tone moja la limao linatosha kabisa kuchachusha pipa la pombe na ikaharibika kabisa.Sasa hao wazembe wachache madhara yao yanafunika vipi jitihada za wachapakazi wengi?
anayekuibia mkeo halafu anamnunulia mahitaji naye ni mwizi pia.ila ni mwizi mwenye ubinaadam kuliko anayekula mkeo na anahongwa unavyohonga wewe.nchi yetu iliharibika sana hakuna sheria AKA banana republic. Jamaa yenu alikuwa mwizi wa kutupwa, mkabila, nepotism.the guy was completely useless .thanks god for Divine intervation the bastered is gone for good ,enzo za kulamba makalio zimeisha.jipange upya
nyinyi ndio wale mnaambiwa mtulize matako.kama alikua na sera mzuri alifutaje uchaguzi serikali za mitaa 2019?
sasa wewe ni nani wa kupasua misuli yako ya shingo ili watu wauone ubaya wake!!!Tusilazimishane itikadi we kama alikutendea mema endelea na mapambio mimi niache free
Boss kasome historia ya hizo inchi vzuri kabla hujazitolea mifano then urudi kuja kujenga hoja ukiwa na all the factors sio kukirupuka km ulivyofanya hapa...usiione Marekani ya Leo, imepitia misukosuko Mingi ikiwemo biashara ya Utumwa na Civil wars za kutosha...Hatuwezi kurudi kule kwenye enzi za ujima eti kisa ndivyo wachina walivyoendelea.
Toa na mifano ya mataifa mengine makubwa basi, au huyaoni? USA, Ujerumani, Ufaransa, UK, Hispania nk.
Ukatili, uonevu ,kuua wenzako kwa kisingizio cha maendeleo haikubaliki.
Isitoshe alikuwa mpigaji kama wapigaji wengine.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Na nyie mmesukumwa na nini kuja kumsifia maiti.Unajua kanifanyia nini kwenye maisha yangu mpaka unilazimishe kuwa,muimba mapambio kama wewe.sasa wewe ni nani wa kupasua misuli yako ya shingo ili watu wauone ubaya wake!!!
ukikituliza kuna tatizo!!tuliza ........ wewe.
pambana na hali yako mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Na nyie mmesukumwa na nini gani kuja kumsifia maiti.Unajua kanifanyia nini kwenye maisha yangu mpaka unilazimishe kuwa,muimba mapambio kama wewe.
Walilia kwa furaha kwa kuwa nchi imepata uhuru ambao ulipotea kwa kipindi cha miaka mitano.Kiongozi gani zero kwenye uwanja wa deplomasia ya mataifa na uchumi alafu bado kichwa maji kama wewe unaamini alikuwa anatupeleka nchi ya Ahadi.Ficha chuki za kijinga, hakuwa rafiki yako wewe na Mzee wa MIGA labda.
Watanzania walimpenda sana kwa uzalendowake na kazinzuri alizo wafanyia nandio maana walimlilia kwa mamilioni.
Wewe uliepitia chuo kikuu na degree yako ya chupi ndio unajifanya kujua sana? Mamluki wakipachikwa huko ndio wanasaidia nini?Kama chaguzi za vyuoni tu (DARUSO,UDOSO,n.k) CCM huwa wanaziingilia na kupachika mamluki wao madarakani,sembuse vyama vya wafanyakazi?
Labda kama hukupita Chuo Kikuu na wala hufuatilii mambo ya Vyama vya Wafanyakazi.
Walilia kwa furaha kwa kuwa nchi imepata uhuru ambao ulipotea kwa kipindi cha miaka mitano.Kiongozi gani zero kwenye uwanja wa deplomasia ya mataifa na uchumi alafu bado kichwa maji kama wewe unaamini alikuwa anatupeleka nchi ya ahadi.
