Sana yaani NATO imejaa mashoga wenye maamuzi ya kikugongwa gongwa wanaume. Menyewe USA kawadanganya na wamebaki na uongo wao 😂 na hawataki kutambua kuwa vita ile haina maslahi. Ngoja tuone itakuwaje ila mi naona NATO imejaa wajinga ndiyo wanaotunyonya na huku AfricaMabomu yangekuwa yanatua moja kwa moja nchini mwao wangetafuta njia sahihi ya kumaliza vita na siyo kuendeleza mapambano na mtu ambaye kabisa wanajua hawawezi wakamshinda,sanasana watatupeleka kwenye vita kuu ya tatu ya dunia.
Duuhhh coment yako aibu naona mimi, International politics huzijui bora ubakie kuwa msomaji tukwahiyo Ulaya walishawishi Urusi kupora Crimea , kisha kufadhiri uasi ndanj ya Ukraine , kisha kuivamia Ukraine , kuna mambo hutakiw kutumia akili za kiccmu
LEO MNAANGALUA DRC INAANGUKA ILA KESHK NI TZ INAFUATIA
ULAYA HAWASUBIRI URUSI AFIKE CHUMBANI KABISA , WANAMKABIA HAPO HAPO UKRAINE , SIKU URUSI AKITOKA NA KUIACHA UKRAINE BAS VITA ITAISHA SIKU HIYO HIYO , KWA UKUBWA WA ARDHI YA URUSI , NI AIBU KUGOMBANIA KANCHI KAMA UKRAINE
WEWE ENDELEA KUISUBIR M23 WENZIO HAWAMSUBIR ADUI , WATUTSI WALIANZA KUITEKA UGANDA KISHA RWANDA ILA BURUNDI WALIFERI , WAKAFOCUS NA DRC MUDA SI MREFU WANAITEKA KISHA BURUNDI ITAKUWA MSELELEKO , BY 2035-40 , WATUTSI WATAKUWA WANAITAFUTA DAR KWA HOJA NYINGINE KABISA MAANA WANAJUA KUTUNGA VISA , MARA UDIKTETA , MATA MAUAJI YA KIMBARI MARA SERIKALI KUWATENGA KANA KWAMBA JAMII ZINGINE ZA DRC ZINAISH MAISHA YA KIFAHARI
Asali!!?..hebu chamba uandike tena,memkwa eehn!!?Alafu Ukraine alivyo mjinga anakubali na wakati asali ya vita anaipata yeye
Watahangaika lakini hawawezi kufanya chochote bila ya marekaniAmani ya ulaya Sasa kulindwa na ulaya pasipo wahuni kutoka Marekani.
Viongozi wa ulaya wamekutana kujadili namna ya kuimarisha ulinzi na majirani zao Ukraine pasipo kuwaalika Marekani. Hii ni njia ya kwanza kabisa kuiambia Dunia kuwa Ulaya unarudi kwenye himaya yake.
Viongozi waliohudhuria ni Hawa wafuatao
1. Waziri mkuu wa Uingereza Keir Starmer
2. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy
3. Rais wa Commission ya ulaya Ursula von der Leyen
4. Rais wa Baraza la ulaya Antonio Costa
5. Katibu mkuu wa NATOMark Rutte
6. Rais wa France Emmanuel Macron
7. Rais wa Finland Alexander Stubb
8. Waziri mkuu wa Italy Giorgia Meloni
9. Waziri mkuu wa Poland Donald Tusk
10. Waziri mkuu wa Pedro Sánchez
11. waziri mkuu wa Denmark Mette Frederiksen
12. Waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau
13. Rais wa Romania Ilie Bolojan
14. Waziri mkuu wa Netherlands Dick Schoof
15. Waziri mkuu wa Sweden Ulf Kristersson
16. Chancellor wa Ujerumani Olaf Scholz
17. Waziri mkuu wa Czechia Petr Fiala
18. Waziri mkuu wa Norway Jonas Gahr Store
19. Waziri wa mambo ya nje wa Turkey Hakan Fidan
Hivi canada nayo ipo ulayaAmani ya ulaya Sasa kulindwa na ulaya pasipo wahuni kutoka Marekani.
Viongozi wa ulaya wamekutana kujadili namna ya kuimarisha ulinzi na majirani zao Ukraine pasipo kuwaalika Marekani. Hii ni njia ya kwanza kabisa kuiambia Dunia kuwa Ulaya unarudi kwenye himaya yake.
