Kwa sisi ambao huwa tunafanyia kazi ndani , jamii inatutafsiri tofauti sana

Kwa sisi ambao huwa tunafanyia kazi ndani , jamii inatutafsiri tofauti sana

Unakuwa unapitia response za chat bot unazirekebisha au kuzpolish ziwe bora zaidi au unaangalia kama imevunja kanuni ilizowekewa kwa kuwa tricked na mtumiaji. Mfano mtumiaji kuitrick chatgpt imweleze jinsi ya kutengeneza bomu kwa kutumia vifaa vya nyumbani, akiuliza directly inaweza isijibu lakini akaitrick.
Sawa na mimi naitaka hiyo
 
KWakuu.

Mimi ni mmoja ya watu ambao huwa nafanyia Kazi zangu ndani.

Mimi Kazi zangu ni za masoko kununua na kuuza.

Hivyo huwa natafuta wateja wa bidhaa kipitia online .

So Mimi kwa siku naweza kuigiza wastani wa 100K sawa na mil 3 kwa mwezi.

So Kutokana na jamii kuwa na mtazamo tofauti wamejikuta wakifikiri Mimi naishi kwa ujanja au natumia ndumba.

Mbaya zaidi natembelea gari Kali , na huwa natoa misaada mbali mbali kwa watu.


So vijana Kazi za nguvu zinaelekea mwisho jitahidi ujue skills mbali mbali.
Sema mm ni winga unaipaka rangi eti mtu wa Masoko.
 
Sawa na mimi naitaka hiyo
Mkuu hizi kazi zinapatikana online na si kwamba zinakuwepo muda wote ni kwamba inapaswa uwe mtu wa kukaa unacheki ukiipata unaweza kukuta unaipia miezi sita au mwaka au kama ni kampuni kwa mfano ya hizi voice over za online lessons unakuta unaipiga hata mwaka au miaka kila mwezi unavutia dollar kadhaa. Unaweza vuta kati ya dollar 500-5000+ kwa mwez kutegemea una kazi ngapi, rate wanayolipa, mzigo wanakushushia.
 
Mkuu hizi kazi zinapatikana online na si kwamba zinakuwepo muda wote ni kwamba inapaswa uwe mtu wa kukaa unacheki ukiipata unaweza kukuta unaipia miezi sita au mwaka au kama ni kampuni kwa mfano ya hizi voice over za online lessons unakuta unaipiga hata mwaka au miaka kila mwezi unavutia dollar kadhaa. Unaweza vuta kati ya dollar 500-5000+ kwa mwez kutegemea una kazi ngapi, rate wanayolipa, mzigo wanakushushia.
Wanahitaji uwape kianzio ama
 
Wabongo wengi wanaamini mpaka utoke ndani ndio upate hela amkeni dunia ishabadilika sana hapo hapo ndaji unaweza fanya kitu ukaishi na kuongezeka.
 
Kweli ukitulia home unapata na muda wà mbususu!
Wuke d kama hii unatakiwa mwanawane unchat na warembonu awakarinisha nyumba hapo full kiyoyoz, friedge imeja masavvanah nyama choma unaagiza wanaleta kinachobaki ninkugoga 3some tuu maisha murwaaaaa.
Mie mambo ya kukesha bar siyawezi
 
Back
Top Bottom