Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unajiandikia tu mradi uandike, hata huelewi chanzo cha matatizo ni nini.nadhani wapalestina wanatakiwa kukubaliana kuishi na tatizo hili kwasababu haitakuja kutokea hata siku moja Taifa la Israel likafutika, au wayahudi mamilioni yale wakateketezwa au wakarudisha ardhi kwa mtu yeyote yule anayedai ni yake. solution ni kuishi na tatizo hilo kwasababu upande wa Israel wameshajiandaa kuishi na tatizo hilo maisha yao yote wakati upande wa wapalestina hawajajiandaa na asiyejiandaa kukubaliana na ukweli huu ndiye atakayekuwa analialia na kuumia maisha yake yote.
Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.Na wewe una kauli kwa mungu wako? Jisome hapa:
25 Naye aka
2750 vs 1400Haswaa, wayahudi wanagwaya, wamelewa misaili za wanamgambo.
Tatizo nini hapo?Allah alitoa ahadi ya mabikra 72 kwa Wanaume wa Kiislam watakaoingia peponi na kutotoa ahadi yeyote ile kwa Wanawake wa Kiislam ila hajasema wanawake wa kiislam watakaoingia peponi watapewa nini.
Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;
Sunan Ibn Majah Volume 5, Book 37, Hadith 4337—“Abu Umama narrated: "The Messenger of God said, 'Everyone that God admits into paradise will be married to 72 wives; two of them are houris and seventy of his inheritance of the female dwellers of hell. All of them will have libidinous sex organs and he will have an ever-erect penis.”
Quran 56:28-37: We have created (their Companions) of special creation. And made them virgin - pure (and undefiled), - Beloved (by nature), equal in age,-
Quran 37:48-49:
And with them shall be those who restrain the eyes, having beautiful eyes; As if they were eggs carefully protected.
“...they shall have therein Azwajun Mutahharatun (purified mates or wives), (having no menses, stools, urine, etc.) and they will abide therein forever.” This means God will provide pure women for men to have sex with in Paradise.
Neno Masihi maana yake ni Kriso, na kwa lugha nyingine ni "mpaka mafuta na Mungu", the annoited. ninyi mmemkataa Kristo kwasababu hata aya uliyoweka hapo juu imesema mnamwona si chochote, ni mtume tu. pia, mood alileta uongo mmoja, badala ya kutaja Jina la Yesu, kwasababu lina nguvu akaona atawaka moto, akasema "isa bin mariam" ili kupunguza makali. ajabu yake sana, Yesu Kristo na Issa Bin Mariam ni watu wawili tofauti, mmoja ni real Christ, na mwingine ni fiction tu. Isa bin mariam ni fiction, has never existed, wakati Yesu Kristo ni real. nasema hivi kwasababu, leo hii ukitaja Jina la Yesu Kristo hata mashetani unayofuga Faiza yanakimbia, ila kila siku isa bin mariam anatajwa huko kwenu na hakuna hata pepo anayekimbia kwasababu ni fiction tu ambayo shetani aliiunda kukwepa makali ya JIna la Yesu.
kama hujui, hapa duniani hakuna JIna jingine tulilopewa sisi wanadamu litupasalo kuokolewa kwalo, ila Jina la Yesu Kristo tu. Jina la Yesu Kristo ndio jina pekee tumepewa ili tuokoke na tumshinde shetani. kwa JIna la Yesu Kristo kila goti litapiga wa vitu vilivyoko duniani, mbingunu na chini ya nchi na kila ulimi lazima ukiri ya kuwa Yesu Kristo ndiye Bwana na Mwokozi wa ulimwengu. ona namna Jina hili lilivyo la kipekee, very unique hata waovu walipojaribu kulipaka majivu kwa fiction ya Jina la Isa bin mariam, imebuma kwao. ndani ya lile Jina halisi ndiko kwenye Nguvu, ndiko kwenye wokovu, ndiko kwenye uponyaji na ushindi. hakuna mtume au yeyote mwenye Jina la aina hiyo, hajawahi kuwepo, hayupo na hatakuja kuwepo milele, Yesu Kristo ndiye anastahili kwasababu ndiye Mungu aliyefanyika mwili ili akae kwetu na kuubeba udhaifu na dhambi zetu tupate kuokoka na ghadhabu ya Mungu iwajiayo wanadamu wote muda si mrefu. Mungu akusaidie.
