Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Makiseo nitakuchapa acha fujo haraka [emoji1787]Hizo ni propaganda kama propaganda nyingine tu, wanaume mnawatukana wanawake mitandaoni kwa kile mnachodai hamfurahishwi na maovu yao ila cha ajabu bado mnawaoa, pamoja na kutishia kwamba hamuoi na kuwashawishi wengine wakatae ndoa kwa lengo la kuwakomoa wanawake lakini cha ajabu bado kila siku ndoa zinafungwa
Haitakuja kutokea wanaume wakaacha kabisa kuoa lakini ukiangalia takwimu utaona idadi ya wanaooa inashuka hii ilishawahi kusemwa hata na Rais Mama Samiapamoja na kutishia kwamba hamuoi na kuwashawishi wengine wakatae ndoa kwa lengo la kuwakomoa wanawake lakini kila siku ndoa zinafungwa
Hapana tumekubaliana kwamba ukiwa na pesa ndio una akili na maarifa, lakini ukiwa masikini hata uwe na maadili wewe ni mpumbavu tu, ndio maana nikakuuliza ni universal law gani inayoamua kwamba kwamba fulani ana akili na fulani mjingaunaweza kuwa na pesa na ukawa fala vile vile, all nice guys are idiots
Hahaha Makiwendo hebu njoo uone hizi akili za wanaume wa jf, sasa katika muktadha huo kati ya wanaume na wanawake ni kina nani wana uhitaji zaidi na ndoa, yani kwa kutumia huo mfano wako kati ya gari na dereva nani anayemhitaji zaidi mwenzakeMakiseo nitakuchapa acha fujo haraka [emoji1787]
Cha ajabu zaidi ni kipi hapo sasa, hujawahiona ajali zitokeazo kila siku za magari lakini bado tu Watu hununua na kupambania ndoto hizo hizo za kumiliki magari[emoji848]
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Sasa kweli tusipowaoa mtaishi vipi?Hizo ni propaganda kama propaganda nyingine tu, wanaume mnawatukana wanawake mitandaoni kwa kile mnachodai hamfurahishwi na maovu yao ila cha ajabu bado mnawaoa, pamoja na kutishia kwamba hamuoi na kuwashawishi wengine wakatae ndoa kwa lengo la kuwakomoa wanawake lakini kila siku ndoa zinafungwa
Je na takwimu za wanawake wanaohitaji kuolewa pia inapanda au inashukaHaitakuja kutokea wanaume wakaacha kabisa kuoa lakini ukiangalia takwimu utaona idadi ya wanaooa inashuka hii ilishawahi kusemwa hata na Rais Mama Samia
Tafiti ya kisayansi unaweza google, mwanamke ambae katika maisha yake hajawahi kupata mtoto yupo kwenye uwezekano wa hatari kubwa ya kupata kansa ya ovary, ieleweke kwamba mwanamke ambae amezaa watoto kadhaa au mtoto huwa wanakua na mzunguko wa hedhi mchache. Sasa wewe maisha yako yote kuanzia usichana hadi uzee unakuwa kwenye mzunguko kila mwezi, yaani hupumziki miaka na miaka lazima uwe kwenye uwezekano wa kupata matatizo ya uzazi, hio ni research ya Nationa Cancer Institute, USA, unaweza bishana nao mkuu.Je na takwimu za wanawake wanaohitaji kuolewa pia inapanda au inashuka
Ndio maana nasema hizi ni propaganda kama propaganda nyingine tu yani toka enzi na enzi mmeaminishwa kwamba mwanamke bila mwanaume hawezi ila mwanaume bila mwanamke ndio anaweza, mkuu hivi kwa kuangalia uhalisia pamoja na jinsi single mothers wanavyopambana kulisha na kusomesha watoto wao bado mnahisi hawawezi bila wanaume, je wanaume mkiachiwa watoto wadogo mnaweza kuwalea bila kuhitaji msaada wa wanawake (bila kujali ni mama watoto au la) au mkiachiwa nyumba mnaweza kuhandle majukumu bila kuhitaji msaada wa keSasa kweli tusipowaoa mtaishi vipi?
