Kwa mara ya kwanza katika historia, Viongozi wakuu wa Ulaya, Canada na Australia wakutana kujadili namna ya kuisaidia Ukraine bila kumwalika Marekani

Kwa mara ya kwanza katika historia, Viongozi wakuu wa Ulaya, Canada na Australia wakutana kujadili namna ya kuisaidia Ukraine bila kumwalika Marekani

Mmarekani hua anauma taratibu,yule Zelenskyy atakuja jutia cku moja,atakuja fanyiwa kitu mpk ajutie,kinachompa Kiburi nikwakua ni myahudi sawa na Netanyahu ndio maana yupo tyr kuuza nchi lkn aonekane ameshinda.
Mbaya zaidi US walimtumia kumchokoza Putin wakiwa na nia ya kuchukua malighafi
Zele anakuzid akili , Zele sio Bi Chura anaechagua kuish kama mtumwa , Wazungu wanaheshimu swala la uhuru wao na ndio maana hakuogopa akaamua kumkabili Putin , ila nyiny mnamuogopa Rwanda , Rwanda hatoishia DRC maana alianzia Uganda , kesho ni Tz
 
Nafikiri vita sio ushabiki, siku zote tuombee iishe kwa haraka iwezekanavyo na si kushabikia wanaoumia ni raia
Tukirudi kwenye hoja yako Canada ipo tayari kutoa 5B usd kama loan siyo msaada wa free tena kwa awamu awamu, hawezi kureplace US hata kidogo ambaye ameshatoa 350B usd

Huo utakuwa ni ushabiki na si uhalisia
NATO bila US bajeti yao kwenye vita kama hii si ya kutosha achilia mbali Canada peke yake.
US kujitoa kweny hii vita , kunaenda mtoa kwenye ushawishi wake barani ulaya , wazungu sio wehu kama ww , hapo wanamtia presha ajue wa kuongea nae ni Ulaya na sio Marekanj , maana hiyo ni vita ya Ulaya , ingekuwa ni vita ya Afrika wazungu wala wasingejisumbua kuendelea kutuma pesa , wazungu walishapitia madhira ya viongoz kama Putin , kumbuka Napoleon , Hitler kisha Stalin wa Urusi , wote hawa walijitanua kila walipoachiwa kuteka sehem moja waliitaka na sehem nyingine pia , So wanajuwa Urusi alipoteka Crimea aliachwa kisha akaona inaezekana kuteka Ukraine nzima. kesho angeamia Poland au Finland au Georgia ambapo pia alipora eneo mwaka 2008 ,Ulaya hawatakubali mpk Putin asalim amri kwa kuweka silaha chini la sivyo wazungu hawatokubali Atokee Napoleon mwingine au Hitler mwingine anaekuja kuvuruga balance of power ya Ulaya

KWENYE VITA SIO LAZIMA KUSHINDA , MUDA MWINGINE KUMCHOSHA ADUI KUNAMKIMBUSHA KUWA VITA NI GHARAMA NA KUMFANYA ASIPENDE VAMIA WADHAIFU

ILA HUKU MAZIWA MAKUU BWANA TALK ANAACHIWA ANAELEKEA KINSHASA , KESHO ATATAMANI NCHI NYINGINE KWA HOJA NYINGINE MAANA WATU WAKE WAPO KOTE MAZIWA MAKUU
 
Russia ni dubu hatari sana
1. Kwanini hataki Ukraine ajiunge na NATO?

3. Kwanini hajaikamata Ukraine mpaka sasa pamoja na kuwa dubu hatari??

3. Kwanini hataki Uingereza ipeleke vikosi vya kulinda amani huko Ukraine??

4. Hofu yake ni ipi hasa?

× Tunasubiri majibu ×
 
US kujitoa kweny hii vita , kunaenda mtoa kwenye ushawishi wake barani ulaya , wazungu sio wehu kama ww , hapo wanamtia presha ajue wa kuongea nae ni Ulaya na sio Marekanj , maana hiyo ni vita ya Ulaya , ingekuwa ni vita ya Afrika wazungu wala wasingejisumbua kuendelea kutuma pesa , wazungu walishapitia madhira ya viongoz kama Putin , kumbuka Napoleon , Hitler kisha Stalin wa Urusi , wote hawa walijitanua kila walipoachiwa kuteka sehem moja waliitaka na sehem nyingine pia , So wanajuwa Urusi alipoteka Crimea aliachwa kisha akaona inaezekana kuteka Ukraine nzima. kesho angeamia Poland au Finland au Georgia ambapo pia alipora eneo mwaka 2008 ,Ulaya hawatakubali mpk Putin asalim amri kwa kuweka silaha chini la sivyo wazungu hawatokubali Atokee Napoleon mwingine au Hitler mwingine anaekuja kuvuruga balance of power ya Ulaya

