Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

Kaka nadhani haujafatilia vizuri, sio mimi nilioomba ushauri, ni mtu mwingine kabisa alienzisha huu uzi, nadhani swali hili umuulize yeye, mimi nimempa mawazo tu ni kipi afanye. Ila kama wataka kujua kama nishawahi kufanya moja ya biashara nilizozitaja hapo juu, basi nasema nishawahi kufanya tena sio kipindi nimemaliza chuo au nipo chuo hapana, mie biashara ilikua akilini zamani sana tokea nipo primari napiga dili, ila hasa nimeanza kukomaa nlivoingia form one, chochote kilichokua mbele yangu kwangu mimi ni oppurtunity, kipindi nipo form one mwaka 2012 nlikua na jamaa wawili mmoja anauza kahawa mwingine anauza biskuti maji pipi na mazaga tofauti karanga anatembeza, kila mmoja nlikua napiga faidi buku mbili jelo kwahiyo wawili inakua buku tano kwa siku, enzi hizo. mimi nimejilea mwenyewe nimejisomesha mwenyewe mpaka chuo nimemaliza mwaka 2011 nimepiga mwenyewe, nakumbuka kipindi nipo chuo kila mtu ana business ya ku print page moja mia, lakini mm nkasema niwe tofauti najua ku type vzr km secretary kwa spidi nzuri nkasema nijiweke nondo zaidi mwez mmoja tu nkawa fiti nkaweka tangazo kuchapa na ku print mia 5 wkt stationary mia 7, watu walikua wanamiminika mpaka nakataa kazi, nlikua pekeangu, kwa cku napiga mpaka elfu 20. na pia nkasema nisikae bure nkajifundisha kutengeneza computa na simu, nkawa napiga hela mzee mpaka elfu 30 kwa siku ukijumlisha na ya ku printi mpaka 50 daily, nipo chuo hapo. ukishajitambua ww umetokea kwnye familia isioeleweka ki uchumi bac ni kupigana tu kitaa, mzunguka bure sio mkaa bure, asietafuta na asile, lazima upigike ukitaka sukari, mtaji sio isue, isue ni kutokata tamaa tu. kpnd cha likizo cha A'levo watu wanaenda kupiga tuition mie npo stand ya daladala natafuta madili, ukienda mitaa yng kote najulikana Alwatan sichagui kazi, watu walikua wanasema yule jamaa si anasoma chuo lkn yupo stand anakomaa lkn mie sijali sisomeshwi na mshua nitapiga simu ntatumiwa, nakomaa mwnywe kila kitu. kua bilionea sio idea au talent, kwangu mm ni kukomaa na kutokata tamaa.

Hapo juu kwenye 2012 ni type error, nimemaanisha 2002 maana najua kuna watu watakurupuka hapa wenye kushkiliwa akili na wavivu wa kufikiri wataanza maswali, 2012 form one halafu 2011 umemaliza chuo, kwahiyo ile ni 2002. Ni hayo tu
 
Mkuu kuna jamaa katoa mawazo safi sana ila naongezea...ice cream za vifuko kama mna friji kwenu au kwako,biashara ya kukaanga kuku na kuuza stendi jioni dili sana cku hizi,pweza jioni,chips sehemu yenye watu,mama lishe mtaa inalipa pia...cheki na za wengine pia halafu usione aibu kaka,haya ni maisha yako
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Habari. Mtaji sio tatizo ila ni fikra ndo kikwazo kikubwa, na madhali umekuja kuomba hizo fikra basi fanya moja kati ya fuatayo.

Tafuta madogo wawili waaminifu wa mtaani wasio kua na ajira. Nunua maji ya jumla uwape wazungushe wauze, waweza kupiga elfu 5 kila cku faida kwa kila mmoja, kwa mwezi una laki 3 mara 3 ya mtaji wako, mambo yakienda vizuri unachukua goli unauza.

Unaweza ukawapa birika la kahawa wakazunguka mtaani wakauza, unapiga bao. mtaji ukiwa mkubwa unaanzisha genge la kahawa, unamuweka mdada mmoja anapika maandazi, vitumbua, kashata, anapika kahawa, chai ya tangawizi mwengine kijana anauza na kusimamia mapato.

Unaweza kuzama karume ukatafuta pamba za ukweli za kike (ndio wanunuzi) na simple kali, ukazama chuo chochote hostel ukawaonesha. (japo sishauri sn maana unatakiwa uwe na taste nzuri ya mavazi).

