Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Ni jinga mmoja tu atakubaliana na upuuzi wako dar kuna msukumo mkubwa wa serikali licha ya mambo mengi yaliyopo ila kubari dar ni jiji la kiserikali kama Dom.
Hajui anachoongea huyo.
Dodoma watu wengi wamehamia baada ya kukitwa na miundombinu muhimu hivyo Dodoma inakua kwa kasi.
Ni kama Dar es salaam wizara zilijengwa hapa na ofisi kuu za serikali,bandari ikawepo hapa,ajiulizi kwanini bandari kuu haikuwekwa Mtwara au Tanga??
Dar imejengwa na serikali,akafuatilie meja city projects zinazofadhiliwa na serikali hapa Dar ni za mabilioni mangapi.
Yote ni kuuunda mji huu kuwa financial hub.
 
Acha kuwatetea hao wavivu..


Mkoa upo karibu na Dar ila wana umasikini wa kufa danganya ambao hawajatembelea huko rufiji, bagamoyo vijijini n.k

Mkoa wa pwani kama ungekuwa unakaliwa na watu kama wa Mbeya ungekuwa zaidi ya hapo.


Kingine mshukuru mungu mkoa wa pwani viwanda vingi vimejengwa wameajiri sana watu wa pwani. Mkuranga Kuna viwanda vingi. Kinyume na hapo ingekuwa shida.


Chalinze miaka na miaka hakuna lolote la maana zaidi ya vijana kuuza mahindi ya kuchoma kwenye mabasi ya mikoani
Kuna interview moja mchungaji Hananja anajibu vizuri hii hoja yako, watu wa Pwani ndio wenyeji wa Dar, tangu enzi na enzi darasa la nne anakula maisha bandari au kwa wawekezaji walioanzia Dar, wewe unawaza maendeleo ni kuwa na miparachichi mingi …..
 
We nae hapa napo pa kubishania!
Mkoa unao ongoza kwa maambukizi ni:
1.Njombe
2.Mbeya
3.Iringa
4.Songwe
5.Shinyanga

Hapo Simiyu haitoki sita bora.
Nimebisha au nimeuliza?
I asked for the evidence lete tusome.
 
Dar haijatolewa embu tumia akili we zuzu.
Dar ni mji uliokuzwa na serikali kimkakati kwa ajili ya kiuchumi ni kama uonavyo Dodoma ijengwavyo na serikali.
Itoe Dar ambayo ni mji wa nchi nzima ambako kinondoni,Ubungo na kigamboni kote kumeendelezwa na out siders wa bara na kaskazini.
Wazaramo,wakwere wao wamejifungia kisarawe 2 na Chanika huko.
Kanda ya ziwa mikoa yake inajitahidi kupiga hatua ukiitoa Mwanza Katavi,Rukwa zote zinakuja juu kiuchumi pamoja na Geita.
Taja mikoa ya Pwani tofauti na Dar inayopiga hatua?
Kweli kabisa.
 
Hivi unaamini per capita ndio kipimo sahihi cha uchumi??
Per capita huchukuliwa pato kuu kugawanywa kwa idadi ya raia husika kama sijakosea.
Je hizo hesabu ni sahihi kwa kipimo cha mtu mmoja mmoja kiuchumi!?
Embu kuwa serious we jamaa.
Kabisa kwasababu ukifuatilia mikoa yenye watu wengi wanao kaa mjini utakuta mikoa yao ipo juu Kwa GDP.
 
Mshamba wewe bara mnatulisha nn ,huku kila kitu kipo ... Pambaneni na utapiamlo mmeisha kwa njaa.
Utapiamlo chanzo chake sio kukosekana kwa chakula bali elimu sahihi juu ya lishe bora.
Pia kataa ukubali Tanzania na Afrika mashariki inalishwa na bara.
Mbeya,Iringa,kanda ya kati Morogoro,Katavi,Tabora ndiko michele na mahindi yake husafirishwa mpaka nchi za nje na kuletwa masoko makuu.
Nyama zinazolisha Tanzania ng'ombe na Mbuzi hutokea kanda ya ziwa na kanda ya kati Mwanza,Tabora,Shinyanga,Dodoma,Singida na Morogoro.
Labda utakua hujui maana ya utapiamlo tukuelekeze.
 
Lete facts mkuu.
Kama umasikini hata Dar ni masikini sana. Dar ina umasikini kwanza ambao haujaisha ndio unataka Pwani ilingane na Dar kimaendeleo?
Haya Pwani wavivu, Singida, Rukwa, Kigoma nako ni nini kimewapata?

Halafu usiongee sana, Wasukuma wanahamia kwa wingi Pwani. Wanadhani wakazi ni wavivu. Wakifika mtu mmoja analima heka nyingi akidhani ni rahisi kutunza shamba. Wanagundua ardhi na majira ya Pwani si kama kwao usukumani. Pwani inapokea mvua nyingi, palizi ni nyingi, magugu yanaota after 2 weeks hata upulize dawa gani. Ndipo wanajifunza kulima kwa akili badala ya nguvu.

