Kuna vyakula mzungu anakula wewe hauli,je unafahamu hilo!?Hakuna virutubisho na hakuna ushahidi hao wazungu wangekuwa wanakula, mbona mna utapiamlo !? Wkati nasoma mama yako bado hajapewa mimba yake 😀 😀
Hkuna virutubisho labda kwa mifugo
Jomba kusoma hujui? yaani mahindi yanayopigwa dawa halafu usage dona 😀 😀 Shule ulisome chini ya mti nnKuna vyakula mzungu anakula wewe hauli,je unafahamu hilo!?
Kuna vyakula mchina anakula na kweli vina virutubisho ila wewe hauli,je walijua hilo?
Mzungu anakula corn(mahindi ya njano) kwa kuyachoma na moto ama kuyachemsha ama kuyapika popcorn.
Utofauti ni kuwa mimi nasaga unga.
Mzungu unayemsemea huyo hapo msome ujue faida za mahindi ya njano.
View attachment 2961523View attachment 2961524View attachment 2961525
Wewe unajua kabisa dona ni bora lakini ujeuliwako tu mtandaoni kubishia ukweli,Jomba kusoma hujui? yaani mahindi yanayopigwa dawa halafu usage dona 😀 😀 Shule ulisome chini ya mti nn
Tafiti ndogo tu nyie mnaongoza kwa utapiamlo...Nonyeshe wapi wameandika ugali wa dona? Kama ni mahindi mbona watu wanakula makande sio uchafu wa dona huo ...Hata wazungu hawatumii chakula cha nguruwe hiko
Unavyozidi kuongea unazidi kuonesha kuwa we ni mweupe kichwani.Jomba kusoma hujui? yaani mahindi yanayopigwa dawa halafu usage dona 😀 😀 Shule ulisome chini ya mti nn
Tafiti ndogo tu nyie mnaongoza kwa utapiamlo...Nonyeshe wapi wameandika ugali wa dona? Kama ni mahindi mbona watu wanakula makande sio uchafu wa dona huo ...Hata wazungu hawatumii chakula cha nguruwe hiko
Yani anachobisha ni sawa mtu abishe juisi ya embe haina afya embe ndio lina afya.Wewe unajua kabisa dona ni bora lakini ujeuliwako tu mtandaoni kubishia ukweli,
Hujawai jiuliza kwanini wadudu wanashambulia kiini au panya?.[emoji12]
wewe mjinga nn naongelea mahindi au dona ? Kile chakula cha lishe walicholeta juzi hapa ni dona ? Mtu ulipata udumavu bado unaendelea kumezesha upumbavu vizazi vyako.Unavyozidi kuongea unazidi kuonesha kuwa we ni mweupe kichwani.
Nimekuletea ushahidi wa wazungu kuhusu mahindi ya njano ambayo ndio yanayosagiwa unga wa dona.
Chanzo cha ugali wa dona ni nini mzee kama sio mahindi ya njano!?
Mbona unakua fala wa kupitilza?
Apa ni left kwanza kwani we sijui wadarasa la7.wewe mjinga nn naongelea mahindi au dona ? Kile chakula cha lishe walicholeta juzi hapa ni dona ? Mtu ulipata udumavu bado unaendelea kumezesha upumbavu vizazi vyako.
Unga wa dona kwa ajili ya mifugo hata Nigeria wanatumia ugali mweusi sio ujinga wenu...Utapiamlo kila kona huko kwenu
Msoga,Msolwa,Lugoba,Bwawani,Miono,Hondogo ,Kata za Bagamoyo na Chalinze hizo...zina udongo gani hizo .....Wakoloni wanalima namba huko,na Mbaazi...We umetembea pwani ipi yenye dongo zuri!?..mkuranga yote mchanga,bmoyo,kisarawe Kuna mbuga ya selous huruhusiwi kufanya chochote,kibaha gani Ina dongo zuri,misugusugu!?
[emoji818][emoji818][emoji818]Ngoja niangalie orodha ya mikoa maskini kwanza Kwa mujibu wa nbs halafu nitarudi, maana uvivu baadae huleta umaskini.
Aisee kwahiyo wanasingiziwa Hawa, au tafsiri ya uvivu aliyomaanisha mtoa mada ni tofauti?
Kwaupande wa uvivu ni wavivu kweli,kwakulinganisha na maeneo mengine nenda mfano nyanda zajuu utakutana na katoto kana miaka 7 kanachunga asubuhi mpaka 12 jion.Aisee kwahiyo wanasingiziwa Hawa, au tafsiri ya uvivu aliyomaanisha mtoa mada ni tofauti?
Mkuu,Nimeandika kisarawe babu,ukifika vikumburu kisarawe huko Kuna mawe ya mbuga ya selous, kawaida tu kukutana na tembo na Mara moja moja mzee mwenyewe
Umeshawahi kuona Lindi na Mtwara kuna omba omba kama Dodoma?Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..
Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.
Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]Mkuu,
Selous ipo Morogoro,Pwani, Ruvuma na Lindi, yani hata ukiondoa hilo eneo Mbuga Kisarawe bado inabaki na eneo kubwa sana...
Jiografia ya Morogoro Kusini,Njombe na Ruvuma ni Milima tupu...usafiri ni mgumu kinoma...lakini haizuii watu kufanya kilimo.
Wilaya ya Ludewa na Makete ina udongo wenye asidi kali, hautaki mahindi, lakini wamejitosa kwenye kilimo cha mazao mengine.
Longido,Monduli ni kame haswaa, lakini watu wanfuga haswaa...
kutafuta visingizio haitatui hilo jambo
Kuhusu wafanya kazi kusema kweli sina data yeyote kwamba wanaofanya kazi ni wakazi wa eneo husika au wageni. Nimechukulia tu kupatikana kwa viwanda eneo husikaIla mkuu kafuatilie hivyo viwanda idadi ya wafanyakazi ni wa wapi?
Wapwani unawahesabu mkuu.
Asa nashindwa kuelewa hawa jamaa wakoje.
Usiwaze mkuuNimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..
Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.
Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Ombaomba ni uvivu? Nayo nikazi tena hii inaitaji kujiamini,Umeshawahi kuona Lindi na Mtwara kuna omba omba kama Dodoma?
Au wewe ndio huwa unawasaidia mahitaji yao ya msingi?
Ok, kwahiyo uvivu unaosemwa hapa ni wa kutofanya kazi sana, lakini naona mikoa Yao haipo kwenye orodha ya mikoa ya chini hapo juu, hii inakuwaje?Kwaupande wa uvivu ni wavivu kweli,kwakulinganisha na maeneo mengine nenda mfano nyanda zajuu utakutana na katoto kana miaka 7 kanachunga asubuhi mpaka 12 jion.