Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habar wana Jf nina laki tano mfukon nataka nifanye biashara je naweza fanya biashara gani?
nitafute kwenye namba hiyo 0763689661.nikupe biashara
mkuu
mbona unadhalilisha kiswahili namna hii?
uko mkoa gani?Jamani natafuta kazi/biashara ya kufanya mtaji na laki 6,[600,000)
naombeni ushauri wenu nifanye kazi gani wadau?
Kwa pesa hiyo unaweza kufanya biashara ya vitumbua au mama niwekee.
nakushauri ujifunze kupaka rangi na kutengeneza kucha akina dada. ni kabiashara kazuri sana kwa hela uliyonayo itatosha kwa kuanzia
Mbona sikuelewi.. Niianze mimi kivipi. Nina biashara zangu ambazo mtaji wake ni zaidi ya 200m wewe ndiye ulieanzisha thread ukaomba ushauri wa aina ya biashara kwa mtaji wako wa laki 3 na kuna mtu ukamjibu kwa unataka kufanya biashara kuhusiana na vitu vidogovidogo vya wanawake. Napenda nikutaarifu wewe moyo wako kwamba sijafurahi na majibu yako kwenye thread yangu, pia nakuona wewe si mwelewa, na kwa taarifa yako biashara ya kupaka rangi na kusafisha kucha akinadada inayofanywa na vijana wengi wanaozungukazunguka na wengine wameweka vijiwe sehemu mbalimbali ambazo sio rasmi sana inalipa sana na mtaji wake ni mdogo sana. Fanya uchunguzi na usikurupuke kutoa majibu ya hovyo kwa watu usiowajua.
Kuvunja moyo kivip mkuu? Nenda kinondoni uone watu vitumbua na maandazi vinavyowatoa!! Au kama vp ngoja tumshauri kama unavyotaka wewe,moyo wangu agiza magari japan uwe unauza hapa bongo yanalipa sana!!
mwanajamvi mwenzangu mbona tunakashfiana! Naami nilimpa ushauri mzuri mwananchama mwezangu aliyeomba ushauri nashangaa sana akanijibu sivyo kwamba nikafanye mimi mwenyewe, nikamjibu ukweli mimi ninabiashara zangu ambazo ninazifanya za zaidi ya 200,000,000/= . sasana wewe sijui umetokea wapi unaanza kunikashifu. sijafurahishwa kabisa na kitendo chako kuwa mstaarabu DullyJr
nafanya kazi wakuu na kila mwezi nalipwa laki tano, sasa naitaji kufanya biashara na kutokana na eneo nililopo nimepanga kuanzisha duka la kawaida...sasa najua huku kuna washauri wazuri kwakua Nina wazo hilo na wazo la kuwa na duka la nguo nitakazokua naxhukulia Uganda...kinachonisumbua ni kwa uzoefu wenu nianze na biashara gani?
NB:namweka MTU kwenye biashara Mimi ntabaki msimamizi.