Unaujua uchumi wa kati au unajiongelesha tu[emoji1][emoji1]Pamoja na maadui hao lakini alipendwa na watanzania na alifanya kazi kubwa sana kupeleka nchi hadi uchumi wa kati.alikuwa kiongozi wa pekee aliyependwa sana na kuacha alama katika nyoyo za watanzania
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hiki ndicho anachoweza fanya inept person ambaye kujenga hoja kwake ni changamoto.Pumbafu
Siamini kama huna sababu ya msingi ya kumchujia jiwe,inawezekana wewe upo Kati ya hayo makundi tajwa na mwandishi,lkn unatakiwa uzitime nchi kama malaysia,Singapore,China,kwa mtizamo wa wapigaji ni nchi za kudkteta,tizama surharto alivyokufa, mataifa ya magharibi yalimwita dikteta,lkn hebu fikilia alichoifanyia nchi yake,china kila siku haihawahi kusemwa vzr na watu wa magharibi,initizame leo chini iko wapi?,ombi langu kwako jitahidi kufikiri kwa bidii,utaupata ukweli,Motion ya huyo hayati wenu haikua na uelekeo wa kutupeleka uchina,ngoma ilikuwa inaelekea ZIMBABWE acheni kufananisha uharo na futari.
NIPO WAZI KABISA SIKUMPENDA JAMAA YENU HAKUWA KIONGOZI RAFIKI WA WATANZANIA.
Siku wewe mtakatifu ukifa unafikiri kuna watu watakufa wakikulilia?,hata familia tako naamini itashukuru kwa kifo chako,lkn magufuli watu zaidi ya 74 wamepoteza maisha yao wakimliliaUnasema huvyo kwa sababu hukuwahi kuguswa wakati wa utawala wa yule shetani. Mimi ni mhanga niligombea nafasi Fulani ndani ya chama Fulani tena ni chama cha wafanyakazi tu. Kilichotokea ni maajabu. Kwa kuwa walihisi nipo upande wa pili, nilitekwa nikalazimishwa kujiunga na upande wa kijani. Niliyoyaona huko sithubutu hata kumuomba dua yule kayafa. Mungu amlaze mahali panapostahili.
Kuua watu waliokuwa wana mawazo mbadala!! kauli yake iliitaka iwe sheria.JPM was kind of a leader.. Alikosea na Kuharibu reputation yake..
..Alipoendekeza ukabila.
..kuminya demokrasia
..kutotaka kosolewa
Huyu mwamba anafananisha utawala wa Magufuli na china kweliNDUZA.
usijifanye kipanga.
Hivi ninyi watu mmekubwa na nini hivi nchi zilizoendelea duniani ni China na Singapore pekee yake?Hivi hizo nchi za Asia unazotaja hapo unaweza zifananisha kwa kiwango bora cha maisha na nchi kama Finland, Denmark,Sweden,Norway na Netherlands? kwanini unahisi kigezo cha maendeleo sharti kiwe kwa njia za udhalimu na umwagaji damu?hii roho na akili ya kishenzi hivi mnaipata wapi?imeanza lini?mbona misingi ya taifa letu inaamini katika haki za binadamu?.Siamini kama huna sababu ya msingi ya kumchujia jiwe,inawezekana wewe upo Kati ya hayo makundi tajwa na mwandishi,lkn unatakiwa uzitime nchi kama malaysia,Singapore,China,kwa mtizamo wa wapigaji ni nchi za kudkteta,tizama surharto alivyokufa, mataifa ya magharibi yalimwita dikteta,lkn hebu fikilia alichoifanyia nchi yake,china kila siku haihawahi kusemwa vzr na watu wa magharibi,initizame leo chini iko wapi?,ombi langu kwako jitahidi kufikiri kwa bidii,utaupata ukweli,
Dhibitisha ukabira wa magufuli,JPM was kind of a leader.. Alikosea na Kuharibu reputation yake..
..Alipoendekeza ukabila.
..kuminya demokrasia
..kutotaka kosolewa
Uchina walipotezana wangapi mpaka kufika hapo wewe...Hawa watakataa unayoyasema.
1. Wale waliopotea na waliopotelewa na ndugu zao katika mazingira tata
2. Wale waliochukuliwa mali zao kidhalimu na ma-task force
3. Wale walipelekwa magerazani kwa miezi na miaka kwa kesi za kubumba
4. Walipoteza maisha katika chaguzi kama Akwilina
5. Waliopoteza biashara kama Kwanza TV na Mbowe
6. Walionyang'anywa passports kama Eyakuze
7. Waliochafuliwa wanafanya biashara za madawa na kipendwa chake bashite
8. Waliopoteza kazi zao kwa mkono na niaovu kama Fatma Karume
9. Wakulima Ambao hawakupewa pesa zao za korosho
10. Waliobomolewa nyumba zao Kimara