Kwa utendaji kazi uliotukuka wa Rais Samia naanza kuziona dalili za upinzani kutafuta visingizio vya kumkimbia na kumkwepa katika Uchaguzi Mkuu ujao

Mobutu Sesseko alikuwa na vyama zaidi ya 30 pale Zaire ambavyo vilikuwa ni mali zake na vikiwa kwenye payroll yake, kila uchaguzi alishinda kwa zaidi ya 90%.

Mabeberu wa Ulaya hawakumpigia kelele maana walizawadiwa kila wakitakacho kwenye ardhi ya Zaire kwa mpumbavu mmoja Mobutu na circle yake wafurahie maisha, walifurahia kweli na kulewa sana.
Haya yote aliyafanya Mobuto akiwa amewaweka rehani ndugu zake weusi wa Zaire.
Leo hii Mobutu hayupo ameshaoza huko ardhini tena amekufa kifala kabisa na kuzikwa Moroco alikotibiwa maana alivyokuwa mjinga alishindwa hata kujenga hospitali na madaktari wanaoweza kumtibu akiumwa huko Zaire.
Mobutu amewaacha ndugu zake waZaire masikini na kwenye hali kubwa ya sintofahamu kwa sababu ya ujinga wake.

Waatanzania wengi ni masikini sana na umasikini wao kwa kiasi kikubwa chanzo chake ni maamuzi mabovu mabovu ya wanasiasa, Leo hii huwezi kusema eti hakuna mshindani ilihali Taifa limejaa watu masikini kila kona, Taifa vijana kwa mamilioni hawana ajira, Taifa hospitalini hakuna madawa na watu wanakufa kwa magonjwa yakipumbavu kabisa, Taifa watu hawalipwi mafao yao, Taifa hata mfuko wa bima ya Taifa tumeshindwa kuuendesha (NHIF), Taifa ambalo mifumo imejaa wezi wa mali za umma, Taifa ambalo matumizi ya serikali ni makubwa huku watu masikini, Taifa ambalo wahitimu mavyuoni wameathiriwa na mfumo mbovu wa elimu, Taifa ambalo kodi na tozo ni mzigo kwa mwananchi. nk nk,
 
Kazi iendelee ya kusifu sifu na kumpamba mtu hata kama hafai,ccm bonge la machizi.
 
 
Haikuchaguliwa bali ilipitishwa na dikteta Magufuri akishirikiana na Mahera pamoja na Ndugai.
Wewe wasema hayo lakini wananchi ndio walio toa Ridhaa kwa CCM kuwatumikia, Ndio maana unaona namna wanavyoendelea kuiamini CCM
 
I think you need some mental checkup,

Honest sikuji lkn I think your has some mental illness
Nakwambia hivi upinzani kwa Sasa hauna Sera Wala ajenda za kwenda kuwashawishi watanzania, Sasa hivi wapinzani wachachee wamebaki kudandia vimatukio vipitavyo Kama ukungu
 
Ccm siyo kanu ,CCM Ina misingi yake ambayo hakuna awezaye kuitikisa hapa nchini, hayupo na hatakuwepo
 
Kazi iendelee ya kusifu sifu na kumpamba mtu hata kama hafai,ccm bonge la machizi.
CCM Ni chama kilichobeba matumaini ya watanzania, Ni chama kiongozi, Ni chama chenye Sera na ajenda zinazogusa maisha ya watanzania, ndio maana mtu akifika ofisi ya CCM anakuwa na Imani ya kupata suluhisho la kero yake
 
Nakwambia hivi upinzani kwa Sasa hauna Sera Wala ajenda za kwenda kuwashawishi watanzania, Sasa hivi wapinzani wachachee wamebaki kudandia vimatukio vipitavyo Kama ukungu
Bwana Mwashambwa uteuzi tuu ndio unakufanya unaandishi vyote hivi.

Ivi uoni hata hii double taxation inayozumbua watu ase .
Kodi unalipa PAYE anakuja mtu anakata tena hata hiyo kidogo ulichobakisha
 
Kazi uliyotumwa unaifanya vizuri manake huangalii hoja zaidi ya kukomaa na ulichotumwa, inasound good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…