Anzisha kibanda cha kuuza fruits, tafuta dogo mmoja, awe ana katakata anauza, na dumu moja atengeze fruits ile wanaoweka kwenye glasi, mtaji unatosha.

Tengeneza askirimu za mifuko, mpe dogo akatembeze kwenye shule, kule ndo target customers wako.

Mawazo yapo mengi, ukiona zote zimekushinda, chukua hiyo hela yote nenda kwa bim kubwa, mwambie mama, nimehangaika kitaa siku kadhaa nime make jiwe moja, lkn nimeangalia matumizi yake au nan wa kumpa sijaona mwingne zaidi yako, naomba upokee pesa hii najua sio kubwa ila ongezea ongezea kwenye shughuli zako, mbusu miguu hlf sepa zako. Yaan ndani ya siku chache sn utaona opportunity za kazi zinavokuja mwenyewe utashangaa. Badala ya kuipigia misele au kuhongea au kupiga maji (meongelea kiujumla) ni bora ufanye jambo moja la heri litakalo badilisha taswira ya maisha yako, n by da way dats the ryt ting 2 do, she derves it 2 b kissed in da legs every day, morning n nyt, take it 4m me, da pain of deliverin u in labor z mch az same az dying in a car crash, o drownin in water o smashed by a train in2 2 halfs, n dats js givin birth, didn't tok abt avn u in her belly 4 9 month suffern with frequently puking n mch more, cleann ur dyper, feedin u, mch more worst wen u cried n cnt tok coz ur very tiny 4 dat n she z tryin 2 make u mute n smile coz she's feeln grieve inside seein u her only angel rolling ur tears out from ur beautiful eyes, n carry u here n der, tickling ur cheeks n tok un understandle words (lyk abububuu, papapaaa, yalobby, ashunu shunuu, bababaaa, jst 2 make u smile n singing u songs 2 make u sleep) do u know how mch terrible dat job is?, mch more feeding u, takn u 2 school, iron ur dress, washn ur pants, taking gud care of u though she z so poor 4 dat bt still struggln n neva give up, wen u grow up u sayn shitty stuffs 2 her bt neva kicked u out of her home rather dan js keepn u in heart n olwys prayn gud 4 u. ur nat dat dumb js nat 2 kiss her, nat even 1nc. man u cnt repay ur mum, u telln me u cnt even kiss her feet? dat wl b a shame n disgrace 2 God, n wl olwys feel difficulty here n hereafter. Go kiss ur mum, n u wl c da relief.

Kila la heri.

Gud message ushauri murua umesomeka bradha
 
  • Thanks
Reactions: HMS
help me nna laki moja mkononi niifanyie biashara gani nataka niingize kwnye biashara..? nisaidieni la svyo haitamaliza masaa mawili.

Nenda Nayo Pale KIMBOKA Buguruni Usiku Wa Leo na Itapata Tu Mtaji au Matumizi Ya Uhakika. Ukishindwa Nenda LONGIDO au TARIME Kanunulie SIGARA ----- ( Bange / Bangi ) Na Utuletee Hapa Bongo Na Utapata Faida Sana Kwa Wadau Wake.
 
Habari. Mtaji sio tatizo ila ni fikra ndo kikwazo kikubwa, na madhali umekuja kuomba hizo fikra basi fanya moja kati ya fuatayo.

Tafuta madogo wawili waaminifu wa mtaani wasio kua na ajira. Nunua maji ya jumla uwape wazungushe wauze, waweza kupiga elfu 5 kila cku faida kwa kila mmoja, kwa mwezi una laki 3 mara 3 ya mtaji wako, mambo yakienda vizuri unachukua goli unauza.

Unaweza ukawapa birika la kahawa wakazunguka mtaani wakauza, unapiga bao. mtaji ukiwa mkubwa unaanzisha genge la kahawa, unamuweka mdada mmoja anapika maandazi, vitumbua, kashata, anapika kahawa, chai ya tangawizi mwengine kijana anauza na kusimamia mapato.

Unaweza kuzama karume ukatafuta pamba za ukweli za kike (ndio wanunuzi) na simple kali, ukazama chuo chochote hostel ukawaonesha. (japo sishauri sn maana unatakiwa uwe na taste nzuri ya mavazi).

Anzisha kibanda cha kuuza fruits, tafuta dogo mmoja, awe ana katakata anauza, na dumu moja atengeze fruits ile wanaoweka kwenye glasi, mtaji unatosha.

Tengeneza askirimu za mifuko, mpe dogo akatembeze kwenye shule, kule ndo target customers wako.

