Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Itachukuwa muda, lakini baadaye jamii itakuja elewa kuwa kupata pesa halali si mpaka ukapigike juani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nikadhan wanamchukulia punga kutokana na kazi hizoAsante Kwa taarifa
Nilijua kufuw kupika na kutosha vyombo
Skills kama zipi mkuujitahidi ujue skills mbali mbali.
HakikaItachukuwa muda, lakini baadaye jamii itakuja elewa kuwa kupata pesa halali si mpaka ukapigike juani.
Kuosha vyombo, kufua unakuwa punga ? sorry for askingHata mimi nikadhan wanamchukulia punga kutokana na kazi hizo
Kalime wewe utulie ndani kufanya nini!!!Nipe somo mkuu namie nitulie home
Sasa si ameandika wanamchukulia vibaya sa mi nikadhani hivyoKuosha vyombo, kufua unakuwa punga ? sorry for asking
Wafikishie jobless wenziotangazo hali hitaji maelezo
Hii ya kwako imekaa kibingwa.Mzee wa ku-stake hapa, nashindia ghetto napambana na muhindi, majirani walianza kunisema mara ooh mario anabebwa na demu ake, walivyoijua kazi ya dem ni ya chini haiwezi lipa hata kodi ya pango napoishi, wabadili mada atakuwa anauza unga huyu na me sisemi neno nawachora tu wanavyohangaika na maisha ya kubangaiza
Aaah dah! kazi ngumu hizo yaani bora uwe unabeba ndoo ya zege kutoka flow ya kwanza mpaka ya kumi ghorofaniMkuu skills niazozungumzia hapa ni kufanya marketing and sales .
Hapa DSM kuna kampuni kubwa nafanya nayo Kazi malipo yapo katika mfumo wa Aslimia .
So ndo Kazi hasa nafanya kwahiyo nimeajiriwa na kampuni moja pia nafanya kazi na kampuni tatu kwa malipo ya camission
So Kazi hizi 90% ya wateja nawapata mtandaoni hivyo sihitaji kutoka nyumbani .
Okay wengi wanadhan hivyo.....Sasa si ameandika wanamchukulia vibaya sa mi nikadhani hivyo
Sawa Mkuu.Aaah dah! kazi ngumu hizo yaani bora uwe unabeba ndoo ya zege kutoka flow ya kwanza mpaka ya kumi ghorofani
Ametangaza bidhaa gani?Umelipia tangazo lakini?
Ayaah! Sitaki kusikia habari za hao watu utaniharibia sikuOkay wengi wanadhan hivyo.....
Lakini sidhani km unaweza ajiri punga Tena wale mlenda hutothubutu
Wapo house boy wanapiga kazi hizi fresh tuu!
Mapunga yanaogopa mchana juu ya watu na kujikirimu kwingi
Kuna mmoja nimemwona posta Juzi, yaan nywele Katia wave hv surual kavaa hizi light and soft trouser aseeh..... So bad mkuu!
Tusubiri kipindi mkuu wanguAyaah! Sitaki kusikia habari za hao watu utaniharibia siku
OkTusubiri kipindi mkuu wangu