greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Sasa wewe ndiyo ulete hizo takwimu,leta takwimu za ukimwi nchini nyie ni almarufu kupigana miti tu labda uchapakazi wa ngono zembe
Tanga wavivu Sana wanaume ndo wanaongoza Kwa uvivu Na umbeaIngawa Tanga ona afadhali.
TZ sio quick thinkers and Kujitoa aibu km kenya wenzetu wakitaka chao they never look u on the eyes they just hit,TZ umwinyi mwingi not KenyaMkoa gani unaongoza kwa uvivu?
Kenyan: Tanzania!
Hivi umeshawahi kufika kigoma na hiyo rukwa ukaone shughuli za kiuchumi za watu ulinganishe na mkuranga au chalinze au bagamoyo vijijini ?Lete facts mkuu.
Kama umasikini hata Dar ni masikini sana. Dar ina umasikini kwanza ambao haujaisha ndio unataka Pwani ilingane na Dar kimaendeleo?
Haya Pwani wavivu, Singida, Rukwa, Kigoma nako ni nini kimewapata?
Halafu usiongee sana, Wasukuma wanahamia kwa wingi Pwani. Wanadhani wakazi ni wavivu. Wakifika mtu mmoja analima heka nyingi akidhani ni rahisi kutunza shamba. Wanagundua ardhi na majira ya Pwani si kama kwao usukumani. Pwani inapokea mvua nyingi, palizi ni nyingi, magugu yanaota after 2 weeks hata upulize dawa gani. Ndipo wanajifunza kulima kwa akili badala ya nguvu.
Haya tuambie, watu wa Mbeya wangefanya nini Pwani?
Utakua umetokea huko sibure,Tanga wavivu Sana wanaume ndo wanaongoza Kwa uvivu Na umbea
Mkuu,Arusha wanaongoza kwa kuzalisha Mazao ya Maua hapa nchini.. Meru na Arusha mjini.Pwani wanazalisha nn? Acha kukariri maisha nenda Mombasa kaangalie wanalima nn? Nenda Arusha kaangalie wanalima nn?
Umekariri kulima tu ,utapiamlo unatoka wapi kweny hiyo mikoa ya kilimo..
Basi kama hujui Muheza & lushoto ndio kuna matunda mengi kushinda mkoa wowote ule ,Handeni wanalima mahindi ya kulisha hata Tz nzima japo sio kwa wingi kama Ruvuma ila ni mengi... Ukienda mkinga watu wanalima mihogo.
Wengine ni uvuvi wa aina kibao ,huku kuna diaspora kibao usipenda kufananisha mikao ya huko na washamba wa bara ni vitu viwili tofauti.
Yani shida wengi wa wanaobisha hawajazunguka hii nchi...Hivi umeshawahi kufika kigoma na hiyo rukwa ukaone shughuli za kiuchumi za watu ulinganishe na mkuranga au chalinze au bagamoyo vijijini ?
Ubaya watoto wa kizaramo mkishacheza mangoma yenu mnadhani mikoani ni masikini tu.
Hao watu Wana Diaspora wengi wanaowatumia hela , hao Diaspora hasa hasa wapo Uarabuni.
By the way shughuli kuu ya watu wa mikoa hiyo ni uvuvi na shughuli hii hufanyika zaidi nyakati za usiku.
Kwa kifupi wakati wewe unarandaranda mabaani kusaka Malaya basi wao huwa baharini kupiga kazi.
Kingine inabid uwe Makin Sana ili uwaelewe hao watu maana unaweza kuchanganya " Uvivu" na " Uvuvi" ukashindwa kuwaelewa kwamba ni wavivu au ni wavuvi?
Hao wanapiga kazi mkuu ndio maana huwaoni kwenye orodha ya mikoa masikin Zaid nchini.
Unabidi useme matunda gani mkuu,,,Mkuu mikoa inayozalisha matunda kwa wingi Tanzania ni Tanga na Pwani.
Kila mkoa una kitu chake hivyo usituaminishe totaly kwamba hiyo mikoa ni useless.
Tanga imebarikiwa Kilimo cha Machungwa tuYani nyie hata kwenye Uvuvi bado sana....
Eti Handeni wanalima mahindi ya kutosha...π€£π€£π€£π€£...
Ndugu hapo imejidhihilisha haujawahi Fika Mbeya au Songwe ,ndiyo ungeelewa nini maana ya kilimo.
Taja hayo matunda unayosema wewe,,Machungwa na Chenza tu,ama?.