KWENYE VITA SIO LAZIMA KUSHINDA , MUDA MWINGINE KUMCHOSHA ADUI KUNAMKIMBUSHA KUWA VITA NI GHARAMA NA KUMFANYA ASIPENDE VAMIA WADHAIFU

ILA HUKU MAZIWA MAKUU BWANA TALK ANAACHIWA ANAELEKEA KINSHASA , KESHO ATATAMANI NCHI NYINGINE KWA HOJA NYINGINE MAANA WATU WAKE WAPO KOTE MAZIWA MAKUU
Kwanza inaonesha haujui Geopolitics, unahitaji muda sana kukuelewesha

Pili kumuelewesha mtu ambaye anatumia matusi kwenye hoja yake ya kwanza ambayo wala haina uhalisia siyo kawaida yangu, unawezaje kumuita mtu mwehu tena anakuzidi kwa hoja.
 
1. Kwanini hataki Ukraine ajiunge na NATO?
Jibu: Russia na ukraine waliingia mkataba kwa Ukraine kutojiunga na nati, sababu kubwa ni usalama wa Russia.
3. Kwanini hajaikamata Ukraine mpaka sasa pamoja na kuwa dubu hatari??
Jibu: Ukraine hivi vita anasaidiwa na Marekani pamoja na washirika wake, , ulimsikia Trump akimuambia Zelensky kama sio msaada wa kijeshi wa marekani, Ukraine ingeshindwa vita ndani ya wiki mbili
3. Kwanini hataki Uingereza ipeleke vikosi vya kulinda amani huko Ukraine??
Jibu: Uibgereza hana ubavu wa kupambana na Ukraine, hivyo vikosi vya uingereza vilikuwa vinaenda kuangamia tu huko Ukraine
4. Hofu yake ni ipi hasa?

× Tunasubiri majibu ×
 
Amani ya ulaya Sasa kulindwa na ulaya pasipo wahuni kutoka Marekani.
Viongozi wa ulaya wamekutana kujadili namna ya kuimarisha ulinzi na majirani zao Ukraine pasipo kuwaalika Marekani. Hii ni njia ya kwanza kabisa kuiambia Dunia kuwa Ulaya unarudi kwenye himaya yake.
Viongozi waliohudhuria ni Hawa wafuatao
1. Waziri mkuu wa Uingereza Keir Starmer
2. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy
3. Rais wa Commission ya ulaya Ursula von der Leyen
4. Rais wa Baraza la ulaya Antonio Costa
5. Katibu mkuu wa NATOMark Rutte
6. Rais wa France Emmanuel Macron
7. Rais wa Finland Alexander Stubb
8. Waziri mkuu wa Italy Giorgia Meloni
9. Waziri mkuu wa Poland Donald Tusk
10. Waziri mkuu wa Pedro Sánchez
11. waziri mkuu wa Denmark Mette Frederiksen
12. Waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau
13. Rais wa Romania Ilie Bolojan
14. Waziri mkuu wa Netherlands Dick Schoof
15. Waziri mkuu wa Sweden Ulf Kristersson
16. Chancellor wa Ujerumani Olaf Scholz
17. Waziri mkuu wa Czechia Petr Fiala
18. Waziri mkuu wa Norway Jonas Gahr Store
19. Waziri wa mambo ya nje wa Turkey Hakan Fidan
Wanatwanga maji kwenye kinu bora hizo fedha za misaada wazipeleke Gaza au kwa waasi wa FDLR ili wamfurushe Kagame
 
Kwanza inaonesha haujui Geopolitics, unahitaji muda sana kukuelewesha

Pili kumuelewesha mtu ambaye anatumia matusi kwenye hoja yake ya kwanza ambayo wala haina uhalisia siyo kawaida yangu, unawezaje kumuita mtu mwehu tena anakuzidi kwa hoja.
ww unaejuwa sion hoja yako , Mm ni ProWest ila TRUMP kaferi kweny hili
 
Putin amewavuruga vichwa! Ukitaka kumua nyoka una deal na kichwa kwanza! Yaani kama US bosi wao ameachia ngazi UK,EU na NATO watafanya nini?
 
Back
Top Bottom