georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
dogo una utani wewe. laki tatu ukanunue nguo mbeya mjini ili ukauze sumbawanga vijijini. mbona hiyo ni nauli tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani hiyo hela ni ndogo sana kwa biashara yako yakusafiri nakushauri ukanunue chenji uuze bara barani
Yani hiyo hela ni ndogo sana kwa biashara yako yakusafiri nakushauri ukanunue chenji uuze bara barani
dogo una utani wewe. laki tatu ukanunue nguo mbeya mjini ili ukauze sumbawanga vijijini. mbona hiyo ni nauli tu.
biashara ya nguo ni ya msimu zaid,Sijui kwa huko sumbawanga
biashara ya nguo ni ya msimu zaid,Sijui kwa huko sumbawanga
vijiji vya sumbawanga sivifahamu,chochote kile nitakachofika kama unavifahamu naomba unipe data ya vijiji ambavyo angalau nitauza
jf naomba mnipe mawazo kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nina laki 3 nataka nijumue nguo za dukani then nipeleke vijijini nikauze kwa rejareja,
Kwa wale wazoefu wa biashara hasa za minadani hiyo pesa inaweza kunitoa kimaisha? mimi nipo sumbawanga mjini nataka kwenda mbeya mjini kujumua huo mzigo kwa hiyo pesa,naomba msaada wa mawazo
Nakushauri ujiunge na NETWORK MARKETING COMPANY hasa Forever living company ni sehemu pekee ambayo inaweza kukutoa na kuwa mfanya biashara mkubwa, ni biashara isiyo ofisi, isiyo hitaji kuajiri mtu wala leseni ya biashara. Ni inbox kama unahitaji kweli kufanikiwa kibiashara kwa mtaji mdogo