Maskini ndio wanaohangaika na mishe hizo, Sina haja ya kufanya hayo kwasasa pesa nilizonazo zinanitosha mimi binafsi. Welcome to my new world. huu ujumbe utakuchukiza but take it easy.Nenda kalime wewe acha uvivu!!!
kwanza unajishughulisa na nini sasa hivi? elimu yako level gani na english yako level gani?Wapi iko hiyo course
Kalime bwana!!!Maskini ndio wanaohangaika na moshe hizo, Sina haja ya kufanya hayo kwasasa pesa nilizonazo zinanitosha mimi binafsi. Welcome to my new world. huu ujumbe utakuchukiza but take it easy.
Najishughulisha na kusomakwanza unajishughulisa na nini sasa hivi? elimu yako level gani na english yako level gani?
Sijaona kitimoto hapo, vp ni ustaadh mzabzab ?Wuke d kama hii unatakiwa mwanawane unchat na warembonu awakarinisha nyumba hapo full kiyoyoz, friedge imeja masavvanah nyama choma unaagiza wanaleta kinachobaki ninkugoga 3some tuu maisha murwaaaaa.
Mie mambo ya kukesha bar siyawezi
Kitimoto choma napenda napiga na sparkling water yangu lime flavour mukide kabisa kinachobaki ni kuangalia warembo kuisifia kibamiazSijaona kitimoto hapo, vp ni ustaadh mzabzab ?
Hapo kwenye kibamiaz sijui ephen_ ana maoni gani.Kitimoto choma napenda napiga na sparkling water yangu lime flavour mukide kabisa kinachobaki ni kuangalia warembo kuisifia kibamiaz
Kwa hiyo bado upo chuo basi tuu ni kuambie kupata hizo kazi sio jambo jepesi kama unaweza soma Digital marketing au Data science au any computer programing skills basi unaweza ku compete kwenye Upwork na kupata kazi kirahisiNajishughulisha na kusoma
Elimu yangu chuo kikuu
English yangu level ya kati
Hawezi nicheka maana mie nitamcheka hana tako 🤣🤣🤣🤣Hapo kwenye kibamiaz sijui ephen_ ana maoni gani.
Kipato cha 3ml kwa mwezi utembelee gari Kali?Wakuu.
Mimi ni mmoja ya watu ambao huwa nafanyia Kazi zangu ndani.
Mimi Kazi zangu ni za masoko kununua na kuuza.
Hivyo huwa natafuta wateja wa bidhaa kipitia online .
So Mimi kwa siku naweza kuigiza wastani wa 100K sawa na mil 3 kwa mwezi.
So Kutokana na jamii kuwa na mtazamo tofauti wamejikuta wakifikiri Mimi naishi kwa ujanja au natumia ndumba.
Mbaya zaidi natembelea gari Kali , na huwa natoa misaada mbali mbali kwa watu.
So vijana Kazi za nguvu zinaelekea mwisho jitahidi ujue skills mbali mbali.
Basi nimeghairishaKwa hiyo bado upo chuo basi tuu ni kuambie kupata hizo kazi sio jambo jepesi kama unaweza soma Digital marketing au Data science au any computer programing skills basi unaweza ku compete kwenye Upwork na kupata kazi kirahisi
Betting companies zingekufa.Nipe odds mbili mwanawane ..hii nasikia bonge la biashara ukiwa na mtaji wakitosha
Pay attention to the key word mtaji.....wengi hawana. Anaweka 100 apate million 2Betting companies zingekufa.
😇Hizo ndyo KAZI za ndani? au unataka uwe na KAZI ya umachinga?Wakuu.
Mimi ni mmoja ya watu ambao huwa nafanyia Kazi zangu ndani.
Mimi Kazi zangu ni za masoko kununua na kuuza.
Hivyo huwa natafuta wateja wa bidhaa kipitia online .
So Mimi kwa siku naweza kuigiza wastani wa 100K sawa na mil 3 kwa mwezi.
So Kutokana na jamii kuwa na mtazamo tofauti wamejikuta wakifikiri Mimi naishi kwa ujanja au natumia ndumba.
Mbaya zaidi natembelea gari Kali , na huwa natoa misaada mbali mbali kwa watu.
So vijana Kazi za nguvu zinaelekea mwisho jitahidi ujue skills mbali mbali.
Wameanza kukuita wee ni freemason au Chuma uleteWakuu.
Mimi ni mmoja ya watu ambao huwa nafanyia Kazi zangu ndani.
Mimi Kazi zangu ni za masoko kununua na kuuza.
Hivyo huwa natafuta wateja wa bidhaa kipitia online .
So Mimi kwa siku naweza kuigiza wastani wa 100K sawa na mil 3 kwa mwezi.
So Kutokana na jamii kuwa na mtazamo tofauti wamejikuta wakifikiri Mimi naishi kwa ujanja au natumia ndumba.
Mbaya zaidi natembelea gari Kali , na huwa natoa misaada mbali mbali kwa watu.
So vijana Kazi za nguvu zinaelekea mwisho jitahidi ujue skills mbali mbali.
The house never lose.Pay attention to the key word mtaji.....wengi hawana. Anaweka 100 apate million 2
Ofcoz sii mathematicaly wameiset hivyo....wee unakula hela za maskiniThe house never lose.