Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kua muwazi ni jambo Jema dogo, ila sasa yakupasa kueka wazi details like uko wapi,mjini au kijijini? Unapoishi ni kwako au umepanga? Hii itatusaidia kukushaur ww.

Kwa mfano uko kijijini na unaishi kwenu na Kuna eneo ambalo unaeza fuga kuku wa kienyeji huku unafanya shughuli nyingine kupata pesa ya kuwalishia kuku.

Kama uko mjini let's say Dar, unaeza tafuta kakijiwe ukaanza kukaanga chips kwa Huo mtaji Mdogo ulionao, unaeka chips na unadamka asbh unaanza kukaanga mihogo kwa ajili ya breakfast, saa nne tunaanza menya viazi kiasi kwamba saa tano chips tayar.

Kua msafi na wajali Wateja, naamini hadi umejiunga Jf Basi hata kama hujasoma sana lkn una uelewa mkubwa. Tumia akili yako kua mbunifu.

Katika kufanya yote usimwangalie mtu au kuwaza fulani atakuonaje, cha msingi zingatia unataka Kufika wapi.

Kukutia moyo tu, mm nlishauza chips nkiwa na degree moja lengo likiwa kupata mtaji wa kufungua kampuni ya ujenzi, nliuza for only one year huku nikilima na kufuga broilers ambao pia Nlikua nkiwakaanga hadi Miguu na vichwa vyao (vigondi) na kukamua utumbo wa kuku bila aibu, nliwauza masista duh na braza men kibao bila kujali tena kwa kuwaheshimu.

Boda Boda na dereva bajaji walikua wakiniagiza na kuntumikisha Lakini nliwaheshimu kwasababu ni Wateja, ktk kufanya hiyo kazi sikuwahi kuiwazia degree yangu hata chembe zaid ya kuwazia nataka Kufika wapi.

Baada ya mwaka mmoja nlianza usajili wa kampuni na baadae Mungu akanjalia nkavuna alizeti gunia 156 nkauza kila gunia elfu 54.

Nlitamani niendlee na chips Lakini nkaona hapana ngoja nkaitendee Haki ile degree. Ila kulima sijaacha had wa leo. Namshukuru Mungu ya Jana Si ya Leo.

Nimekupa kidogo tu ili usife moyo na uamini kila kitu kinaezekana
Kaka nashukuru kwa ushaur wako na kunitia moyo kiukweli nmesoma kwa makini sana huu ushaur wako nna iman nikimpata kijiwe kizur nitanufaika na huu ushaur







Hapo juu mmeandika naishi dar.

Na kuhusu kuishi mie sijapanga naishi na best angu ila natarajia nitapanga baada ya kunufaika na hicho kibiashara


Na kuhusu ufugaji WA kuku haitowezekana maana sina eneo
Tena akiwepo tabora akaeka kijiwe cha ukwel cha chips atapata hela vizur tu
 
Ungeweza pia kusaka mada humu za waliouliza kabla utaweza kupata idea nyingi, na kukupa mwanya wa kuzifikiria na kuamua ipi unaona inafaa. Pamoja na unazoandikiwa humu
 
Ni binti mwenye miaka 24 anayeishi kwa shemeji yake pamoja na dada yake. Elimu yake ni form 4 failure. Amedunduliza mpaka amepata hiyo laki moja na nusu. Anahitaji mchanganuo wa biashara ya kuanza nayo ili mtaji wake usimkate. Yupo dar maeneo ya tabata. Sio sister du. Anaweza fanya biashara yoyote. Kwa wale wazoefu tafadhari mchango wenu

=================================




================================
Siku nyingine unapotaja kiwango cha elimu alichonacho mtu huwa hatutaji matokeo aliyopata hivyo sikuona mantiki ya wewe kutuambia kuwa huyo mtu elimu yake ni form 4,halafu tena umeongeza failure!!!Neno hilo wala haliendani na ujumbe uliotupatia!!
 
Somo hapo juu lahusika.
Kutokana na ugumu wa maisha ktk suala zima la ajira naomba kuungana na mtu yeyote aliyemuaminifu na mchapa kazi na kuweza kuanzisha kazi au biashara yoyote halali.
Yawezekana ulikuwa na idea juu ya kitu fulani lakini ulishindwa kulifanikisha hilo kutokana na hali halisi ya kifedha uliyonayo hivyo lengo la kuanzisha uzi huu nikuweza kutengeneza fursa ya sisi wenyewe tuweze kujiajiri.
Labda maeneo ya mkoani au kijijini kwenu kuna fursa mbali mbali hivyo kupitia kikundi hiki tunaweza kuitumia fursa hiyo na kufikia malengo.

KUSUDIO:
01. Kujiwezesha vijana kujiajiri na kujiongezea kipato.
02. Kukusanya nguvu mbali mbali kutoka kwa watu wenye kipato kidogo na kuwa katika hali kusudiwa kwa kila mwana kikundi.
03. Kujenga na kukuza ushirikiano na upendo miongoni mwetu.
04. Kujua na kufurahia umuhimu wa mtandao huu wa kijamii kupitia muunganisho huo.


VIGEZO:

01. Kiwango cha juu kabisa cha kipato chako kisizidi milioni moja.
02. Kikundi kiwe na watu wasiozidi kumi.
03. Wanakikundi kufahamiana ktk makazi yako na kumjua at least mtu mmoja ktk familia/ukoo wako ambae ni wa damu ktika kuzaliwa
04. Kujituma na kuwa tayari kupokea maagizo kutoka kwa wanakundi
05. KUJA NA WAZO KUHUSU ULITAKALO TULIFANYE KTK KUNDI KWA FAIDA YA WOTE.
06. Utanzania
07. Jinsia yoyote(walio kamili ktk jinsia hiyo) mashoga na wasagaji hawaruhusiwi.
08. Uwe na tabia njema ktk jamii inayokuzunguka.
09. Upatikane kwa mara ya kwanza ktk kikao kitachowezesha kufahamiana na kuonana.
10. UAMINIFU.


UKIWA UPO TAYARI PIGA SIMU NAMBA:-
0682580560 / 0653273420 / 0762872769

Maoni tunapokea kwa nia njema wapi pa kurekebisha au kuongezea kwa nia njema.

.....................................................................

Kwanini mnataka mwenye kipato kisichozidi milioni moja?
 
Nahisi harufu ya UTAPELI hapa...
Ngoja nipite KUSHOTO..!!!
Asante kwa kuwa nahisia kali namna hiyo unaelekea kuwa kabisa mjukuu wa shekh Yahya Husein endelea na kuamini ktk utabiri lakini kwa ushauri tu kama huna la msingi la kukomenti bora ukae kimya tu.
 
Asante kwa kuwa nahisia kali namna hiyo unaelekea kuwa kabisa mjukuu wa shekh Yahya Husein endelea na kuamini ktk utabiri lakini kwa ushauri tu kama huna la msingi la kukomenti bora ukae kimya tu.
Critics are both negative and positive. Usikasirike mkuu. Ikiwa mwanzo tu kwenye majadiliano unakua mkali zikishakusanywa pesa si utakua mungu mtu? Am just saying. KIPIMO hiki.
 
Critics are both negative and positive. Usikasirike mkuu. Ikiwa mwanzo tu kwenye majadiliano unakua mkali zikishakusanywa pesa si utakua mungu mtu? Am just saying. KIPIMO hiki.
Ahsante nimekuelewa mkuu.
 
Back
Top Bottom