Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza watanzania tunashuhudia Chama cha Siasa chenye mgombea Urais 100% Kibaraka

Chacha wangwe? Who knows km siyo an orchestrated move ndani ya cdm?
 
WHAT AN IDIOT, LOSER! Kujua kiingereza ndo iwe sifa ya mgombea URAIS?? Nakuhakikishia mtu wako Lisu hatoboi hata nusu ya kiingereza changu. But I'm not necessarily a good leader.
 
Who cares! Hatakiwi kuwa Rais wa nchi hii. Full stop.
 
Mungu yupi huyo uliyemuelezea hapa, nisaidie.
 
Kama kutokujua kiingereza vizuri ndo uzalendo na kuongea kiingereza vizuri ndo ukibaraka basi elimu nchi hii haisadii wananchi!
 
Bora kibaraka kuliko kijana anayewaza kama mzee...
 

Asante kwa majibu murua kabisa! Tupo katika kipindi ambacho hatupaswi kuongozwa na ushabiki bali maslahi mapana ya taifa letu. Hatuhitaji kuchagua kiongozi atakayepokea mwongozo toka Washington DC au London, bali atakayejikita katika kuzitatua changamoto zinazolikabili taifa kwa kutumia raslimali tulizo nazo. Tuongozwe na hekima na kuvumiliana ili tuvuke na tuendelee tukiwa wamoja kama taifa. Tusiweke ufahamu/akili zetu rehani ili kukidhi kiu ya wanasiasa.
 
Vibaraka ni yule chizi fresh,anaongoza wabunge wajinga na wapumbavu,kazi yao ni kumsifia tu hawawezi hata kumkosoa,ccm awamu hii wote ni wanawake tupu,mnamuogopa meko kuliko wake zenu shubaaamitt
 

Kumbe ni suala la imani na si uhasilia.Naona sentensi yako ya mwisho umeiweka vizuri sana.Una imani,ila huna UHAKIKA.Imani hujengwa,hivyo umejenga IMANI na Mgombea wako kama vile watu wengine walivyojenga IMANI na mgombea wao(ambaye unampiga vijembe sasa).
 
Kaambieni haka ka amsterdam kibaraka wake watz hawamtaki
 
Tutamchinja kwenye sanduku la kura ili akamtumikie vizuri yule beberu wake amsterdam
 
Wazee mmekamatwa pabaya sijui mlijipanga kama 2015 mkajua yule mzee asiejua kuongea masikini ya Mungu hiki chuma hadi kampeni zikiisha kama kuna atakaebakiwa hata na boxer tu basi atakuwa mwanaume๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Tutavuka salama, Na Beberu ataaibika Kwa kichapo cha wananchi Watanzania watakavyomkataa Beberu na mtoto wao
Watanzania wananchi wa wapi unawasemea ? au watanzania wa gheto kwa cyprian Musiba?Maana watanzania wenye Akili timamu hawapo na CCM hawataki kuisikia CCM kabsa
 
Watanzania wananchi wa wapi unawasemea ? au watanzania wa gheto kwa cyprian Musiba?Maana watanzania wenye Akili timamu hawapo na CCM hawataki kuisikia CCM kabsa
Na wewe unawasemea Watanzania wa wapi, labda waliooshikiwa akili na M/kiti Fulani ambaye Chama na wanachama wa hicho Chama anajinufaisha Kwa biashara zake na wasiseme chochote
 
Ndio tatizo lenu wafuasi wa Ccm ,Ccm wote sio Watanzania wote kuweni na akili japo kiduchu
Katibu mkuu wa CCM kwao Rwanda, mtukufu mwenyekiti wa CCM kwao Burundi, makamu mwenyekiti wa CCM kwao malawi
 
Ukoloni mambo leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