Kwa sisi ambao huwa tunafanyia kazi ndani , jamii inatutafsiri tofauti sana

Kwa sisi ambao huwa tunafanyia kazi ndani , jamii inatutafsiri tofauti sana

Mzee wa ku-stake hapa, nashindia ghetto napambana na muhindi, majirani walianza kunisema mara ooh mario anabebwa na demu ake, walivyoijua kazi ya dem ni ya chini haiwezi lipa hata kodi ya pango napoishi, wabadili mada atakuwa anauza unga huyu na me sisemi neno nawachora tu wanavyohangaika na maisha ya kubangaiza
Nipe odds mbili mwanawane ..hii nasikia bonge la biashara ukiwa na mtaji wakitosha
 
Wakuu.

Mimi ni mmoja ya watu ambao huwa nafanyia Kazi zangu ndani.

Mimi Kazi zangu ni za masoko kununua na kuuza.

Hivyo huwa natafuta wateja wa bidhaa kipitia online .

So Mimi kwa siku naweza kuigiza wastani wa 100K sawa na mil 3 kwa mwezi.

So Kutokana na jamii kuwa na mtazamo tofauti wamejikuta wakifikiri Mimi naishi kwa ujanja au natumia ndumba.

Mbaya zaidi natembelea gari Kali , na huwa natoa misaada mbali mbali kwa watu.


So vijana Kazi za nguvu zinaelekea mwisho jitahidi ujue skills mbali mbali.
Unatusimanga.

Kuna jamaa kaomba aniunge LBL☺️ NIKABAKIA KU MTIZAMA TU.
 
Aaah dah! kazi ngumu hizo yaani bora uwe unabeba ndoo ya zege kutoka flow ya kwanza mpaka ya kumi ghorofani
Kila mtu na style yake ya kutoka kimaisha. Maisha yangu mimi pia kama ya jamaa hapo sema sifanyi anachokifanya yeye maana hizo zilinishinda.
 
Wakuu.

Mimi ni mmoja ya watu ambao huwa nafanyia Kazi zangu ndani.

Mimi Kazi zangu ni za masoko kununua na kuuza.

Hivyo huwa natafuta wateja wa bidhaa kipitia online .

So Mimi kwa siku naweza kuigiza wastani wa 100K sawa na mil 3 kwa mwezi.

So Kutokana na jamii kuwa na mtazamo tofauti wamejikuta wakifikiri Mimi naishi kwa ujanja au natumia ndumba.

Mbaya zaidi natembelea gari Kali , na huwa natoa misaada mbali mbali kwa watu.


So vijana Kazi za nguvu zinaelekea mwisho jitahidi ujue skills mbali mbali.
Tuna kazi ngumu sana kwakweli.
 
Mkuu kama unatoa msaada basi Kuna mtu ni muhitaji ni mlemavu kama utaguswa nikupe namba ya muhusika!

Wapeni vitu nanyi mtapewa
 
Na hiyo online model training ikoje
Unakuwa unapitia response za chat bot unazirekebisha au kuzpolish ziwe bora zaidi au unaangalia kama imevunja kanuni ilizowekewa kwa kuwa tricked na mtumiaji. Mfano mtumiaji kuitrick chatgpt imweleze jinsi ya kutengeneza bomu kwa kutumia vifaa vya nyumbani, akiuliza directly inaweza isijibu lakini akaitrick.
 
Kazi za mitulinga hazitakwisha ndugu, kufanya kazi ndani ama kutojulikana unachofanya si Jambo geni.
 
Back
Top Bottom