Mawazo yapo mengi, ukiona zote zimekushinda, chukua hiyo hela yote nenda kwa bim kubwa, mwambie mama, nimehangaika kitaa siku kadhaa nime make jiwe moja, lkn nimeangalia matumizi yake au nan wa kumpa sijaona mwingne zaidi yako, naomba upokee pesa hii najua sio kubwa ila ongezea ongezea kwenye shughuli zako, mbusu miguu hlf sepa zako. Yaan ndani ya siku chache sn utaona opportunity za kazi zinavokuja mwenyewe utashangaa. Badala ya kuipigia misele au kuhongea au kupiga maji (meongelea kiujumla) ni bora ufanye jambo moja la heri litakalo badilisha taswira ya maisha yako, n by da way dats the ryt ting 2 do, she derves it 2 b kissed in da legs every day, morning n nyt, take it 4m me, da pain of deliverin u in labor z mch az same az dying in a car crash, o drownin in water o smashed by a train in2 2 halfs, n dats js givin birth, didn't tok abt avn u in her belly 4 9 month suffern with frequently puking n mch more, cleann ur dyper, feedin u, mch more worst wen u cried n cnt tok coz ur very tiny 4 dat n she z tryin 2 make u mute n smile coz she's feeln grieve inside seein u her only angel rolling ur tears out from ur beautiful eyes, n carry u here n der, tickling ur cheeks n tok un understandle words (lyk abububuu, papapaaa, yalobby, ashunu shunuu, bababaaa, jst 2 make u smile n singing u songs 2 make u sleep) do u know how mch terrible dat job is?, mch more feeding u, takn u 2 school, iron ur dress, washn ur pants, taking gud care of u though she z so poor 4 dat bt still struggln n neva give up, wen u grow up u sayn shitty stuffs 2 her bt neva kicked u out of her home rather dan js keepn u in heart n olwys prayn gud 4 u. ur nat dat dumb js nat 2 kiss her, nat even 1nc. man u cnt repay ur mum, u telln me u cnt even kiss her feet? dat wl b a shame n disgrace 2 God, n wl olwys feel difficulty here n hereafter. Go kiss ur mum, n u wl c da relief.

Kila la heri.

Mkuu Kote Nimekukubali Na Nakupongeza Sana Kwa Upeo Wako Mkubwa Na Hakika Umetusaidia Wengi Na Haswa Mimi ILA ktk SUALA LA KULAMBA MIGUU Ndiyo Nina Mashaka.

Je Mfano Hana Miguu AU Miguu Ina Ukoma AU Ukurutu Je TUENDELEE tu Kubusu Hivyo Hivyo? Patakuwa Na Usalama Wa Kiafya Kweli Hapo?
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Mkuu Kote Nimekukubali Na Nakupongeza Sana Kwa Upeo Wako Mkubwa Na Hakika Umetusaidia Wengi Na Haswa Mimi ILA ktk SUALA LA KULAMBA MIGUU Ndiyo Nina Mashaka. Je Mfano Hana Miguu AU Miguu Ina Ukoma AU Ukurutu Je TUENDELEE tu Kubusu Hivyo Hivyo? Patakuwa Na Usalama Wa Kiafya Kweli Hapo?

Asante sana mzee kwa kunipongeza.

Na kuhusu swali lako, jaribu kuangalia kwa upeo mkubwa zaidi, mfano mtu anakwambia pale kuna mkono wa mtu pale, je kuna mkono wa mtu kiuhalisia au ina maana vingine? mfano mwingine mtu anaposema mkuu huu mguu wako, je ana maanisha mguu wake ni mguu wa yule jamaa au ana maanisha vingine? mifano ipo mingi sana.

Lengo linamaanisha umwangukie mama yako, umuoneshe unyenyekevu, mbusu kwenye paji la uso, kwenye mikono, kwenye mashavu, kokote kule, ila nimetumia miguu maana ndio sehemu pekee utakayoinama na kuonesha unyenyekevu kua upo chini yake.

Ila mkuu si bora uumwe na ww kutokana na kumbusu mamaako, au wataka kuumwa kutokana na ngono? mimi binafsi km ni kufa kutokana na kumbusu mamaangu ana ukurutu na na nife tu, nisipo kufa kwa ajili ya mamaangu nife kwa ajili ya nani, tena km daktari anasema kupona kwa mama miguu ni mtu ajitolee miguu yake basi mm ntajitolea niwe kilema ili mamaangu atembee, lkn najua mama hawezi kukubali kutokana na mapenzi yao ya kweli na ya dhati.

