Kwa tabia hii una tofauti gani na Ibilisi?

Kwa tabia hii una tofauti gani na Ibilisi?

Una jitetea bwana ibilisi
Taja jambo moja ambalo ibilis kafanya na mm nakuwa anauofanya binadamu picha limenza kala tunda kaambiwa usile tunda yeye kala baada ya kula tunda akawa uchi unadhani wazinifu wa sasa walipata ujasiri kama sio kwa baba yao adam alipoambiwa usile yaan usifanya yeye anfanya
 
Ila mungu alikosea sana kusema adam amsujidie iblis maana adam kaombwa na udongo dhalili wakati iblis kaumbwa kwa moto na ukitoa jambo la iblis kukataa kumsujudia adam hana jambo baya alilowahi kufanya hapa duniani wakati huyo mwanadamu ana mabaya kila kukicha na baadhi umeyataja kwa makundi ya watu wanaofanya mabaya kunzia madokata wanausalama viongozi

Nakumbuka malaika walimwambia mungu usiumbe mtu binadamu kwakuwa atakuja kuleta fitna mauvo mabaya duniani ila malaika hawakuwahi kumwambia mungu usimuumbe iblis utakuja kuona iblis hana baya ila watu ndio wabaya ila ushauri wako mzuri saana kwa jamii
Nimeshtuka kuona comment inasema kuwa mwenyezi mungu alikosea ila kuangalia jina la ID basi sikuendelea tena kushtuka

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Ila mungu alikosea sana kusema adam amsujidie iblis maana adam kaombwa na udongo dhalili wakati iblis kaumbwa kwa moto na ukitoa jambo la iblis kukataa kumsujudia adam hana jambo baya alilowahi kufanya hapa duniani wakati huyo mwanadamu ana mabaya kila kukicha na baadhi umeyataja kwa makundi ya watu wanaofanya mabaya kunzia madokata wanausalama viongozi

Nakumbuka malaika walimwambia mungu usiumbe mtu binadamu kwakuwa atakuja kuleta fitna mauvo mabaya duniani ila malaika hawakuwahi kumwambia mungu usimuumbe iblis utakuja kuona iblis hana baya ila watu ndio wabaya ila ushauri wako mzuri saana kwa jamii
Mkuu sio kila kitu utie neno hata usiyoyajua, ibliys alikuwa mkazi kati ya malaika na kile ambacho allah aliwaeleza malaika ndio haki tunayoishuhudia hivi leo, wao walidhani wote ni watiifu kumbe kati yao kuna kiumbe mwenye kiburi kisicho na mfano, na usichokijua ni kuwa ibliys alimchukia aadam hata kabla hajapuliziwa roho na ndio maana baada ya kugoma kumsujudia alipoulizwa badala aombe msamaha yeye anatoa ahadi ya kumpoteza aadam na kizazi chake kuonesha ukubwa wa husda yake juu ya wanaadam na baba yao.Hivyo madhambi anayotenda mwanaadamu ni kutokana na ushawishi wa huyohuyo Iblis Bin Shetan mwenzio.

Mwisho usimpangie allah cha kufanya yeye haulizwi kwa yale anayoyafanya lakini sisi tutaulizwa, kwahyo kabla ya kumpangia allah na kumuhoji kwanini amemtukuza mwanaadamu, wewe andaa majibu ya maswali kuhusu maisha yako hapa duniani.
 
Ni maoni mazuri Kwa hapa duniani

Lakini

Mwenyezi Mungu yeye ndio muuumba wetu kwahiyo kitendo cha Ibilisi kuleta Kiburi mwa Muumba wake kilikuwa ni Kiburi Kikubwa Sana.

