ampo
Member
- Jul 24, 2014
- 71
- 32
wa ukweli23,
Hii niliifanya Singida inalipa asikwambie mtu nitaifanya na hapa nilipo
Hii niliifanya Singida inalipa asikwambie mtu nitaifanya na hapa nilipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani hivi mbegu za viazi unaweza tumia viazi vya kawaida vinavyouzwa sokoni?Kilimo cha viazi mviringo iringa
Mult level marketing ni nn mkuuMimi nafanya biashara ya Mult level Marketing nilianza na mtaji wa laki 280 inanilipa nanaendelea vizuri kwa sasa. Nakushauri na wewe karibu laki tatu inaweza kuwa mtaji mkubwa sana kwa biashara hii. 0763797853 whatsap na live calls
mimi nilianza biashara na mtaji wa elf 26 na leo ni bilionea.Eric Shigongo alianza na mtaji wa tshs 5000/= kwa kuuza karanga, mpaka hapa alipo leo. Maisha ni safari, hujachelewa ndugu.
Kila la kheri!
naomba kuweka hesabu sawa, maana humu kuna watu kazi yao kuvizia kutoa makosa.mimi nikushauri kwanza nikupongeze kwa kuwa na wazo la uwekezaji katika biashara.
Niukweli usiopingika kwamba ukitaka kuwa tajiri na kuwa huru katika eneo la kifedha basi biashara ndiyo suluhisho.
Kwa mtaji wa laki 3 kwetu sisi wafanyabiashara ni pesa nyingi sana kama ukiweza kuwekeza kwenye fursa zinazokuzunguka na zisizo hitaji mtaji mkubwa.
Siku zote biashara zenye fedha nyingi ni biashara ndogo ndogo.
Ukiweza kununua Mayai kama trei 10 za kuku wa kisasa na ukazunguka kwenye vioski vya kukaanga chips na kuuza kwa jumla ndani ya muda mchache utakuwa umekuza mtaji wako.
Mfano ukanunua trei 1 kwa sh 6500 ukauza elf 7000 kwenye trei 10 utapata elf 10
ukipata wateja 10 kila siku wote wakachukua Trei 10 kila m1 utakuta unatengeneza laki moja kwa siku faida. Hapo hujatoka?
Tatizo la watu wengi hawataki kuanzia chini ndiyo maana wanadharau fedha na kubaki maskini.
kama mimi ningekuwa Rais. Ningepiga marufuku michezo yote ya kamari.Mkuu Nenda kabeti yaani nakuhakikishia unalala maskini kesho unaamka tajiriiii....
Yaani hata unishawishi vipi..huko kwenye hizo pyramid schemes zenu SIJI...bora ntembeze mayai ya kuchemsha siku nzima kuliko huko kwenye MLM yenuJoseverest unakata tamaa sana nadhani kama duniani watu tungekuwa kama wewe basi hakuna ambachokingeendelea
Kama upo eneo linalofaa kwa ufugaji Anzisha mradi wa kufuga kuku wa kisasa unaweza kuanza na kkuku 25 hyku kwa makadirio ya kuku 15000Tsh hapo utanunua majogoo 5 na mitetea 20 then unaanza MDOGO MDOGO