Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Ukiwataja watu wa Lindi majority huko ni Waislamu mkuu kua makini Misikiti ni mingi kuliko makanisa 90% nyumba za Ibada ni Misikiti ikifuatiwa na Kilwa sijui ni Mkoa au ni Wilaya
Udini usiwekwe hapo mkuu, Chalinze kuna kata nilifika nilikuta vijiji vina wakwere wakristo wa kutosha...
 
Udini usiwekwe hapo mkuu, Chalinze kuna kata nilifika nilikuta vijiji vina wakwere wakristo wa kutosha...
Sasa hio Chalinze ni Wapi haujui kule Wamishionari walipachika Misalaba yao kabla hata ya Uhuru, unataja wakwere haujui unaizungumzia Bagamoyo haujui Bagamoyo ndio kuna Kanisa kongwe kuliko yote Nchini
 
Kwa ukanda wetu Chakula si shida,,,watu wanakula na vyakula bei nafuu sana...

Hapo hiyo utapiamlo bara labda iwe Kaskazini na Kanda ya kati....

Kuna Msafwa au Mnyakyusa kishikonda.
 
Sasa hio Chalinze ni Wapi haujui kule Wamishionari walipachika Misalaba yao kabla hata ya Uhuru, unataja wakwere haujui unaizungumzia Bagamoyo haujui Bagamoyo ndio kuna Kanisa kongwe kuliko yote Nchini
Ndiyo mana nkasema ishu siyo dini ila Mazoea ya wakazi husika...

Mana mfano Kagera ina ardhi nzuri,ipo mpakani,ina maji...ila ni Maskini wa kutupa,,kumbuka Kagera ina Wakristu wengi sana..makadinali wote wa Tanzania wametokea huko.
 
Ndiyo mana nkasema ishu siyo dini ila Mazoea ya wakazi husika...

Mana mfano Kagera ina ardhi nzuri,ipo mpakani,ina maji...ila ni Maskini wa kutupa,,kumbuka Kagera ina Wakristu wengi sana..makadinali wote wa Tanzania wametokea huko.
Nasemaje wewe haujanielewa nimesema kwamba mleta mada anapogusa Lindi asisahau Lindi 90% ni Waislamu wakristu ni wa kuhesabu kwa hio hapo aliposema hawana ukarimu wachoyo wana midafu Ila unapiga kazi hupewi hata dafu na wana minazi kibao, nikamwambia hapo unagusa ndugu zetu katika Imani sio kabila lao wala Mkoa wao
 
Shule za Arusha somo moja walimu wamezidi,shule za pwani, Lindi mtwara Kuna upungufu wa walimu,nani alaumiwe hapo!?
 
Kilimo, Migodi,Biashara,Ufugaji,Uvuvi....
Fika Kahama, Tunduma, Ilala, Kyela,Z.Victoria...utaona wachapa kazi.
Ilala wachapa kazi!?..kumbe hata bila kutumia nguvu ni kuchapa kazi!?... mtwara na Lindi hawana korosho!?..hawavui!...hakuna mgodi ruangwa!?hakulimwi karanga huko!?
 
Shule za Arusha somo moja walimu wamezidi,shule za pwani, Lindi mtwara Kuna upungufu wa walimu,nani alaumiwe hapo!?
Walimu wanatoka mikoa yote kwani wao hawawapi nafasi walikua Wazawa wa huko huko kwao?
 
😅😅😅Acha utani maua hayo mashamba ya wazungu ,Sasa huoni kila jamii na utamaduni wake.

Arusha unaifikia Mombasa kwa maendeleo!? Jaribu kutembea Sasa Dar wanalima nn?
 
Ilala wachapa kazi!?..kumbe hata bila kutumia nguvu ni kuchapa kazi!?... mtwara na Lindi hawana korosho!?..hawavui!...hakuna mgodi ruangwa!?hakulimwi karanga huko!?
Hahaha mdau kalenga Lindi sio Mtwara Mtwara haipo hapo kule watu wanapiga kazi atakua hajatembea akaona
 
Utakua huijui pwani,pwani in rutuba gani na imejaa mchanga kasoro kisarawe ina mfinyanzi!?
 
Umenena haswa
 
Kumiliki mashamba ya minazi, mikorosho, miembe, miwa, michungwa ni dalili ya uvivu. Huhitaji kwenda shamba mara Kwa mara. Utashinda kucheza BAO tu.
 
Hata kwa Uvuvi, bado sana, hakuna hata Wilaya moja Pwani inayofikia Mwanza kwa uvuvi....
Yani usijifichie huko,wakati Mkuranga,Kisarawe,Kibiti na majority ya Chalinze ni mbali na bahari...

Mkoa ni mapori ,watu hawalimi,,kutwa Ngoma.
Mkuu kwa taarifa tu wilaya ya Mkuranga imepakana na bahari ya Hindi kwa upande wa Mashariki.

Tarafa ya Kisiju Pwani, Mkuranga zote zimepakana na bahari.

Fanya tafiti kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…