Na Kiburi ni sifa ya Mwenyezi Mungu kwahiyo aliingia katika anga za mwenye mwenye

Nimeshtuka kuona comment inasema kuwa mwenyezi mungu alikosea ila kuangalia jina la ID basi sikuendelea tena kushtuka

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mungu ana sifa zote uazozijua ziwe mbaya au nzuri
 
Mkuu sio kila kitu utie neno hata usiyoyajua, ibliys alikuwa mkazi kati ya malaika na kile ambacho allah aliwaeleza malaika ndio haki tunayoishuhudia hivi leo, wao walidhani wote ni watiifu kumbe kati yao kuna kiumbe mwenye kiburi kisicho na mfano, na usichokijua ni kuwa ibliys alimchukia aadam hata kabla hajapuliziwa roho na ndio maana baada ya kugoma kumsujudia alipoulizwa badala aombe msamaha yeye anatoa ahadi ya kumpoteza aadam na kizazi chake kuonesha ukubwa wa husda yake juu ya wanaadam na baba yao.Hivyo madhambi anayotenda mwanaadamu ni kutokana na ushawishi wa huyohuyo Iblis Bin Shetan mwenzio.

Mwisho usimpangie allah cha kufanya yeye haulizwi kwa yale anayoyafanya lakini sisi tutaulizwa, kwahyo kabla ya kumpangia allah na kumuhoji kwanini amemtukuza mwanaadamu, wewe andaa majibu ya maswali kuhusu maisha yako hapa duniani.
Swadakta Al akhy
 
Tabia iliyomponza Ibilisi ni KIBURI. Baada ya kuambiwa na Mwenyezi Mungu amsujudie Adam sijida ya heshima basi yeye alikataa Kwa kujawa na Kiburi kwasababu yeye alijiona Bora Sana .

Na alipoambiwa kwanini ulikataa kumsujudia Adam akasema;

Mimi ni Bora nimeumbwa Kwa Moto na yeye ameumbwa na Udongo

Kwahiyo Ibilisi akajiona yeye ni Bora zaidi ndio maana akakataa amri ya ya Mola wake.

Na Mwenyezi Mungu anasema hakika Kiburi ndio vazi lake kwahiyo yeyote ambaye analeta kiburi basi anafanya kosa kubwa Sana.

Na ili ujue Kibri ni kosa kubwa Sana mpaka Mwenyezi Mungu akamhukumu Ibilisi aende Motoni ,ebu tuangalie Ibilisi alikuwa wa namna gani.

Inasemwa Ibilisi alikuwa anafanya ibada Sana kiasi ambacho hakuna sehemu yoyote katika ardhi hakuacha Kusujudu,alisujudu kila sehemu Kwa AJILI ya kumwabudu Mola wake

Lakini

Pamoja na yote hayo basi Kiburi kikamuweka mbali na Mola wake na kuhukumiwa adhabu mbaya kabisa


Sasa baadhi yetu nasi tuna Uibilisi Fulani hivi ingawa ukitutazama machoni tunaonekana kama watu vile lakini tumejawa na Kiburi kupindukia katika Maisha yetu.

Kisa wewe ni CEO sehemu Fulani basi unajiona wewe ndio wewe, unajiona mpanaaa na wengine wote unawaona hawana maana kabisa,husikilizi shida za wafanyakazi wako,hujali mahitaji Yao kwasababu wewe ndio kila kitu hapo,usichojua ni kwamba kila kitu kina mwisho na IPO siku hiyo nafasi utaiacha, kwahiyo usitumie cheo kunyanyasa watu .

Malecture mpo? Nyie nanyi huwa mnajiona mkuu juu Sana kwasababu Maisha ya taaluma ya mwanachuo yapo mikononi mwenu basi mmejawa na Kiburi kuwa angamiza wanafunzi wenu tena saa nyingine kwasababu za kipuuzi Sana,machoni mnaonekana kama watu lkn mna Uibilisi Fulani hivi.

Madaktari na Manesi mpo? Nyie nanyi kwakuwa afya za binadamu wenzenu zipo mikononi mwenu basi Kiburi ni sehemu ya Maisha yenu. Mko radhi wagonjwa wafe au waendelee kupata maumivu kwasababu Tu ya kiburi chenu,tena hawa manesi ndio balaa kabisa,mnayowafanyia wanawake wenzenu huko sehemu za kujifungua yaani Mungu Tu ndio anajua kwakweli, acheni Kiburi mwisho wenu utakuwa mbaya Sana.

