Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Hao watu Wana Diaspora wengi wanaowatumia hela , hao Diaspora hasa hasa wapo Uarabuni.

By the way shughuli kuu ya watu wa mikoa hiyo ni uvuvi na shughuli hii hufanyika zaidi nyakati za usiku.

Kwa kifupi wakati wewe unarandaranda mabaani kusaka Malaya basi wao huwa baharini kupiga kazi.

Kingine inabid uwe Makin Sana ili uwaelewe hao watu maana unaweza kuchanganya " Uvivu" na " Uvuvi" ukashindwa kuwaelewa kwamba ni wavivu au ni wavuvi?

Hao wanapiga kazi mkuu ndio maana huwaoni kwenye orodha ya mikoa masikin Zaid nchini.
Naam, kila siku data Zinaletwa huku hio mikoa ipo juu kuchangia pato la Taifa, ILa hawaelewi, sio uvuvi tu bali mazao yanaolimwa Pwani hayahitaji uangalizi kila siku kwenda Shamba, Minazi, Poppoo, Machungwa, spice spice kama Karafuu, iliki midalasini etc Kanda ya kaskazini Tanga kila siku inaipita Arusha na Kilimanjaro ila huwezi sikia hao wengine wanaitwa Wavivu.
 
Mkuu...
1.Watu wa Pwani walioenda wengi ilikuwa kukimbia kipigo cha Mwana Pwani mwenzenu, mkapa...Tanga na Zenji

2.Mihogo inalimwa hadi Mbalali...Minazi siyo zao la kukaa na kujisifu.

3.Yani,wengi wamekaa kungoja hela za kutumiwa, hicho ndiyo chasabisha Uvivu...

4.Hayo mazao unayosema mengi yapo Wilaya 4 tu....tena hayatoshi kufika hata Iringa...

5.Mpaka Wagosi wa Kaya waliimba kwenye Tanga kunani paleee....
Usifananishe pwani na watu weny utapiamlo hizo sehemu hamba hata jiji ni watu wa ovyo ,yaani hata kuoga tatizo .

Kazi za kijinga hakuna tajiri anafanya huo ujinga wenu ,vyakula ni uchafu kwa nn msipata utapiamlo.
 
Usifananishe pwani na watu weny utapiamlo hizo sehemu hamba hata jiji ni watu wa ovyo ,yaani hata kuoga tatizo .

Kazi za kijinga hakuna tajiri anafanya huo ujinga wenu ,vyakula ni uchafu kwa nn msipata utapiamlo.
🤣🤣🤣
Sasa mkuu hata ungekuwa wewe kwa baridi la Njombe utaoga kweli...
yaani uanze kuoga Mara tatu halafu unakaa Mwakaleri, unajipenda..
🤣🤣🤣

Kwenye Utapia mlo kweli ni shida, lakini ni coz watu hawana elimu...na siyo upungufu wa chakula...

Sasa kwenye utajiri;Hivi Kuna watu Pwani wanapiga hela kama Wakinga...
Ushafika Sumbawanga na Tunduma.

Yani,siyo kazi za kijinga, Pwani kila kazi kwao ni shida...kufuga shida,migodi shida,Uvuvi shida,biashara shida..

Mkuu usikasirike, nyie ndiyo wenye uwezo wa kuhimiza vizazi vyenu, mana mikoa yenu inastahili kuwa juu sana.
 
Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..

Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.

Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
We una chuki na ni mmbeya. Kuna mtu umemnunulia ht kilo moja? We ni bwege
 
Nadhani mtwara inaongoza Tanzania kwa uvivu! Ni sehemu pekee ambako saa moja asubuhi unakuta wanaume wanacheza bao au wapo kwenye vijiwe vya kahawa.

Ni sehemu pekee maisha ya wenyeji wanashindia mlo mmoja na wanaona ni sawa. Ni sehemu pekee ambako hata ukitoa kibarua mwenyeji ukisha mlipa elfu 3 harudi kazini hadi aitumie iishe . Ni sehemu pekee ambao vikongwe ndio wanaenda shambani vijana wanazurura mtaani

. Ni sehemu pekee ambako mtu akilima robo heka anahadithia nina shamba kubwa. Ni sehemu pekee ambako wafanya biashara wenyeji wameridhika wanafungua maduka saa nne asubuhi. Ni sehemu pekee ukienda duka la mwenyeji na elfu kumi ukitaka kununu kitu cha elfu 4 unaambiwa sina chenji na unaondoka na hela yako vinginevyo ukatafute mwenyewe chenji.