Mzee Kiswahili ulipiga ngapi Necta mkuu, au umepiga IST? au ISAMILO?

Mi nadhani ujumbe umefika, nashkuru mkuu.
 
Asante sana mzee kwa kunipongeza.

Na kuhusu swali lako, jaribu kuangalia kwa upeo mkubwa zaidi, mfano mtu anakwambia pale kuna mkono wa mtu pale, je kuna mkono wa mtu kiuhalisia au ina maana vingine? mfano mwingine mtu anaposema mkuu huu mguu wako, je ana maanisha mguu wake ni mguu wa yule jamaa au ana maanisha vingine? mifano ipo mingi sana.

Lengo linamaanisha umwangukie mama yako, umuoneshe unyenyekevu, mbusu kwenye paji la uso, kwenye mikono, kwenye mashavu, kokote kule, ila nimetumia miguu maana ndio sehemu pekee utakayoinama na kuonesha unyenyekevu kua upo chini yake.

Ila mkuu si bora uumwe na ww kutokana na kumbusu mamaako, au wataka kuumwa kutokana na ngono? mimi binafsi km ni kufa kutokana na kumbusu mamaangu ana ukurutu na na nife tu, nisipo kufa kwa ajili ya mamaangu nife kwa ajili ya nani, tena km daktari anasema kupona kwa mama miguu ni mtu ajitolee miguu yake basi mm ntajitolea niwe kilema ili mamaangu atembee, lkn najua mama hawezi kukubali kutokana na mapenzi yao ya kweli na ya dhati.

Mzee Kiswahili ulipiga ngapi Necta mkuu, au umepiga IST? au ISAMILO?

Mi nadhani ujumbe umefika, nashkuru mkuu.

well said mkuu!
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Mkuu ahsante kwa ushauri murua, lakin wengine tuna vipaji vya kuimba sana, tufanyaje sasa ili kupitia vipaji hivi tuweze kutoka kimaisha.?
 
Habari. Mtaji sio tatizo ila ni fikra ndo kikwazo kikubwa, na madhali umekuja kuomba hizo fikra basi fanya moja kati ya fuatayo.

Tafuta madogo wawili waaminifu wa mtaani wasio kua na ajira. Nunua maji ya jumla uwape wazungushe wauze, waweza kupiga elfu 5 kila cku faida kwa kila mmoja, kwa mwezi una laki 3 mara 3 ya mtaji wako, mambo yakienda vizuri unachukua goli unauza.

Unaweza ukawapa birika la kahawa wakazunguka mtaani wakauza, unapiga bao. mtaji ukiwa mkubwa unaanzisha genge la kahawa, unamuweka mdada mmoja anapika maandazi, vitumbua, kashata, anapika kahawa, chai ya tangawizi mwengine kijana anauza na kusimamia mapato.

Unaweza kuzama karume ukatafuta pamba za ukweli za kike (ndio wanunuzi) na simple kali, ukazama chuo chochote hostel ukawaonesha. (japo sishauri sn maana unatakiwa uwe na taste nzuri ya mavazi).

Anzisha kibanda cha kuuza fruits, tafuta dogo mmoja, awe ana katakata anauza, na dumu moja atengeze fruits ile wanaoweka kwenye glasi, mtaji unatosha.

Tengeneza askirimu za mifuko, mpe dogo akatembeze kwenye shule, kule ndo target customers wako.