Wanausalama kwanza nawapa Salute Kwa heshima yenu! Lakini nanyi pia huwa mnazingua Sana mnapokuwa katika majukumu yenu,kwa nafasi yenu huwa mna Kiburi Sana kwakuwa mna nguvu ambayo mmepewa na Katiba,niwakumbushe Tu ubinadamu ndio kila kitu katika Maisha IPO siku utaacha hayo majukumu na utarudi mtaani na huenda karma itafanya kazi yake.

Hiyo ni mifano michache Tu ambayo nimeitumia lkn watu viburi ambao Wana Uibilisi ndani yake wapo wengi Sana na wanakiburi Sana Kwa nafasi zao hadhi zao walizo kuwa nazo.

Niwakumbushe Tu kwamba Kiburi ni vazi la Mwenyezi Mungu kwahiyo unapokuwa Kiburi ni kana kwamba unataka kuchukua vazi lake nadhani mwisho wake unaujua utakuwaje.

Niwakumbushe nyie ni viumbe WA Allah hamna mnachokimiliki hapa duniani, kwahiyo muishi vizuri na watu na muwatendee wema daima dawamu ili muwe na mwisho mwema.

Ni hayo Tu!

Kazakh destroyer
adriz
Msonjo
baby zu
reymage
To yeye
Mademoiselle
Mkuu hizi ni ngano na hekaya tu. Chanzo cha wanadamu wote siyo Adam. Kama adam alikuwa binadamu wa kwanza nipe sababu ya kwanini wengine ni weusi wengine weupe
 
Mkuu sio kila kitu utie neno hata usiyoyajua, ibliys alikuwa mkazi kati ya malaika na kile ambacho allah aliwaeleza malaika ndio haki tunayoishuhudia hivi leo, wao walidhani wote ni watiifu kumbe kati yao kuna kiumbe mwenye kiburi kisicho na mfano, na usichokijua ni kuwa ibliys alimchukia aadam hata kabla hajapuliziwa roho na ndio maana baada ya kugoma kumsujudia alipoulizwa badala aombe msamaha yeye anatoa ahadi ya kumpoteza aadam na kizazi chake kuonesha ukubwa wa husda yake juu ya wanaadam na baba yao.Hivyo madhambi anayotenda mwanaadamu ni kutokana na ushawishi wa huyohuyo Iblis Bin Shetan mwenzio.

Mwisho usimpangie allah cha kufanya yeye haulizwi kwa yale anayoyafanya lakini sisi tutaulizwa, kwahyo kabla ya kumpangia allah na kumuhoji kwanini amemtukuza mwanaadamu, wewe andaa majibu ya maswali kuhusu maisha yako hapa duniani.
NIpe ushahidi wa andiko iblis alimchukia adam kabla ya kupuliziwa roho
 
Mkuu hizi ni ngano na hekaya tu. Chanzo cha wanadamu wote siyo Adam. Kama adam alikuwa binadamu wa kwanza nipe sababu ya kwanini wengine ni weusi wengine weupe
Mkuu Kwanza bilashaka unajua kuwa Mwenyezi Mungu akitaka Jambo huliambia kuwa na likawa au sio?

Mwenyezi Mungu anasema ametuumba mataifa mbali mbali na rangi mbali mbali ili tufahamiane Tu Ila mbora wetu ni Mcha Mungu.

Sasa kama Mungu kaumba ulimwengu wote huu mkuu,je rangi ndio iwe tatizo?
 
Tabia iliyomponza Ibilisi ni KIBURI. Baada ya kuambiwa na Mwenyezi Mungu amsujudie Adam sijida ya heshima basi yeye alikataa Kwa kujawa na Kiburi kwasababu yeye alijiona Bora Sana .