Tunashkru wakinga kuingia mji huu vinginevyo tungenyanyasika sana na hela zetu madukani. Ila kwa penzi na chumvi ni mkoa rafiki kuliko mikoa yote. Karibu mtwara tufaidi watoto wa kimakonde kwa elfu 2 hadi kwa mkopo bila kujali ni msichana au mke wa mtu. Ila ukisha mtongoza au kumla atafanya matangazo mtaa mzima. Hawana siri
We kwenu wapi ambao ni wachapa kazi
 
🤣🤣🤣
Sasa mkuu hata ungekuwa wewe kwa baridi la Njombe utaoga kweli...
yaani uanze kuoga Mara tatu halafu unakaa Mwakaleri, unajipenda..
🤣🤣🤣

Kwenye Utapia mlo kweli ni shida, lakini ni coz watu hawana elimu...na siyo upungufu wa chakula...

Sasa kwenye utajiri;Hivi Kuna watu Pwani wanapiga hela kama Wakinga...
Ushafika Sumbawanga na Tunduma.

Yani,siyo kazi za kijinga, Pwani kila kazi kwao ni shida...kufuga shida,migodi shida,Uvuvi shida,biashara shida..

Mkuu usikasirike, nyie ndiyo wenye uwezo wa kuhimiza vizazi vyenu, mana mikoa yenu inastahili kuwa juu sana.
Uliona mikoa ya pwani wakiomba mazao kutoka nje?🤣

Ulishawahi kusikia njaa ? Omba omba utakuta huku kwenu haswa Dodoma
 
Naam, kila siku data Zinaletwa huku hio mikoa ipo juu kuchangia pato la Taifa, ILa hawaelewi, sio uvuvi tu bali mazao yanaolimwa Pwani hayahitaji uangalizi kila siku kwenda Shamba, Minazi, Poppoo, Machungwa, spice spice kama Karafuu, iliki midalasini etc Kanda ya kaskazini Tanga kila siku inaipita Arusha na Kilimanjaro ila huwezi sikia hao wengine wanaitwa Wavivu.
Yani,Mkuu kwenye kuchangia pato la Taifa kwa ukanda wa Pwani ni Tanga tu ndiyo wajitahidi, Dar utoe mana huo ni wa kila mtu....na hapo ni Wilaya Tatu tu za Mkinga,Handeni na Lushoto

Nenda Pwani,Lindi na Mtwara sasa,,,yani dah



Spices, Morogoro ndiyo yaongoza,,fika Mvuha uko ukajionee...
 
Uliona mikoa ya pwani wakiomba mazao kutoka nje?🤣

Ulishawahi kusikia njaa ? Omba omba utakuta huku kwenu haswa Dodoma
Mkuu,
Mimi natokea ukanda unaolisha nchi nzima, hatuna na hatuja wahi kuwa na njaa,,yani tuna mvua kila mwezi, Kuna umande wa kutosha...
Yani tunawalisha kwa Mahindi,Mchele, Ngano,Ndizi,Chips,Vitunguu na Mafuta,Kitimoto...

Dodoma,Singida na Tabora ni kame ila wanajitutumua kwa Kilimo....

Hapo pa kujicheka ni nyie, sie tupo poa...
 
Mkuu,
Mimi natokea ukanda unaolisha nchi nzima, hatuna na hatuja wahi kuwa na njaa,,yani tuna mvua kila mwezi, Kuna umande wa kutosha...
Yani tunawalisha kwa Mahindi,Mchele, Ngano,Ndizi,Chips,Vitunguu na Mafuta,Kitimoto...

Dodoma,Singida na Tabora ni kame ila wanajitutumua kwa Kilimo....

Hapo pa kujicheka ni nyie, sie tupo poa...
Ukanda upi sehemu hiyo labda mchele ndio maarufu ,huku pwani mazao yenu hayapo kabisa Mengi ni kutoka Moro na Tanga.

Jaribu kuzunguka sio unadanganywa na ushamba wa ukanda wenu ,watu washamb jaribu kufanya tathminu kwanza
 
Hayo mazao pwani hawezi kulima hayana faida.
Watu wanapambana na ufuta, korosho minazi ndio mazao Yao.
Ufuta waapi bwana, watu wanaolima ufuta wanajulikana kabisa ukienda huko singida unaona mashamba yalivyotamalaki ufuta.. Hiyo minazi pwani imejiotea tu, na mengine ilipandwa na waarabu nyakati hizo. Wao kwa sasa wanafanya kuangua tu nazi.
 
Ukanda upi sehemu hiyo labda mchele ndio maarufu ,huku pwani mazao yenu hayapo kabisa Mengi ni kutoka Moro na Tanga.

