Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Hakuna virutubisho na hakuna ushahidi hao wazungu wangekuwa wanakula, mbona mna utapiamlo !? Wkati nasoma mama yako bado hajapewa mimba yake 😀 😀

Hkuna virutubisho labda kwa mifugo
Kuna vyakula mzungu anakula wewe hauli,je unafahamu hilo!?
Kuna vyakula mchina anakula na kweli vina virutubisho ila wewe hauli,je walijua hilo?
Mzungu anakula corn(mahindi ya njano) kwa kuyachoma na moto ama kuyachemsha ama kuyapika popcorn.
Utofauti ni kuwa mimi nasaga unga.

Mzungu unayemsemea huyo hapo msome ujue faida za mahindi ya njano.
 
Jomba kusoma hujui? yaani mahindi yanayopigwa dawa halafu usage dona 😀 😀 Shule ulisome chini ya mti nn

Tafiti ndogo tu nyie mnaongoza kwa utapiamlo...Nonyeshe wapi wameandika ugali wa dona? Kama ni mahindi mbona watu wanakula makande sio uchafu wa dona huo ...Hata wazungu hawatumii chakula cha nguruwe hiko
 
Wewe unajua kabisa dona ni bora lakini ujeuliwako tu mtandaoni kubishia ukweli,

Hujawai jiuliza kwanini wadudu wanashambulia kiini au panya?.[emoji12]
 
Unavyozidi kuongea unazidi kuonesha kuwa we ni mweupe kichwani.
Nimekuletea ushahidi wa wazungu kuhusu mahindi ya njano ambayo ndio yanayosagiwa unga wa dona.
Chanzo cha ugali wa dona ni nini mzee kama sio mahindi ya njano!?
Mbona unakua fala wa kupitilza?
 
Wewe unajua kabisa dona ni bora lakini ujeuliwako tu mtandaoni kubishia ukweli,

Hujawai jiuliza kwanini wadudu wanashambulia kiini au panya?.[emoji12]
Yani anachobisha ni sawa mtu abishe juisi ya embe haina afya embe ndio lina afya.
Ilhali product ya juisi ya embe ni embe lenyewe.
Haijaelewi huyu jamaa.
 
wewe mjinga nn naongelea mahindi au dona ? Kile chakula cha lishe walicholeta juzi hapa ni dona ? Mtu ulipata udumavu bado unaendelea kumezesha upumbavu vizazi vyako.

Unga wa dona kwa ajili ya mifugo hata Nigeria wanatumia ugali mweusi sio ujinga wenu...Utapiamlo kila kona huko kwenu
 
Apa ni left kwanza kwani we sijui wadarasa la7.
 
We umetembea pwani ipi yenye dongo zuri!?..mkuranga yote mchanga,bmoyo,kisarawe Kuna mbuga ya selous huruhusiwi kufanya chochote,kibaha gani Ina dongo zuri,misugusugu!?
Msoga,Msolwa,Lugoba,Bwawani,Miono,Hondogo ,Kata za Bagamoyo na Chalinze hizo...zina udongo gani hizo .....Wakoloni wanalima namba huko,na Mbaazi...

Kiluvya,Homboza,Sungwi,Masaki,Kibwegere huko ni Wilaya ya Kisarawe

Ruvu, Ruvu stesheni ,Luhanga, maeneo yote ya mpaka wa Kibaha na Kisarawe....

Sehemu yoyote machimbo ya mawe na vifusi ,lazima kuwe na udongo wa unaofaa kwa Kilimo...
Huko kote kuna udongo wa kulima
 
Ngoja niangalie orodha ya mikoa maskini kwanza Kwa mujibu wa nbs halafu nitarudi, maana uvivu baadae huleta umaskini.
 
Aisee kwahiyo wanasingiziwa Hawa, au tafsiri ya uvivu aliyomaanisha mtoa mada ni tofauti?
Kwaupande wa uvivu ni wavivu kweli,kwakulinganisha na maeneo mengine nenda mfano nyanda zajuu utakutana na katoto kana miaka 7 kanachunga asubuhi mpaka 12 jion.
 
Nimeandika kisarawe babu,ukifika vikumburu kisarawe huko Kuna mawe ya mbuga ya selous, kawaida tu kukutana na tembo na Mara moja moja mzee mwenyewe
Mkuu,
Selous ipo Morogoro,Pwani, Ruvuma na Lindi, yani hata ukiondoa hilo eneo Mbuga Kisarawe bado inabaki na eneo kubwa sana...
Jiografia ya Morogoro Kusini,Njombe na Ruvuma ni Milima tupu...usafiri ni mgumu kinoma...lakini haizuii watu kufanya kilimo.

Wilaya ya Ludewa na Makete ina udongo wenye asidi kali, hautaki mahindi, lakini wamejitosa kwenye kilimo cha mazao mengine.

Longido,Monduli ni kame haswaa, lakini watu wanfuga haswaa...

kutafuta visingizio haitatui hilo jambo
 
Umeshawahi kuona Lindi na Mtwara kuna omba omba kama Dodoma?


Au wewe ndio huwa unawasaidia mahitaji yao ya msingi?
 
[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
 
Ila mkuu kafuatilie hivyo viwanda idadi ya wafanyakazi ni wa wapi?
Wapwani unawahesabu mkuu.
Asa nashindwa kuelewa hawa jamaa wakoje.
Kuhusu wafanya kazi kusema kweli sina data yeyote kwamba wanaofanya kazi ni wakazi wa eneo husika au wageni. Nimechukulia tu kupatikana kwa viwanda eneo husika
 
Usiwaze mkuu

Nasikia katika mkeka ujao ndugu GENTAMYCINE jembe la kazi litakuwemo Ili likachape kazi mpka zitoe damu


🤣🤣🤣🤣
 
Umeshawahi kuona Lindi na Mtwara kuna omba omba kama Dodoma?


Au wewe ndio huwa unawasaidia mahitaji yao ya msingi?
Ombaomba ni uvivu? Nayo nikazi tena hii inaitaji kujiamini,
Lindi na mtwara ni wavivu mpaka kuomba mitaani[emoji102][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]
 
Mleta mada inaonekana una chuki na kanda hizo ulizotaja.


Ni kweli huwezi kufananisha upigaji wa watu wa kanda ya ziwa na hizo kanda


Kanda ya ziwa wanapiga kazi si mchezo


ila pamoja na yote, hakuna uvivu na sifa za kuzidi hadi umekuja kufungua uzi huku JF
 
Kwaupande wa uvivu ni wavivu kweli,kwakulinganisha na maeneo mengine nenda mfano nyanda zajuu utakutana na katoto kana miaka 7 kanachunga asubuhi mpaka 12 jion.
Ok, kwahiyo uvivu unaosemwa hapa ni wa kutofanya kazi sana, lakini naona mikoa Yao haipo kwenye orodha ya mikoa ya chini hapo juu, hii inakuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…