Hata mzazi mtoto anaweza kumuudhi na akamtandika lakini haimaanishi hampendi.
Tusipooa wanawake watateseka na msongo wa mawazo, Mungu anasema tupendane.
Mwanaume anapambana kazini kwenye mazingira magumu ya kazi ili familia ipate chochote ila nyie hicho hamuwezi, mwanaume akifulia tu ni matusi, dharau kumvunjia heshima.
Kiukweli mwnamke bila mwanaume maisha ya mwanamke yatakua ya hovyo, na hatoheshimika hata mtaani, huna mtoto, huna mme, unaishi ndani peke yako, wanawake mnatuhitaji sana sema hamsemi tu. Siku tukiweka mgomo wa kutokuoa mtajinyonga.
Nionyeshe zilipo bikra niende mkuuUshawahi kusikia kauli kama hii kutoka kwa mwanamke? Ukweli ni kwamba ambae anakua tayari kwa kuoa ni mwanaume ambae ataenda kubeba jukumu la kutoa security katika familia, kwa maana iyo mwanaume anatakiwa kusimama kiuchumi kwanza ndipo awe tayari kwa kuoa.
Kwa mwanamke atapofika umri wa kuwa mtu mzima(miaka 18) na sio mwanafunzi basi yupo tayari kwa kuolewa.
Ukisikia kauli kutoka kwa mwanamke "kwa sasa sipo tayari kuolewa nahitaji kufanya mambo yangu" tafsiri yake ni kwamba bado anahitaji muda wa kuendelea kufanya anasa na umalaya bila bugudha.
Hiki ndicho kipindi ambacho mwanamke anakua kwenye peak yake ya uzuri hiki ndicho kipindi mwanamke anawachomolea au kuwasubirisha kwanza nice guyz na husband materials wakati huo bad boyz ndio wanapewa mzigo
Baada ya miaka mingi sana mwanamke huyu akishaingia kwenye declining stage ya uzuri wake(30+), akishachezewa na bad boyz, akishaalibu kizazi kwa abortions na P-2, kwa kifupi akishakua na background mbaya kwa yoyote mwanaume makini ndipo atakapotulia na kusubiri ajitokeze nice guy mmoja fala fala wa kumuoa.
Hiki ndicho kipindi mwanamke anaanza kuwakumbuka wale nice guyz na husband materialz waliokua wanambabaikia sana kipindi cha nyuma. Mwanaume usije ukaingia kwenye huu mtego wa kuoa makapi.
Mkuu mimi hakuna mahali nimeongelea umuhimu wa kuzaa kwa mwanamke bali nimeongelea umuhimu wa ndoa kwa mwanamke, kiuhalisia wanawake wanahitaji zaidi watoto kuliko ndoa na mwanamke kuzaa siyo lazima awe na ndoa siku hizi wala hawaogopi kuitwa single mothers ni wanaume ndio mnaforce usingle mother uonekane mbaya ili wanawake waendelee kuona umuhimu wa ndoa ambao kiuhalisia haupo kwao, hivi katika dunia ya leo ambayo wanaume hadi wanadonate sperms na wanawake wanazaa kwa kuchukua hizo sperms bila hata kujali identity wala origin ya hao sperm donors ndio mnasema eti bila ninyi hawawezi mbona mnajifariji sanaTafiti ya kisayansi unaweza google, mwanamke ambae katika maisha yake hajawahi kupata mtoto yupo kwenye uwezekano wa hatari kubwa ya kupata kansa ya ovary, ieleweke kwamba mwanamke ambae amezaa watoto kadhaa au mtoto huwa wanakua na mzunguko wa hedhi mchache. Sasa wewe maisha yako yote kuanzia usichana hadi uzee unakuwa kwenye mzunguko kila mwezi, yaani hupumziki miaka na miaka lazima uwe kwenye uwezekano wa kupata matatizo ya uzazi, hio ni research ya Nationa Cancer Institute, USA, unaweza bishana nao mkuu.
Hivyo mwanamke ambae hajawahi kuzaa kuna hatari ya uwezekano kupata matatizo ya kiafya.