Jaribu kuzunguka sio unadanganywa na ushamba wa ukanda wenu ,watu washamb jaribu kufanya tathminu kwanza
wewe Pingana na ukweli....
Mimi natokea Nyanda za Juu.

Msimu wa Mpunga mwezi wa 6 nenda barabara ya Iringa magari yanayoleta mchele Dar,

Msimu wa Mahindi ,mwezi wa 8,uone mahindi yanayotoka Nyanda za Juu.

Viazi vya Chips hivyo, nenda mabibo kawaulize vinatoka wapi...

Msimu wa maharage, nenda barabara ya Iringa ujionee magari...

Mashamba ya Ngano hiyo ya kuwekea maandazi inatoka Handeni ?

Chai na Parachichi nenda Njombe ukajionee mwenyewe

Yani kule kuna ya kuuza nje na kulisha nchi nzima...

Mwisho wa mwaka ,funga Safari ufike ,ntawaambie wakualike.
 
wewe Pingana na ukweli....
Mimi natokea Nyanda za Juu.

Msimu wa Mpunga mwezi wa 6 nenda barabara ya Iringa magari yanayoleta mchele Dar,

Msimu wa Mahindi ,mwezi wa 8,uone mahindi yanayotoka Nyanda za Juu.

Viazi vya Chips hivyo, nenda mabibo kawaulize vinatoka wapi...

Msimu wa maharage, nenda barabara ya Iringa ujionee magari...

Mashamba ya Ngano hiyo ya kuwekea maandazi inatoka Handeni ?

Chai na Parachichi nenda Njombe ukajionee mwenyewe

Yani kule kuna ya kuuza nje na kulisha nchi nzima...

Mwisho wa mwaka ,funga Safari ufike ,ntawaambie wakualike.
Taja mkoa wako! 🤣🤣🤣watu wa bara wala hatuna shobo na nyie ,ujinga wenu kwanza tunawaona kinyaaa.

Kujiona bora hata kuoga tatizo.
 
Ufuta waapi bwana, watu wanaolima ufuta wanajulikana kabisa ukienda huko singida unaona mashamba yalivyotamalaki ufuta.. Hiyo minazi pwani imejiotea tu, na mengine ilipandwa na waarabu nyakati hizo. Wao kwa sasa wanafanya kuangua tu nazi.
Eti Ufuta ,dah...
Nilifika vijiji vya Mkuranga yani mtu ana robo heka ,ndiyo anasema ana shamba, dah..nilichoka
 
Taja mkoa wako! 🤣🤣🤣watu wa bara wala hatuna shobo na nyie ,ujinga wenu kwanza tunawaona kinyaaa.

Kujiona bora hata kuoga tatizo.
Sisi hatujioni ila tunanena ukweli, huku kwenu Uvivu mwingi...
Facts zinajionesha....
Unapinga lakini unaujua....

Kujua mkoa wangu haitopunguza uvivu wa mikoa ya Pwani.

Eti Handeni ndiyo inawalisha dah 🤣🤣🤣
Una masihala wewe....
 
Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..

Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.

Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Ni tofauti za mifumo ya kimaisha tu.

Kwa ujumla Tanzania watu wote ni wavivu na magoigoi ukiwalinganisha na Kenya au Nigeria.

Watu wa pwani wakienda Kilimanjaro wanawaona watu wa huko ni wavivu na wezi wa kutupwa. Kutwa kucha wanalewa tu.
 
Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..

Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.

Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Ulitaka uchinjiwe mbuzi? wewe umewapelekea nini?
 
Hapo unaolingana kwa uvivu ni Singida tu....
Tena wao ardhi yao ni kame,,

Pwani ina ardhi nzuri ila haitumiki....
Tabora,Singida na Dodoma,,,wanaangushwa na Ardhi zao tu.
Ila angalieni na population ya mikoa ya pwani ukilinganisha na ukubwa wa maeneo yao, hawawezi kuyalima yote
 
Hayo ni mapori tengefu ndio yanaleta mvua ndio unaona pwani kuna mvua misimu miwili sababu mojawapo ni hayo mapori tengefu
Kutoka Kambi ya Ruvu pale kwenda Chalinze kufika Bwawani hadi Mwidu hadi Mpakani Morogoro...hapo kote ni poli.

Tokea Makurunge hadi Msoga, fika wami hadi Mandela na hadi mkata huko kote...ni pori...

Mtu kalima basi ni robo heka...

Ambao mna damu ya huko mnaweza pinga sana coz ukweli unauma ila data hazidanganyi...
 
Back
Top Bottom