Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Doggy style
Sio upendo, ni ujinga, Kuna wenye uhitaji lakini sio huyuIla watanzania mna upendo sana...mtu maarufu akiumwa mnamchangia..mdada kama huyu naye mnamchangia..
Alienda kuongezea makalio, na huo ndio ukweli,Kama una uwezo changia. Hizi taarifa za kuwa alienda kufanya plastic surgery ya makalio zina ukweli ndani yake? Maana plastic surgery siyo kwaajili ya kuongeza makalio tu.
Chukulia mfano huyo angekuwa ni mwanaume mwenye tatizo la Gynecomastia na amefariki akiwa anafanyiwa plastic surgery, hapo pia usingetoa msaada?
Misungwi tumefikiwa.Kwani kazi ya calio kubwa ni nini huko Dar? Haya mambo huwezi kuyasikia huko Misungwi
Nitumie hiyo namba ya mchango nichume thawabu.Mkuu leo kwangu kesho kwako. Today is me tomorrow is someone. Wee changa tu dada yetu mtanzania mwenzetu arudishwe nyumbani apumzike.
Hahahahaha kweli ni ujingaSio upendo, ni ujinga, Kuna wenye uhitaji lakini sio huyu
Mloganzila hawafi hayo mambo.Mloganzila gharama kubwa ?
Unavyosema kesho kwako, unamaanisha naye ataenda uturuki kufanya surgery ya kalio au?Mkuu leo kwangu kesho kwako. Today is me tomorrow is someone. Wee changa tu dada yetu mtanzania mwenzetu arudishwe nyumbani apumzike.
Kwani hilo kasha likizikwa huko Uturuki familia yake itapoteza nini?Hapo huchangii akawekewe kalio. Bali unachangia mwili wake urudishwe waje kuufukia.
Yeye akiwa hai alifanya upuuzi sawa. Ila ameshafariki, huyo si yeye tena. Ni kasha lake.
Hata huko Wadudu city hayasiki?ππKwani kazi ya calio kubwa ni nini huko Dar? Haya mambo huwezi kuyasikia huko Misungwi
Huwa nashangaa kuna haja gani ya kutumia hela ambayo ingeweza kufanya mambo mengine inaenda kutumika kusafirisha corpse ambayo hata ikizikwa huko doesn't make a difference?Kwani hilo kasha likizikwa huko Uturuki familia yake itapoteza nini?
Wapumzike wanakostahili tu!