Na alipoambiwa kwanini ulikataa kumsujudia Adam akasema;

Mimi ni Bora nimeumbwa Kwa Moto na yeye ameumbwa na Udongo

Kwahiyo Ibilisi akajiona yeye ni Bora zaidi ndio maana akakataa amri ya ya Mola wake.

Na Mwenyezi Mungu anasema hakika Kiburi ndio vazi lake kwahiyo yeyote ambaye analeta kiburi basi anafanya kosa kubwa Sana.

Na ili ujue Kibri ni kosa kubwa Sana mpaka Mwenyezi Mungu akamhukumu Ibilisi aende Motoni ,ebu tuangalie Ibilisi alikuwa wa namna gani.

Inasemwa Ibilisi alikuwa anafanya ibada Sana kiasi ambacho hakuna sehemu yoyote katika ardhi hakuacha Kusujudu,alisujudu kila sehemu Kwa AJILI ya kumwabudu Mola wake

Lakini

Pamoja na yote hayo basi Kiburi kikamuweka mbali na Mola wake na kuhukumiwa adhabu mbaya kabisa


Sasa baadhi yetu nasi tuna Uibilisi Fulani hivi ingawa ukitutazama machoni tunaonekana kama watu vile lakini tumejawa na Kiburi kupindukia katika Maisha yetu.

Kisa wewe ni CEO sehemu Fulani basi unajiona wewe ndio wewe, unajiona mpanaaa na wengine wote unawaona hawana maana kabisa,husikilizi shida za wafanyakazi wako,hujali mahitaji Yao kwasababu wewe ndio kila kitu hapo,usichojua ni kwamba kila kitu kina mwisho na IPO siku hiyo nafasi utaiacha, kwahiyo usitumie cheo kunyanyasa watu .

Malecture mpo? Nyie nanyi huwa mnajiona mkuu juu Sana kwasababu Maisha ya taaluma ya mwanachuo yapo mikononi mwenu basi mmejawa na Kiburi kuwa angamiza wanafunzi wenu tena saa nyingine kwasababu za kipuuzi Sana,machoni mnaonekana kama watu lkn mna Uibilisi Fulani hivi.

Madaktari na Manesi mpo? Nyie nanyi kwakuwa afya za binadamu wenzenu zipo mikononi mwenu basi Kiburi ni sehemu ya Maisha yenu. Mko radhi wagonjwa wafe au waendelee kupata maumivu kwasababu Tu ya kiburi chenu,tena hawa manesi ndio balaa kabisa,mnayowafanyia wanawake wenzenu huko sehemu za kujifungua yaani Mungu Tu ndio anajua kwakweli, acheni Kiburi mwisho wenu utakuwa mbaya Sana.

Wanausalama kwanza nawapa Salute Kwa heshima yenu! Lakini nanyi pia huwa mnazingua Sana mnapokuwa katika majukumu yenu,kwa nafasi yenu huwa mna Kiburi Sana kwakuwa mna nguvu ambayo mmepewa na Katiba,niwakumbushe Tu ubinadamu ndio kila kitu katika Maisha IPO siku utaacha hayo majukumu na utarudi mtaani na huenda karma itafanya kazi yake.

Hiyo ni mifano michache Tu ambayo nimeitumia lkn watu viburi ambao Wana Uibilisi ndani yake wapo wengi Sana na wanakiburi Sana Kwa nafasi zao hadhi zao walizo kuwa nazo.

Niwakumbushe Tu kwamba Kiburi ni vazi la Mwenyezi Mungu kwahiyo unapokuwa Kiburi ni kana kwamba unataka kuchukua vazi lake nadhani mwisho wake unaujua utakuwaje.

Niwakumbushe nyie ni viumbe wa Allah hamna mnachokimiliki hapa duniani, kwahiyo muishi vizuri na watu na muwatendee wema daima dawamu ili muwe na mwisho mwema.

Ni hayo tu!

Kazakh destroyer
adriz
Msonjo
baby zu
reymage
To yeye
Mademoiselle
Maneno ya mkosaji

Loser!
 
Back
Top Bottom