Hapo mlipigwa na kitu kizito kichwani.Tatizo nini hapo?
Mkuu acha kupotosha,mpaka sasa 1,400 ni Idadi ya raia wote wa Israel waliokufa kati ya hao wanajeshi 261 kwa mujibu wa Aljazeera.Wayahud kwa maelfu wameuawa wewe unasema wiki 2 tu, akili zako umezificha wapi mkuu? kwa wayahud watu 1,300 tena wanajeshi kufa kwa mara moja ni janga kubwa sana. Waarabu hawaogopi kufa na wanakufa kila siku na wakifa wanafanya sherehe kubwa.
Na wewe una kauli kwa mungu wako? Jisome hapa:
25 Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.
26 Akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِNa wewe una kauli kwa mungu wako? Jisome hapa:
25 Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.
26 Akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.
YESU NI MUNGU! hii ndio imani yangu mimi. Kama vile alivyo baba ndivyo alivyo mwana. Kama tumechezea kichapo acha na sisi tujitetee maana waliouwawa israel na hao wapuuzi wanywa damu hamas ni raia pia. Kwa hiyo palestine ndo Kuna raia kwingine Hakuna raia? Acha ushabiki maandaziNmuamini Yesu kama Mtume na simuamini kama Mungu.
Wayahudi walikujaza ujinga kukwambia kijana wao Yesu kuwa ni mungu, ili kutawale daima. Na wewe umo tu.
Pole sana mungu wako kachezea kichapo cha watoto wadogo, sasa anataka kuuwa Raia zaidi ya million mbili kwa mpigo, kaona kidogo kipdgo hawaishi.
Unafahamu kuwa wayahudi hawamuamini wala kumkubali mungu wako ingawa ni myahudi mwenzao?
Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?YESU NI MUNGU! hii ndio imani yangu mimi. Kama vile alivyo baba ndivyo alivyo mwana. Kama tumechezea kichapo acha na sisi tujitetee maana waliouwawa israel na hao wapuuzi wanywa damu hamas ni raia pia. Kwa hiyo palestine ndo Kuna raia kwingine Hakuna raia? Acha ushabiki maandazi
Upo sahihi.وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ
[ ASH-SHUURA - 7 ]
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mji wa Miaka na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.
وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ
[ ASH-SHUA'RAA - 214 ]
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
ARABS are the true Muslims and the true descendants of Prophet Muhammad (pbuh)..
"Non-Arabs who without shame, called themselves Muslims are just plain Converts whom are lowly cowards with unhonourable souls That were overwhelmed with ease by the Swords of Allah, thus they deserved to be called as our Dogs.."
"Non-Arab muslims deserves to be called as our Dogs.."
Muhammad Al-Arifi Saudi Wahhabi Cleric
Takbirr ✊...YESU Akbar 👊💪👍Upo sahihi.
Yohana 8:58Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?
Wapi Yesu anasema "Mimi Mungu"?Yohana 8:58
Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, MIMI NIKO.
"NIKO" jina la Mungu peke ake. Tunakutana na hili jina pale ambapo Mungu alimtuma Musa kuwatoa wana wa Israel kule Misri.
Imeandikwa
Kutoka 3:13
Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n’nani? Niwaambie nini?
Kutoka 3:14
Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO; akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKO amenituma kwenu.
Haya yote ni kujifariji. Jambo kubwa ni kwamba Hamas wanapigwa na Israel huko Gaza, tuwasaidie. Muisilamu ndugu yake muisilamuwayahudi hawamtabui, wapalestina jamaa yao huyo: