Kwa sisi ambao huwa tunafanyia kazi ndani , jamii inatutafsiri tofauti sana

Nenda kalime wewe acha uvivu!!!
Maskini ndio wanaohangaika na mishe hizo, Sina haja ya kufanya hayo kwasasa pesa nilizonazo zinanitosha mimi binafsi. Welcome to my new world. huu ujumbe utakuchukiza but take it easy.
 
Maskini ndio wanaohangaika na moshe hizo, Sina haja ya kufanya hayo kwasasa pesa nilizonazo zinanitosha mimi binafsi. Welcome to my new world. huu ujumbe utakuchukiza but take it easy.
Kalime bwana!!!
 
Wuke d kama hii unatakiwa mwanawane unchat na warembonu awakarinisha nyumba hapo full kiyoyoz, friedge imeja masavvanah nyama choma unaagiza wanaleta kinachobaki ninkugoga 3some tuu maisha murwaaaaa.
Mie mambo ya kukesha bar siyawezi
Sijaona kitimoto hapo, vp ni ustaadh mzabzab ?
 
Najishughulisha na kusoma
Elimu yangu chuo kikuu
English yangu level ya kati
Kwa hiyo bado upo chuo basi tuu ni kuambie kupata hizo kazi sio jambo jepesi kama unaweza soma Digital marketing au Data science au any computer programing skills basi unaweza ku compete kwenye Upwork na kupata kazi kirahisi
 
Kipato cha 3ml kwa mwezi utembelee gari Kali?
Dogo acha janjajanja
 
Kwa hiyo bado upo chuo basi tuu ni kuambie kupata hizo kazi sio jambo jepesi kama unaweza soma Digital marketing au Data science au any computer programing skills basi unaweza ku compete kwenye Upwork na kupata kazi kirahisi
Basi nimeghairisha
 
😇Hizo ndyo KAZI za ndani? au unataka uwe na KAZI ya umachinga?
 
Wameanza kukuita wee ni freemason au Chuma ulete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…