Viongozi waliohudhuria ni Hawa wafuatao
1. Waziri mkuu wa Uingereza Keir Starmer
2. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy
3. Rais wa Commission ya ulaya Ursula von der Leyen
4. Rais wa Baraza la ulaya Antonio Costa
5. Katibu mkuu wa NATOMark Rutte
6. Rais wa France Emmanuel Macron
7. Rais wa Finland Alexander Stubb
8. Waziri mkuu wa Italy Giorgia Meloni
9. Waziri mkuu wa Poland Donald Tusk
10. Waziri mkuu wa Pedro Sánchez
11. waziri mkuu wa Denmark Mette Frederiksen
12. Waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau
13. Rais wa Romania Ilie Bolojan
14. Waziri mkuu wa Netherlands Dick Schoof
15. Waziri mkuu wa Sweden Ulf Kristersson
16. Chancellor wa Ujerumani Olaf Scholz
17. Waziri mkuu wa Czechia Petr Fiala
18. Waziri mkuu wa Norway Jonas Gahr Store
19. Waziri wa mambo ya nje wa Turkey Hakan Fidan
Wakati wazungu na umoja wao wanamtete Ukraine, EAC wanamuhofia PK na kuiacha DRC ,Sudan wazichapeAmani ya ulaya Sasa kulindwa na ulaya pasipo wahuni kutoka Marekani.
Viongozi wa ulaya wamekutana kujadili namna ya kuimarisha ulinzi na majirani zao Ukraine pasipo kuwaalika Marekani. Hii ni njia ya kwanza kabisa kuiambia Dunia kuwa Ulaya unarudi kwenye himaya yake.
Viongozi waliohudhuria ni Hawa wafuatao
1. Waziri mkuu wa Uingereza Keir Starmer
2. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy
3. Rais wa Commission ya ulaya Ursula von der Leyen
4. Rais wa Baraza la ulaya Antonio Costa
5. Katibu mkuu wa NATOMark Rutte
6. Rais wa France Emmanuel Macron
7. Rais wa Finland Alexander Stubb
8. Waziri mkuu wa Italy Giorgia Meloni
9. Waziri mkuu wa Poland Donald Tusk
10. Waziri mkuu wa Pedro Sánchez
11. waziri mkuu wa Denmark Mette Frederiksen
12. Waziri mkuu wa Canada Justin Trudeau
13. Rais wa Romania Ilie Bolojan
14. Waziri mkuu wa Netherlands Dick Schoof
15. Waziri mkuu wa Sweden Ulf Kristersson
16. Chancellor wa Ujerumani Olaf Scholz
17. Waziri mkuu wa Czechia Petr Fiala
18. Waziri mkuu wa Norway Jonas Gahr Store
19. Waziri wa mambo ya nje wa Turkey Hakan Fidan
Sawa sawa usemaloNchi yenye wanajeshi 35,000 na budget ya $154 million waafrika wote wanashindwa hata kukakemea
Angalieni wazungu wamekataa kuburuzwa na Taifa kubwa
Na kuna viongozi wiki iliyopita walidiriki na kusema ni mda sasa wa kuomba Uhuru wetu kutoka kwa mmarekani 😄
Wanamuogopa ,na Wachambuzi wa humu JF wakija ni kumsifu tu ,na kuishusha nchi yaoHapo Drc ni aibu sana kwa EAC na SADC, tena zaidi Kuna nchi mwanachama inashutumiwa mpaka na UN kuwa nyuma ya machafuko ila mpaka leo hakuna wa kuikemea.
Canada ni mshirika mkubwa Wa ulaya, kumbuka Canada ni taifa linalofungamana na Uingereza kwa maana mfalme wa uingereza pia ni kiongozi wa Canada kiutamaduni.Hivi canada nayo ipo ulaya
NATO ilianzishwa kwasababu ya tishio la Urusi ya enzi hizo, hapo USA alikua mwana chama, tena mwana chama aliyekua anachangia over 860B za bajeti yao, zaidi ya nusu ya bajeti yote ya NATO, kajitoa; bado unaiona NATO yenye nguvu baada ya USA kujiondoa?NATO iko weak sana, wanashindwaje kupambana na Russia?
Nafikiri vita sio ushabiki, siku zote tuombee iishe kwa haraka iwezekanavyo na si kushabikia wanaoumia ni raiaYep! 👏🏾 Kumekucha. Canada will replace US (kwa dream lakini nadhani niliota itakuwa hivyo)
Show itakuwa kali sana hapo🤣Wakimtenga si watapelekea ajiunge upande wa pili ili mambo yaende, mwisho wa siku badala ya kumuogopa Urusi sasa watawaogopa Urusi + Marekani
Mmarekani hua anauma taratibu,yule Zelenskyy atakuja jutia cku moja,atakuja fanyiwa kitu mpk ajutie,kinachompa Kiburi nikwakua ni myahudi sawa na Netanyahu ndio maana yupo tyr kuuza nchi lkn aonekane ameshinda.Yes, nibora wajue wenyewe kuliko kuwahusisha Marekani.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
duh ndo akili yako inapoishia hapo ?Ikifuata TZ wewe binafsi unapata hasara gani ? Au wewe ni chawa wa ccm ?
ww unajuwa zaid ya mataifa ya Ulaya ? we endelea kumsubir Kagame afike TzSana yaani NATO imejaa mashoga wenye maamuzi ya kikugongwa gongwa wanaume. Menyewe USA kawadanganya na wamebaki na uongo wao 😂 na hawataki kutambua kuwa vita ile haina maslahi. Ngoja tuone itakuwaje ila mi naona NATO imejaa wajinga ndiyo wanaotunyonya na huku Africa