Mawazo yapo mengi, ukiona zote zimekushinda, chukua hiyo hela yote nenda kwa bim kubwa, mwambie mama, nimehangaika kitaa siku kadhaa nime make jiwe moja, lkn nimeangalia matumizi yake au nan wa kumpa sijaona mwingne zaidi yako, naomba upokee pesa hii najua sio kubwa ila ongezea ongezea kwenye shughuli zako, mbusu miguu hlf sepa zako. Yaan ndani ya siku chache sn utaona opportunity za kazi zinavokuja mwenyewe utashangaa. Badala ya kuipigia misele au kuhongea au kupiga maji (meongelea kiujumla) ni bora ufanye jambo moja la heri litakalo badilisha taswira ya maisha yako, n by da way dats the ryt ting 2 do, she derves it 2 b kissed in da legs every day, morning n nyt, take it 4m me, da pain of deliverin u in labor z mch az same az dying in a car crash, o drownin in water o smashed by a train in2 2 halfs, n dats js givin birth, didn't tok abt avn u in her belly 4 9 month suffern with frequently puking n mch more, cleann ur dyper, feedin u, mch more worst wen u cried n cnt tok coz ur very tiny 4 dat n she z tryin 2 make u mute n smile coz she's feeln grieve inside seein u her only angel rolling ur tears out from ur beautiful eyes, n carry u here n der, tickling ur cheeks n tok un understandle words (lyk abububuu, papapaaa, yalobby, ashunu shunuu, bababaaa, jst 2 make u smile n singing u songs 2 make u sleep) do u know how mch terrible dat job is?, mch more feeding u, takn u 2 school, iron ur dress, washn ur pants, taking gud care of u though she z so poor 4 dat bt still struggln n neva give up, wen u grow up u sayn shitty stuffs 2 her bt neva kicked u out of her home rather dan js keepn u in heart n olwys prayn gud 4 u. ur nat dat dumb js nat 2 kiss her, nat even 1nc. man u cnt repay ur mum, u telln me u cnt even kiss her feet? dat wl b a shame n disgrace 2 God, n wl olwys feel difficulty here n hereafter. Go kiss ur mum, n u wl c da relief.

Kila la heri.

Heshima yako mkuu HMS thats th best advice ever!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: HMS
Mkuu ahsante kwa ushauri murua, lakin wengine tuna vipaji vya kuimba sana, tufanyaje sasa ili kupitia vipaji hivi tuweze kutoka kimaisha.?

Kama unajua kutumia guitar na unajiamini sauti nzuri basi zunguka kwenye mahoteli tafuta ajira huku taratibu unaweka mistari ilio ya ukweli unatoa single unatoka, kama hauwezi kupiga guitar jifunze wkt huo huo tafuta sehem ya kukuingizia kipato cha kusukumia siku, (km hauna) cha msingi angalia dunia ilivo na utafakari jinsi ya kuweka mistari, jaribu siku moja nenda hata beach au kwenye mlima upo pekeako kaa chini angalia nature tafakari.

jJiulize wewe ni nani na unataka nini maishani, jiamini kwa dhati unaweza na hamna kinachoshindikana, fumba macho hlf wazia tu kua una familia inayokutegemea, una watoto mmoja anumwa anahitaji hela ya matibabu mwingne anahitaji hela ya shule, hapo hela ya kula hujatoa, mwenye nyumba anagonga mlango anataka kodi yake, mkeo ana mimba anahitaji kwenda leba, mama mzazi hajala siku mbili, halafu mdingi yupo mahututi, una wadogo zako 6 wote wadogo wanakutegemea wewe, halafu kazini umeachishwa kazi, Je utakimbia au utaenda mtaani kutafuta hela kwa nguvu zote ili uinusuru familia yako ambayo ndo penzi lako lote lipo hapo? sasa ukishapata jibu, jiwekee km hiyo ndo uhalisia wako kwa sasa na unahitaji kutoa single ya maana ili kupata mtaji uweze kuanzisha biashara usaidie familia yako.

By the way, hamna anaezaliwa na kipaji, kipaji unakitafuta mwenye halafu unakomaa. Je kipaji chako ni yimbo aina gani, blues au Rap, au RnB, au ni kipi?
 
Asante sana mzee kwa kunipongeza.

Na kuhusu swali lako, jaribu kuangalia kwa upeo mkubwa zaidi, mfano mtu anakwambia pale kuna mkono wa mtu pale, je kuna mkono wa mtu kiuhalisia au ina maana vingine? mfano mwingine mtu anaposema mkuu huu mguu wako, je ana maanisha mguu wake ni mguu wa yule jamaa au ana maanisha vingine? mifano ipo mingi sana.

Lengo linamaanisha umwangukie mama yako, umuoneshe unyenyekevu, mbusu kwenye paji la uso, kwenye mikono, kwenye mashavu, kokote kule, ila nimetumia miguu maana ndio sehemu pekee utakayoinama na kuonesha unyenyekevu kua upo chini yake.

Ila mkuu si bora uumwe na ww kutokana na kumbusu mamaako, au wataka kuumwa kutokana na ngono? mimi binafsi km ni kufa kutokana na kumbusu mamaangu ana ukurutu na na nife tu, nisipo kufa kwa ajili ya mamaangu nife kwa ajili ya nani, tena km daktari anasema kupona kwa mama miguu ni mtu ajitolee miguu yake basi mm ntajitolea niwe kilema ili mamaangu atembee, lkn najua mama hawezi kukubali kutokana na mapenzi yao ya kweli na ya dhati.

