Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Nilikuwa interested nazo sana lakini wateja hawakutaka kuniaminiSawa Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa interested nazo sana lakini wateja hawakutaka kuniaminiSawa Mkuu.
Nipe odds mbili mwanawane ..hii nasikia bonge la biashara ukiwa na mtaji wakitoshaMzee wa ku-stake hapa, nashindia ghetto napambana na muhindi, majirani walianza kunisema mara ooh mario anabebwa na demu ake, walivyoijua kazi ya dem ni ya chini haiwezi lipa hata kodi ya pango napoishi, wabadili mada atakuwa anauza unga huyu na me sisemi neno nawachora tu wanavyohangaika na maisha ya kubangaiza
Unatusimanga.Wakuu.
Mimi ni mmoja ya watu ambao huwa nafanyia Kazi zangu ndani.
Mimi Kazi zangu ni za masoko kununua na kuuza.
Hivyo huwa natafuta wateja wa bidhaa kipitia online .
So Mimi kwa siku naweza kuigiza wastani wa 100K sawa na mil 3 kwa mwezi.
So Kutokana na jamii kuwa na mtazamo tofauti wamejikuta wakifikiri Mimi naishi kwa ujanja au natumia ndumba.
Mbaya zaidi natembelea gari Kali , na huwa natoa misaada mbali mbali kwa watu.
So vijana Kazi za nguvu zinaelekea mwisho jitahidi ujue skills mbali mbali.
Kila mtu na style yake ya kutoka kimaisha. Maisha yangu mimi pia kama ya jamaa hapo sema sifanyi anachokifanya yeye maana hizo zilinishinda.Aaah dah! kazi ngumu hizo yaani bora uwe unabeba ndoo ya zege kutoka flow ya kwanza mpaka ya kumi ghorofani
Tuna kazi ngumu sana kwakweli.Wakuu.
Mimi ni mmoja ya watu ambao huwa nafanyia Kazi zangu ndani.
Mimi Kazi zangu ni za masoko kununua na kuuza.
Hivyo huwa natafuta wateja wa bidhaa kipitia online .
So Mimi kwa siku naweza kuigiza wastani wa 100K sawa na mil 3 kwa mwezi.
So Kutokana na jamii kuwa na mtazamo tofauti wamejikuta wakifikiri Mimi naishi kwa ujanja au natumia ndumba.
Mbaya zaidi natembelea gari Kali , na huwa natoa misaada mbali mbali kwa watu.
So vijana Kazi za nguvu zinaelekea mwisho jitahidi ujue skills mbali mbali.
😹😹 Nikajua unagawa pesa bossMkuu msaada ambao huwa natoa ni kwa ajili ya kusapoti jamii so ukiwa interested tukutane Kama upo DSM
Ahhh hata Mimi nilijua ni beki 3Asante Kwa taarifa
Nilijua kufuw kupika na kutosha vyombo
Wewe unafanya zipiKila mtu na style yake ya kutoka kimaisha. Maisha yangu mimi pia kama ya jamaa hapo sema sifanyi anachokifanya yeye maana hizo zilinishinda.
heheheAsante Kwa taarifa
Nilijua kufuw kupika na kutosha vyombo
Napiga voice over na ai model training kwa hii miaka 2-3Wewe unafanya zipi
Voice over ndo kuingiza sauti kama zile za "samahani namba unayopiga haipatikani" au "low battery, please charge"?Napiga voice over na ai model training kwa hii miaka 2-3
Hata hizo n voice over mkuu. Ila mimi nyingi napiga za tv adverts za masuala ya afya na online lessonsVoice over ndo kuingiza sauti kama zile za "samahani namba unayopiga haipatikani" au "low battery, please charge"?
Na hiyo online model training ikojeHata hizo n voice over mkuu. Ila mimi nyingi napiga za tv adverts za masuala ya afya na online lessons
Unakuwa unapitia response za chat bot unazirekebisha au kuzpolish ziwe bora zaidi au unaangalia kama imevunja kanuni ilizowekewa kwa kuwa tricked na mtumiaji. Mfano mtumiaji kuitrick chatgpt imweleze jinsi ya kutengeneza bomu kwa kutumia vifaa vya nyumbani, akiuliza directly inaweza isijibu lakini akaitrick.Na hiyo online model training ikoje