Mkuu, tembea kwanza kabla ya kubisha, kwa kilimo mikoa yenu bado sana...yani bado
Naishi nao Huku nawaonaUtakua umetokea huko sibure,
Ndio unavyojidanganya hivyo... wewe ndio haujazunguka hii nchiYani shida wengi wa wanaobisha hawajazunguka hii nchi...
Yah wasambaa[emoji846] Ni wapiga Kaz wazuriHao watu Wana Diaspora wengi wanaowatumia hela , hao Diaspora hasa hasa wapo Uarabuni.
By the way shughuli kuu ya watu wa mikoa hiyo ni uvuvi na shughuli hii hufanyika zaidi nyakati za usiku.
Kwa kifupi wakati wewe unarandaranda mabaani kusaka Malaya basi wao huwa baharini kupiga kazi.
Kingine inabid uwe Makin Sana ili uwaelewe hao watu maana unaweza kuchanganya " Uvivu" na " Uvuvi" ukashindwa kuwaelewa kwamba ni wavivu au ni wavuvi?
Hao wanapiga kazi mkuu ndio maana huwaoni kwenye orodha ya mikoa masikin Zaid nchini.
Kwa sasa karibia mikoa yote iko hivyo labda Kilimanjaro ndio naona bado wanajituma kwenye migomba yao nao ni kwa sababu Dar inawabeba wana uhakika wa kuuza ndizi zao Dar na zinapendwa.Nadhani mtwara inaongoza Tanzania kwa uvivu! Ni sehemu pekee ambako saa moja asubuhi unakuta wanaume wanacheza bao au wapo kwenye vijiwe vya kahawa.
Ni sehemu pekee maisha ya wenyeji wanashindia mlo mmoja na wanaona ni sawa. Ni sehemu pekee ambako hata ukitoa kibarua mwenyeji ukisha mlipa elfu 3 harudi kazini hadi aitumie iishe . Ni sehemu pekee ambao vikongwe ndio wanaenda shambani vijana wanazurura mtaani
. Ni sehemu pekee ambako mtu akilima robo heka anahadithia nina shamba kubwa. Ni sehemu pekee ambako wafanya biashara wenyeji wameridhika wanafungua maduka saa nne asubuhi. Ni sehemu pekee ukienda duka la mwenyeji na elfu kumi ukitaka kununu kitu cha elfu 4 unaambiwa sina chenji na unaondoka na hela yako vinginevyo ukatafute mwenyewe chenji.
Tunashkru wakinga kuingia mji huu vinginevyo tungenyanyasika sana na hela zetu madukani. Ila kwa penzi na chumvi ni mkoa rafiki kuliko mikoa yote. Karibu mtwara tufaidi watoto wa kimakonde kwa elfu 2 hadi kwa mkopo bila kujali ni msichana au mke wa mtu. Ila ukisha mtongoza au kumla atafanya matangazo mtaa mzima. Hawana siri
Sasa pwani Kuna Nini sana mpaka unambishia mtoa mada mkuu? Yaani ukienda kununua kitu dukani anakuuliza "ni hela inayohitaji chenji?, Kama ni hiyo basi usinunue mie Sina chenji"Hivi ushawahi sikia mkoa wa Pwani una njaa wanahitaji msaada wa chakula?
Ushawahi sikia Pwani moja ya mikoa masikini zaidi Tanzania?
Umewahi kusikia Pwani watoto wana utapiamlo?
Uvivu huu mnaozungumzia walio nao mkoa wa Pwani (pwani per se) ni uvivu gani?
Au ni uvuvi ndio mnachanganya na uvivu?
Kipimo Cha Umasikini ni tofatuti na unavyozani.Ila kweli mana ikitajwa mikoa maskin sn haipo utaskia kagera katavi tabora mara rukwa
Utapia mlo sio kukosa chakula tu.Hivi ushawahi sikia mkoa wa Pwani una njaa wanahitaji msaada wa chakula?
Ushawahi sikia Pwani moja ya mikoa masikini zaidi Tanzania?
Umewahi kusikia Pwani watoto wana utapiamlo?
Uvivu huu mnaozungumzia walio nao mkoa wa Pwani (pwani per se) ni uvivu gani?
Au ni uvuvi ndio mnachanganya na uvivu?
Ukiwataja watu wa Lindi majority huko ni Waislamu mkuu kua makini Misikiti ni mingi kuliko makanisa 90% nyumba za Ibada ni Misikiti ikifuatiwa na Kilwa na Mafia sijui ni Mkoa au ni WilayaLindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu
Chukia tu coz ndiyo ukanda wenu, ila unaosemwa hata wewe wajua ni Ukweli....Ndio unavyojidanganya hivyo... wewe ndio haujazunguka hii nchi