Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Mobutu Sesseko alikuwa na vyama zaidi ya 30 pale Zaire ambavyo vilikuwa ni mali zake na vikiwa kwenye payroll yake, kila uchaguzi alishinda kwa zaidi ya 90%.
Mabeberu wa Ulaya hawakumpigia kelele maana walizawadiwa kila wakitakacho kwenye ardhi ya Zaire kwa mpumbavu mmoja Mobutu na circle yake wafurahie maisha, walifurahia kweli na kulewa sana.
Haya yote aliyafanya Mobuto akiwa amewaweka rehani ndugu zake weusi wa Zaire.
Leo hii Mobutu hayupo ameshaoza huko ardhini tena amekufa kifala kabisa na kuzikwa Moroco alikotibiwa maana alivyokuwa mjinga alishindwa hata kujenga hospitali na madaktari wanaoweza kumtibu akiumwa huko Zaire.
Mobutu amewaacha ndugu zake waZaire masikini na kwenye hali kubwa ya sintofahamu kwa sababu ya ujinga wake.
Waatanzania wengi ni masikini sana na umasikini wao kwa kiasi kikubwa chanzo chake ni maamuzi mabovu mabovu ya wanasiasa, Leo hii huwezi kusema eti hakuna mshindani ilihali Taifa limejaa watu masikini kila kona, Taifa vijana kwa mamilioni hawana ajira, Taifa hospitalini hakuna madawa na watu wanakufa kwa magonjwa yakipumbavu kabisa, Taifa watu hawalipwi mafao yao, Taifa hata mfuko wa bima ya Taifa tumeshindwa kuuendesha (NHIF), Taifa ambalo mifumo imejaa wezi wa mali za umma, Taifa ambalo matumizi ya serikali ni makubwa huku watu masikini, Taifa ambalo wahitimu mavyuoni wameathiriwa na mfumo mbovu wa elimu, Taifa ambalo kodi na tozo ni mzigo kwa mwananchi. nk nk,
Mabeberu wa Ulaya hawakumpigia kelele maana walizawadiwa kila wakitakacho kwenye ardhi ya Zaire kwa mpumbavu mmoja Mobutu na circle yake wafurahie maisha, walifurahia kweli na kulewa sana.
Haya yote aliyafanya Mobuto akiwa amewaweka rehani ndugu zake weusi wa Zaire.
Leo hii Mobutu hayupo ameshaoza huko ardhini tena amekufa kifala kabisa na kuzikwa Moroco alikotibiwa maana alivyokuwa mjinga alishindwa hata kujenga hospitali na madaktari wanaoweza kumtibu akiumwa huko Zaire.
Mobutu amewaacha ndugu zake waZaire masikini na kwenye hali kubwa ya sintofahamu kwa sababu ya ujinga wake.
Waatanzania wengi ni masikini sana na umasikini wao kwa kiasi kikubwa chanzo chake ni maamuzi mabovu mabovu ya wanasiasa, Leo hii huwezi kusema eti hakuna mshindani ilihali Taifa limejaa watu masikini kila kona, Taifa vijana kwa mamilioni hawana ajira, Taifa hospitalini hakuna madawa na watu wanakufa kwa magonjwa yakipumbavu kabisa, Taifa watu hawalipwi mafao yao, Taifa hata mfuko wa bima ya Taifa tumeshindwa kuuendesha (NHIF), Taifa ambalo mifumo imejaa wezi wa mali za umma, Taifa ambalo matumizi ya serikali ni makubwa huku watu masikini, Taifa ambalo wahitimu mavyuoni wameathiriwa na mfumo mbovu wa elimu, Taifa ambalo kodi na tozo ni mzigo kwa mwananchi. nk nk,