Mzee Kiswahili ulipiga ngapi Necta mkuu, au umepiga IST? au ISAMILO?

Mi nadhani ujumbe umefika, nashkuru mkuu.

Nimekupata Mkuu Na Kuhusu Kusoma Nimesomea Shule Zetu Hizi Za BRN......................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Habari. Mtaji sio tatizo ila ni fikra ndo kikwazo kikubwa, na madhali umekuja kuomba hizo fikra basi fanya moja kati ya fuatayo.

Tafuta madogo wawili waaminifu wa mtaani wasio kua na ajira. Nunua maji ya jumla uwape wazungushe wauze, waweza kupiga elfu 5 kila cku faida kwa kila mmoja, kwa mwezi una laki 3 mara 3 ya mtaji wako, mambo yakienda vizuri unachukua goli unauza.

Unaweza ukawapa birika la kahawa wakazunguka mtaani wakauza, unapiga bao. mtaji ukiwa mkubwa unaanzisha genge la kahawa, unamuweka mdada mmoja anapika maandazi, vitumbua, kashata, anapika kahawa, chai ya tangawizi mwengine kijana anauza na kusimamia mapato.

Unaweza kuzama karume ukatafuta pamba za ukweli za kike (ndio wanunuzi) na simple kali, ukazama chuo chochote hostel ukawaonesha. (japo sishauri sn maana unatakiwa uwe na taste nzuri ya mavazi).

Anzisha kibanda cha kuuza fruits, tafuta dogo mmoja, awe ana katakata anauza, na dumu moja atengeze fruits ile wanaoweka kwenye glasi, mtaji unatosha.

Tengeneza askirimu za mifuko, mpe dogo akatembeze kwenye shule, kule ndo target customers wako.

Mawazo yapo mengi, ukiona zote zimekushinda, chukua hiyo hela yote nenda kwa bim kubwa, mwambie mama, nimehangaika kitaa siku kadhaa nime make jiwe moja, lkn nimeangalia matumizi yake au nan wa kumpa sijaona mwingne zaidi yako, naomba upokee pesa hii najua sio kubwa ila ongezea ongezea kwenye shughuli zako, mbusu miguu hlf sepa zako. Yaan ndani ya siku chache sn utaona opportunity za kazi zinavokuja mwenyewe utashangaa. Badala ya kuipigia misele au kuhongea au kupiga maji (meongelea kiujumla) ni bora ufanye jambo moja la heri litakalo badilisha taswira ya maisha yako, n by da way dats the ryt ting 2 do, she derves it 2 b kissed in da legs every day, morning n nyt, take it 4m me, da pain of deliverin u in labor z mch az same az dying in a car crash, o drownin in water o smashed by a train in2 2 halfs, n dats js givin birth, didn't tok abt avn u in her belly 4 9 month suffern with frequently puking n mch more, cleann ur dyper, feedin u, mch more worst wen u cried n cnt tok coz ur very tiny 4 dat n she z tryin 2 make u mute n smile coz she's feeln grieve inside seein u her only angel rolling ur tears out from ur beautiful eyes, n carry u here n der, tickling ur cheeks n tok un understandle words (lyk abububuu, papapaaa, yalobby, ashunu shunuu, bababaaa, jst 2 make u smile n singing u songs 2 make u sleep) do u know how mch terrible dat job is?, mch more feeding u, takn u 2 school, iron ur dress, washn ur pants, taking gud care of u though she z so poor 4 dat bt still struggln n neva give up, wen u grow up u sayn shitty stuffs 2 her bt neva kicked u out of her home rather dan js keepn u in heart n olwys prayn gud 4 u. ur nat dat dumb js nat 2 kiss her, nat even 1nc. man u cnt repay ur mum, u telln me u cnt even kiss her feet? dat wl b a shame n disgrace 2 God, n wl olwys feel difficulty here n hereafter. Go kiss ur mum, n u wl c da relief.

Kila la heri.
Mkuu umempa jamaa shyref bonge la ushauri akizingatia hayo atakuwa bonge la tajiri
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Kuna watu wana roho mbaya sana humu. Mtu yupo serious anaomba ushauri watu wanamkebehi. Sio vizuri ht kidogo. Au hiyo laki moja mnaiona ndogo sana? Watu wanaanza biashara na elfu 2 nyie mnadharau laki moja?

Nina amini wapo watu wenye akili watamshauri vizuri. Si lazima uchangie kila thread..u better keep quite wakati mwingine.
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Back
Top Bottom