Mpaka hapo umeona umuhimu wa mwanaume.
Nyie fanyeni yote ila mwisho mtatutafuta tu na mnatuhitaji sana tu, sasa tukianza kuringa timaweza pelekea mkapata maradhi, na sisi hatupendi kuona mnateseka bure, ndio maana wengine mtaani tunaamua kiwasaidia kuwapa watoto kiroho safi, haiwezekani ukose mme na mtoto ukose, kwanza ni hatari kiafya kukosa mtoto.
Hakuna majukumu ya nyumbani mwanaume anashindwa kufanya, kuanzia kupika, kulea watoto hadi usafi.Ndio maana nasema hizi ni propaganda kama propaganda nyingine tu yani toka enzi na enzi mmeaminishwa kwamba mwanamke bila mwanaume hawezi ila mwanaume bila mwanamke ndio anaweza, mkuu hivi kwa kuangalia uhalisia pamoja na jinsi single mothers wanavyopambana kulisha na kusomesha watoto wao bado mnahisi hawawezi bila wanaume, je wanaume mkiachiwa watoto wadogo mnaweza kuwalea bila kuhitaji msaada wa wanawake (bila kujali ni mama watoto au la) au mkiachiwa nyumba mnaweza kuhandle majukumu bila kuhitaji msaada wa ke
Nice guy anatokeza dakika za majeruhi maku imeshachakazwa na kumwagiwa mbegu za kila aina..Ushawahi kusikia kauli kama hii kutoka kwa mwanamke? Ukweli ni kwamba ambae anakua tayari kwa kuoa ni mwanaume ambae ataenda kubeba jukumu la kutoa security katika familia, kwa maana iyo mwanaume anatakiwa kusimama kiuchumi kwanza ndipo awe tayari kwa kuoa.
Kwa mwanamke atapofika umri wa kuwa mtu mzima(miaka 18) na sio mwanafunzi basi yupo tayari kwa kuolewa.
Ukisikia kauli kutoka kwa mwanamke "kwa sasa sipo tayari kuolewa nahitaji kufanya mambo yangu" tafsiri yake ni kwamba bado anahitaji muda wa kuendelea kufanya anasa na umalaya bila bugudha.
Hiki ndicho kipindi ambacho mwanamke anakua kwenye peak yake ya uzuri hiki ndicho kipindi mwanamke anawachomolea au kuwasubirisha kwanza nice guyz na husband materials wakati huo bad boyz ndio wanapewa mzigo
Baada ya miaka mingi sana mwanamke huyu akishaingia kwenye declining stage ya uzuri wake(30+), akishachezewa na bad boyz, akishaalibu kizazi kwa abortions na P-2, kwa kifupi akishakua na background mbaya kwa yoyote mwanaume makini ndipo atakapotulia na kusubiri ajitokeze nice guy mmoja fala fala wa kumuoa.
Hiki ndicho kipindi mwanamke anaanza kuwakumbuka wale nice guyz na husband materialz waliokua wanambabaikia sana kipindi cha nyuma. Mwanaume usije ukaingia kwenye huu mtego wa kuoa makapi.
Bado naendelea kusema hizi ni propaganda kama propaganda nyingine tu yani unaongea kana kwamba ni rahisi na wanaume wote wanafanya hivyo, mbona wanaume wengi hawafanyi hayo unayosema na ni lazima wawahitaji mama wa hao watoto au wawaajiri wasaidizi wa kazi za nyumbani ambao ni wanawake, sasa kama ninyi mnaona muda wa utafutaji unawabana mbona huwa mnataka wanawake wawasaidie kutafuta pesa na bado wafanye majukumu ya nyumbani je wao muda wa utafutaji ndio hauwabani na ukizingatia wanawake wengi huwa wana multi task bila uwepo wa wanaume kwenye maisha yao hiyo nayo imekaaje hapoHakuna majukumu ya nyumbani mwanaume anashindwa kufanya, kuanzia kupika, kulea watoto hadi usafi.