Haya tuambie, watu wa Mbeya wangefanya nini Pwani?
Umeongea jambo la ukweli kabisa, pwani ardhi kubwa na unapewa kwa bei ndogo shida ni kwenye palizi
 
Kabisa kwasababu ukifuatilia mikoa yenye watu wengi wanao kaa mjini utakuta mikoa yao ipo juu Kwa GDP.
Ni sawa na sisi Tanzania per capita iwe kubwa kwasababu ya GDP yetu ni utajiri wa Mo Dewji,Bakhresa ,Galib Said na matajiri wengine wachache.
Ila nenda kapimie purchasing power parity ya kila Mtanzania utagundua Tanzania ni masikini sana.
 
Miko yote na kilimo chenu za kimaskini hakifikii hata bandari moja😅😅😅mmejazana hapa washamba .

Ndio maana nakuambia hujui kitu mbar ,Dar sio ya kwanza shenzi achana na hizi za utapiamlo kaangalie za Ukimwi ,

Ukimwi unapata sana wapumbavu wa bara ndio wamauleta pwani.
View attachment 2960974
Bandari ya serikali fala wewe.
Pimia uchumi wa mtu mmoja mmoja wazaramo na wakwere masikini sana ukatae ukubali.
Pia uchumi hugawanywa kwa sekta tofauti tofauti.
Hata mazao yana gao lake la uchangiaji kiuchumi.
Bandari ni uingizaji wa manufactured goods toka nje sana sana ndio unaofanya iwe na pato kubwa.
Hivyo isifiwe serikali.
Hapa hapa Dar walimu wengi wa hisabati na sayansi ni wabara na wakaskazini.
Nenda muhimbili Kawatafute madaktari bingwa wengi ni wabara na wakaskazini kina Rwayemamu na kina Doctor Kasenge.
Ninyi mmekalia kuchezana ngoma za mdundiko na kuuza visheti na biashara za mid man.
Pita hata viwandani wabara na wakaskazini ndio wamejaa wakichapa kazi.
Sasa tujiulize ninyi mna mchango gani kama raia wa hili taifa!?
Wacheni uvivu,hata ukienda Unguja madaktari bora na wabobezi ni wahaya,wanyamwezi na wasukuma.
Halafu ninyi ndio mtufunze sisi!?
 
Ni sawa na sisi Tanzania per capita iwe kubwa kwasababu ya GDP yetu ni utajiri wa Mo Dewji,Bakhresa ,Galib Said na matajiri wengine wachache.
Ila nenda kapimie purchasing power parity ya kila Mtanzania utagundua Tanzania ni masikini sana.
Kabisa[emoji817][emoji817][emoji818]
 
Umekurupuka kuni quote huwenda hujui mjadala ulianzia wapi.
Mikoa aliyoleta list ilikua ina majina ya mikoa ya kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini akisema mikoa ya watu washamba.
Ndio nikamuuliza je hivi ajua kama hiyo mikoa huongoza kwa wasomi?
hilo la washamba sijui. mimi nilikuwa nazungumzia mikoa ya watu wavivu
 
Kuna interview moja mchungaji Hananja anajibu vizuri hii hoja yako, watu wa Pwani ndio wenyeji wa Dar, tangu enzi na enzi darasa la nne anakula maisha bandari au kwa wawekezaji walioanzia Dar, wewe unawaza maendeleo ni kuwa na miparachichi mingi …..
Uchumi una evolve mzee.
Usikae kwa kutegemea minazi aisee hufiki popote.
Mtu kwa kilimo cha parachichi kwa mwezi akivuna anakuingizia hadi milioni 8.
Uuzaji wa nyama umekua na faida zaidi kwa kupata soko la nje kwa wingi.
Kakate leseni ya usambazaji nyama TMB uone utavyopiga pesa.
We kaa tegemea minazi tu.
Hata ufugaji samaki watu hufuga sana sana Sangara na Sato na kambare ambao bei inakua chini kuliko samaki wa baharini.
 
Umfundishe nani wewe mpwani?
Au kufundishana baikoko,mdumange na ngoma za kuchezana ndio elimu??
Nimekwambia nijibu katika mikoa inayoongoza kwa ufala kanda ya pwani inatoa mkoa gani??
TAnga na Mtwara zinaongoza kwa school drop outs kila leo.
KAzi yenu kubwa kujinasibisha na waarabu hata kama mna pua pana kama bomba za meli.
Nataka jibu.
Mkoa gani kanda ya Pwani umepoga hatua kama Mwanza ukiachana na Dar financial hub?
👆👆👆👆Nataka jibu la hilo swali.
PIa nakuletea ushahidi wa Bara kuongoza kimatokea na usomi.
wazazi wako tumewafundisha kiswahili na kuosha mwili, wewe dogo wa juzi hata kupiga mswaki hujui u analeta shobo za kishamba.

ona ulivyokuwa hanithi , unataja Mwanza kuna nn hapo ?mkoa mmoja tu wa mwanza ambao una washamba kama wote... kuna nn hapo Mwanza mtu wa pwania aje
Wanawake wana sura kama ukuta wa choo, kuoga matatizo...Full kinyaa kenge nyie
 
Back
Top Bottom