morogoroUpo mkoa gani
kuwa na Subra watakuja kukueleweshamorogoro
Fungua genge, kachukue vitu kama nyanya, vitunguu, nyanya chungu kule nyandila, mlali na mkuyuni. Ila Itabidi ujenge kibanda cha mbaohabari wa wana jamii
naomba kujuzwa nianze biashara gani na mahali gani ambapo ntaweza kupata riziki ya kila siku
mtaji:100000
Karibu kwenye uwekezaji wa biashara yetu pendwa ya betting na ndani ya wiki utakuwa milioneaWakuu habari natarajia kwenda DSM hivi karibuni kuhangaikia biashara. Je kwa mtaji wa laki moja nikafanye biashara gani ndio itanilipa?
AiseeKaribu kwenye uwekezaji wa biashara yetu pendwa ya betting na ndani ya wiki utakuwa milionea