Kuna vyakula mzungu anakula wewe hauli,je unafahamu hilo!?Hakuna virutubisho na hakuna ushahidi hao wazungu wangekuwa wanakula, mbona mna utapiamlo !? Wkati nasoma mama yako bado hajapewa mimba yake 😀 😀
Hkuna virutubisho labda kwa mifugo
Kuna vyakula mchina anakula na kweli vina virutubisho ila wewe hauli,je walijua hilo?
Mzungu anakula corn(mahindi ya njano) kwa kuyachoma na moto ama kuyachemsha ama kuyapika popcorn.
Utofauti ni kuwa mimi nasaga unga.
Mzungu unayemsemea huyo hapo msome ujue faida za mahindi ya njano.