Sema muda wa utafutaji unabana, mimi mtoto niliyemzaa mwenyewe, damu yangu na uchungu nae siwezi kushindwa kumsafisha akijisaidia, kumpikia chakula akiwa na njaa, kumpeleka clinic , kumfulia nguo, kumfunga nepi n.k, kwa sababu ni mtoto wangu.
Hata kumbeba mgongoni nabeba ni damu yangu siwezi acha mtoto mchafu, ana njaa kwanza roho itaniuma.
Tatizo mnadanganyana huko saloon wanaume hawawezi kufanya hizo kazi za kirembo. Kazi anazofanya mwanaume hawezi shindwa kufanya kazi za nyumbani.
Licha ya hivyo unaweza kutafuta mtu akusaidie kazi ukamlipa kama huna muda.
Naendelea kusema mwanamke pasipo mwanaume kuna kitu hakitokua sawa kwenye maisha yake.
Anamtafuta ye ndo anayeoa au anaolewa? mtatafuta sana.Siyo hivyo Bali anakuwa anamtafuta anayemtaka mwenye vigezo VYOTE kama alivyojipangia ambapo ni vigumu kumpata hivyo basi anakuwa anatoa tu upwayu Kwa wanaume huku akisubiri anayemtaka wa vigezo vyake
Umri ukienda anaanza kupunguza mashart hatimaye mwanaume yeyote yule hata yeyote hapatikani nyie yaaani
Wanawake wengi hawapendi hio style ya uzazi.Mkuu mimi hakuna mahali nimeongelea umuhimu wa kuzaa kwa mwanamke bali nimeongelea umuhimu wa ndoa kwa mwanamke, kiuhalisia wanawake wanahitaji zaidi watoto kuliko ndoa na mwanamke kuzaa siyo lazima awe na ndoa siku hizi wala hawaogopi kuitwa single mothers ni wanaume ndio mnaforce usingle mother uonekane mbaya ili wanawake waendelee kuona umuhimu wa ndoa ambao kiuhalisia haupo kwao, hivi katika dunia ya leo ambayo wanaume hadi wanadonate sperms na wanawake wanazaa kwa kuchukua hizo sperms bila hata kujali identity wala origin ya hao sperm donors ndio mnasema eti bila ninyi hawawezi mbona mnajifariji sana
Aisee dada unalipwa kubishana na watu humu jfMngekuwa na huruma basi hiyo huruma ingeanzia kwenye kuacha kuwatongoza wanawake ambao hamna malengo nao kwa lengo la ku hit and run, lakini badala yake mnawachezea kwa raha zenu kwa kisingizio kwamba ni wao ndio wanaoteseka hivyo ni wajibu wao kujitunza, huo nao ni unafiki tu kwa sababu sasa hivi mitandao imejaa lawama za wanaume kuhusu tabia za wanawake ila pamoja na hayo yote bado mnaendelea kuwaoa kwahiyo maana yake ninyi mko tayari kuteseka kwa lengo la kuwafurahisa wanawake tu si ndio
Anayelipa kodi ya nyumba nani, anayelipa ada ya shule, pesa ya chakula n.k, wanaume wanatoa sehemu kubwa ya kipato chao ku provide kwa ajili ya familia, ukikuta familly mwanamke anatoa hata 30% ujue huyo mwanamke wa kipekee.Ndio maana nasema hizi ni propaganda kama propaganda nyingine tu yani toka enzi na enzi mmeaminishwa kwamba mwanamke bila mwanaume hawezi ila mwanaume bila mwanamke ndio anaweza, mkuu hivi kwa kuangalia uhalisia pamoja na jinsi single mothers wanavyopambana kulisha na kusomesha watoto wao bado mnahisi hawawezi bila wanaume, je wanaume mkiachiwa watoto wadogo mnaweza kuwalea bila kuhitaji msaada wa wanawake (bila kujali ni mama watoto au la) au mkiachiwa nyumba mnaweza kuhandle majukumu bila kuhitaji msaada wa ke
πππππNice guy anatokeza dakika za majeruhi maku imeshachakazwa na kumwagiwa mbegu za kila aina..