Wachina walikwenda hivi kwa miaka isiyopungua 20 na leo tunawaona wako hapa ila sie miaka 5 tu ndg yetu washamuwaisha ahera, haitatokea tukajitegemea watanzania na daima tutaendelea kutawaliwa na kuonewa. Tumechukua upande wa wakataa pema sasa pabaya pametuita rasmi
Wakati wa mapinduzi ya Kijani,China ilitumia jeshi kuhakikisha wananchi wanafanya kazi.
Rushwa ,upendeleo,ukabila,havikukubarika,
Wananchi walipitia Hari ngumu lakini waliona matokeo,
Sasa huwezi kulinganisha juhudi za Mao se tung,na Jiwe,Jiwe alizuia wengine wasiibe Ili aibe yeye na maswaiba zake,Mfano mdogo tu Makonda aliingiza mzigo wa magari akidai ni viti vya shule Ili asilipe kodi,Hakutumbuliwa.
Jiwe alichukua tender ya uwanja wa Chato akampa shemeji yake,bila kufata taratibu za tender,hii china unapigwa risasi.
Jiwe alikuwa muhongo sana,miradi ya flyover za Dar ilibuniwa kipindi Cha Kikwete na inajengwa kwa pesa za UN na Ulaya.
Siku hizi mapato yote yanakusanywa na TRA,halmashauri zimezuiwa kukusanya,hakuna kilichoongezeka.
Jiwe halikuwa haambiriki,Mkabila,much know nyingi,hafati Sheria.Bora limeenda.