimarisha ulinzi na majirani zao Ukraine pasipo kuwaalika Marekani. Hii ni njia ya kwanza kabisa kuiambia Dunia kuwa Ulaya unarudi kwenye himaya yake.
Viongozi waliohudhuria ni Hawa wafuatao
1. Waziri mkuu wa Uingereza Keir Starmer
2. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy
3. Rais wa Commission ya ulaya Ursula von der Leyen
4. Rais wa Baraza la ulaya Antonio Costa
5. Katibu mkuu wa NATOMark Rutte
6. Rais wa France Emmanuel Macron
7. Rais wa Finland Alexander Stubb
8. Waziri mkuu wa Italy Giorgia Meloni
9. Waziri mkuu wa Poland Donald Tusk
10. Waziri mkuu wa Pedro Sánchez
11. waziri mkuu wa Denmark Mette Frederiksen
12. Waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau
13. Rais wa Romania Ilie Bolojan
14. Waziri mkuu wa Netherlands Dick Schoof
15. Waziri mkuu wa Sweden Ulf Kristersson
16. Chancellor wa Ujerumani Olaf Scholz
17. Waziri mkuu wa Czechia Petr Fiala
18. Waziri mkuu wa Norway Jonas Gahr Store
19. Waziri wa mambo ya nje wa Turkey Hakan Fidan
Watahangaika lakini hawawezi kufanya chochote bila ya marekani
 
Asilimia kama 60 ya waliotajwa hapo wanategemea gesi kutoka Russia..... If not mistaken...
 
Nchi yenye wanajeshi 35,000 na budget ya $154 million waafrika wote wanashindwa hata kukakemea
Angalieni wazungu wamekataa kuburuzwa na Taifa kubwa
Na kuna viongozi wiki iliyopita walidiriki na kusema ni mda sasa wa kuomba Uhuru wetu kutoka kwa mmarekani 😄
 
Amani ya ulaya Sasa kulindwa na ulaya pasipo wahuni kutoka Marekani.
Viongozi wa ulaya wamekutana kujadili namna ya kuimarisha ulinzi na majirani zao Ukraine pasipo kuwaalika Marekani. Hii ni njia ya kwanza kabisa kuiambia Dunia kuwa Ulaya unarudi kwenye himaya yake.
Viongozi waliohudhuria ni Hawa wafuatao
1. Waziri mkuu wa Uingereza Keir Starmer
2. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy
3. Rais wa Commission ya ulaya Ursula von der Leyen
4. Rais wa Baraza la ulaya Antonio Costa
5. Katibu mkuu wa NATOMark Rutte
6. Rais wa France Emmanuel Macron
7. Rais wa Finland Alexander Stubb
8. Waziri mkuu wa Italy Giorgia Meloni
9. Waziri mkuu wa Poland Donald Tusk
10. Waziri mkuu wa Pedro Sánchez
11. waziri mkuu wa Denmark Mette Frederiksen
12. Waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau
13. Rais wa Romania Ilie Bolojan
14. Waziri mkuu wa Netherlands Dick Schoof
15. Waziri mkuu wa Sweden Ulf Kristersson
16. Chancellor wa Ujerumani Olaf Scholz
17. Waziri mkuu wa Czechia Petr Fiala
18. Waziri mkuu wa Norway Jonas Gahr Store
19. Waziri wa mambo ya nje wa Turkey Hakan Fidan
Hivi canada nayo ipo ulaya
 
Amani ya ulaya Sasa kulindwa na ulaya pasipo wahuni kutoka Marekani.
Viongozi wa ulaya wamekutana kujadili namna ya kuimarisha ulinzi na majirani zao Ukraine pasipo kuwaalika Marekani. Hii ni njia ya kwanza kabisa kuiambia Dunia kuwa Ulaya unarudi kwenye himaya yake.
Viongozi waliohudhuria ni Hawa wafuatao
1. Waziri mkuu wa Uingereza Keir Starmer
2. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy
3. Rais wa Commission ya ulaya Ursula von der Leyen
4. Rais wa Baraza la ulaya Antonio Costa
5. Katibu mkuu wa NATOMark Rutte
6. Rais wa France Emmanuel Macron
7. Rais wa Finland Alexander Stubb
8. Waziri mkuu wa Italy Giorgia Meloni
9. Waziri mkuu wa Poland Donald Tusk
10. Waziri mkuu wa Pedro Sánchez
11. waziri mkuu wa Denmark Mette Frederiksen
12. Waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau
13. Rais wa Romania Ilie Bolojan
14. Waziri mkuu wa Netherlands Dick Schoof
15. Waziri mkuu wa Sweden Ulf Kristersson
16. Chancellor wa Ujerumani Olaf Scholz
17. Waziri mkuu wa Czechia Petr Fiala
18. Waziri mkuu wa Norway Jonas Gahr Store
19. Waziri wa mambo ya nje wa Turkey Hakan Fidan
Wakati wazungu na umoja wao wanamtete Ukraine, EAC wanamuhofia PK na kuiacha DRC ,Sudan wazichape
 
NATO iko weak sana, wanashindwaje kupambana na Russia?
NATO ilianzishwa kwasababu ya tishio la Urusi ya enzi hizo, hapo USA alikua mwana chama, tena mwana chama aliyekua anachangia over 860B za bajeti yao, zaidi ya nusu ya bajeti yote ya NATO, kajitoa; bado unaiona NATO yenye nguvu baada ya USA kujiondoa?
 
Yep! 👏🏾 Kumekucha. Canada will replace US (kwa dream lakini nadhani niliota itakuwa hivyo)
Nafikiri vita sio ushabiki, siku zote tuombee iishe kwa haraka iwezekanavyo na si kushabikia wanaoumia ni raia
Tukirudi kwenye hoja yako Canada ipo tayari kutoa 5B usd kama loan siyo msaada wa free tena kwa awamu awamu, hawezi kureplace US hata kidogo ambaye ameshatoa 350B usd

Huo utakuwa ni ushabiki na si uhalisia
NATO bila US bajeti yao kwenye vita kama hii si ya kutosha achilia mbali Canada peke yake.
 
Yes, nibora wajue wenyewe kuliko kuwahusisha Marekani.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Mmarekani hua anauma taratibu,yule Zelenskyy atakuja jutia cku moja,atakuja fanyiwa kitu mpk ajutie,kinachompa Kiburi nikwakua ni myahudi sawa na Netanyahu ndio maana yupo tyr kuuza nchi lkn aonekane ameshinda.
Mbaya zaidi US walimtumia kumchokoza Putin wakiwa na nia ya kuchukua malighafi
 
Sana yaani NATO imejaa mashoga wenye maamuzi ya kikugongwa gongwa wanaume. Menyewe USA kawadanganya na wamebaki na uongo wao 😂 na hawataki kutambua kuwa vita ile haina maslahi. Ngoja tuone itakuwaje ila mi naona NATO imejaa wajinga ndiyo wanaotunyonya na huku Africa
ww unajuwa zaid ya mataifa ya Ulaya ? we endelea kumsubir Kagame afike Tz
 
Back
Top Bottom