Kwa sisi ambao huwa tunafanyia kazi ndani , jamii inatutafsiri tofauti sana

Kwa sisi ambao huwa tunafanyia kazi ndani , jamii inatutafsiri tofauti sana

God Fearing Person

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2020
Posts
767
Reaction score
2,570
Wakuu.

Mimi ni mmoja ya watu ambao huwa nafanyia Kazi zangu ndani.

Mimi Kazi zangu ni za masoko kununua na kuuza.

Hivyo huwa natafuta wateja wa bidhaa kipitia online .

So Mimi kwa siku naweza kuigiza wastani wa 100K sawa na mil 3 kwa mwezi.

So Kutokana na jamii kuwa na mtazamo tofauti wamejikuta wakifikiri Mimi naishi kwa ujanja au natumia ndumba.

Mbaya zaidi natembelea gari Kali , na huwa natoa misaada mbali mbali kwa watu.


So vijana Kazi za nguvu zinaelekea mwisho jitahidi ujue skills mbali mbali.
 
Wakuu.

Mimi ni mmoja ya watu ambao huwa nafanyia Kazi zangu ndani.

Mimi Kazi zangu ni za masoko kununua na kuuza.

Hivyo huwa natafuta wateja wa bidhaa kipitia online .

So Mimi kwa siku naweza kuigiza wastani wa 100K sawa na mil 3 kwa mwezi.

So Kutokana na jamii kuwa na mtazamo tofauti wamejikuta wakifikiri Mimi naishi kwa ujanja au natumia ndumba.

Mbaya zaidi natembelea gari Kali , na huwa natoa misaada mbali mbali kwa watu.


So vijana Kazi za nguvu zinaelekea mwisho jitahidi ujue skills mbali mbali.
Nipe somo mkuu namie nitulie home
 
Back
Top Bottom