Kwa vichwa vilivyopo Wizara ya Fedha sasa, Tanzania itakuwa mbali sana kiuchumi kufikia 2030

Kwa vichwa vilivyopo Wizara ya Fedha sasa, Tanzania itakuwa mbali sana kiuchumi kufikia 2030

Mleta uzi ni muimba mapambio tu ya utawala.
Umeshawahi kusikiliza interview za Mafuru akiongelea uchumi, salaleeh; ata simple economic concepts kuzidadavua vizuri hawezi.

Nehemia ata investment hawezi ameenda kuitengenezea serikali madeni balaa na uwekezaji wake wa ovyo NHC their financial statements says it all. Magufuli akaona upuuzi alipotaka kuwekewa government guarantee aendelee kukopa.

Huyo Bade ndio fisadi la kutupa alipokuwa TRA.

Mwigulu ndio salaleh anajua tozo tu, kukopa na uelewa wake wa taxation close to zero.

Ni team ya mapoyoyo mno, vichwa kwa viwango vya JK tu but for the rest of us uwezo wao ni mdogo mno hao watu.
 
Nimefanya utafiti kidogo juu ya habari mbalimbali zinazoandikwa juu ya Tanzania kiuchumi kwa kipindi cha miezi 3 sasa. Kusema kweli hakuna habari mbaya utakayoikuta juu ya Tanzania kiuchumi. Wachambuzi wote wa nje na ndani ya Afrika wanaisema vizuri sana Tanzania. Sio kwenye uwekezaji sio kwenye ukuaji wa uchumi.

Nikaja eneo la pili kujiuliza kwa nini haya yanatokea sasa? Nimekuja kugundua pale Wizara ya Fedha, Rais kaweka watu makini sana ambao kwa maoni yangu bila shaka hawa ndo wanasababisha haya yote yatokee

Rished Bade, Lawrence Mafuru na sasa Nehemia Mchechu watakuja vikwa nishani kama sio 2029 basi 2030.

Wanafanya Mwigulu Nchemba aonekane Waziri wa Fedha mahiri sana kwa Afrika Mashariki na kati kwa sasa.

Walioshauri hawa financial gurus wawekwe kwenye mfumo wa serikali wa uchumi wanastahili pongezi sana.

Kwa hali hii, kuna kila sababu ya kusema Samia anaweza kuja kuwa Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. Hali ya kiuchumi ya nchi inaenda vizuri sana kwa kweli
Tumeshuka kutoka uchumi wa kati hadi uchumi wa chini ndani ya miezi miwili hilo usisahau
 
Nimefanya utafiti kidogo juu ya habari mbalimbali zinazoandikwa juu ya Tanzania kiuchumi kwa kipindi cha miezi 3 sasa. Kusema kweli hakuna habari mbaya utakayoikuta juu ya Tanzania kiuchumi. Wachambuzi wote wa nje na ndani ya Afrika wanaisema vizuri sana Tanzania. Sio kwenye uwekezaji sio kwenye ukuaji wa uchumi.

Nikaja eneo la pili kujiuliza kwa nini haya yanatokea sasa? Nimekuja kugundua pale Wizara ya Fedha, Rais kaweka watu makini sana ambao kwa maoni yangu bila shaka hawa ndo wanasababisha haya yote yatokee

Rished Bade, Lawrence Mafuru na sasa Nehemia Mchechu watakuja vikwa nishani kama sio 2029 basi 2030.

Wanafanya Mwigulu Nchemba aonekane Waziri wa Fedha mahiri sana kwa Afrika Mashariki na kati kwa sasa.

Walioshauri hawa financial gurus wawekwe kwenye mfumo wa serikali wa uchumi wanastahili pongezi sana.

Kwa hali hii, kuna kila sababu ya kusema Samia anaweza kuja kuwa Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. Hali ya kiuchumi ya nchi inaenda vizuri sana kwa kweli!
Hapo NAMI naunga mkono ila Mwingulu ni profetional mzuri ukada wa chama unamponza
 
Mabeberu na mafisadi hapa nyumbani ndio wanaocontrol media .

Wameshapewa fursa waliyokuwa wananyimwa Sasa hivi wanasifia tu.

Jifunze kutumia akili mdogo wangu.
 
Nimefanya utafiti kidogo juu ya habari mbalimbali zinazoandikwa juu ya Tanzania kiuchumi kwa kipindi cha miezi 3 sasa. Kusema kweli hakuna habari mbaya utakayoikuta juu ya Tanzania kiuchumi. Wachambuzi wote wa nje na ndani ya Afrika wanaisema vizuri sana Tanzania. Sio kwenye uwekezaji sio kwenye ukuaji wa uchumi.

Nikaja eneo la pili kujiuliza kwa nini haya yanatokea sasa? Nimekuja kugundua pale Wizara ya Fedha, Rais kaweka watu makini sana ambao kwa maoni yangu bila shaka hawa ndo wanasababisha haya yote yatokee

Rished Bade, Lawrence Mafuru na sasa Nehemia Mchechu watakuja vikwa nishani kama sio 2029 basi 2030.

Wanafanya Mwigulu Nchemba aonekane Waziri wa Fedha mahiri sana kwa Afrika Mashariki na kati kwa sasa.

Walioshauri hawa financial gurus wawekwe kwenye mfumo wa serikali wa uchumi wanastahili pongezi sana.

Kwa hali hii, kuna kila sababu ya kusema Samia anaweza kuja kuwa Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania. Hali ya kiuchumi ya nchi inaenda vizuri sana kwa kweli!
Uchumi ni sayansi ya uzalishaji na ugavi wa rasimali.
Tumezalisha nini mpaka tusifiwe?
Tuna Manufacturing and Processing Industries ngapi? angalau light industries na sio lazima heavy industries!!
 
Uchumi bila production (viwanda) ni sawa na kupiga gitaa.
Uchimi wa uchuuzi.

By the way hao waliwekwa ni wapigaji tu hamna lolote.
Kumekucha!
Taifa litakuja omboleza mbele ya safari,hizi timu ni watu na siyo kwa maslahi ya Taifa!!
92920a3bfcfd4188a46b46f918867bb9_335910116_1315110419346577_2573704875999464657_n.jpg
 
Duh tatizo ni mifumo mibovu tu ndio maana tunawaona wako poa ila kwangu siafiki kabisa kama wako juu kwa uelewa wa uchumi
Tatizo hatufanyi utafiti kwa wataalam wetu na shida kubwa kulamba asali itatucost sana, kila kitu kusifia hata pasipo na mpango
Wanaongea tu kwasababu ya Uchawa,ingia LinkedIn Kuna Watanzania wana CV nzitonzito na wanapiga kazi makampuni ya mbele uko.Sasa hawa Wahuni ndiyo watatusaidia nini? tunawafahamu uwezo wao,hawana jipya!
 
Hapo Kakaangu Paschal Mayala nitakupinga. Bila nchi kujitosheleza kwa chakula kwanza, hakuna maendeleo. Leo hii wananchi wako site huku wanalia hawana uwezo wa kununua chakula maana chote kinaenda nje, maendeleo yanatoka wapi? Pili, bila nchi kutengeneza home purchasing power (ambayo siioni ikitengenezwa) hakuna kwenda popote ila tunaweza kujidanganya kuwa tunaenda.
Wewe taifa limejaa Ma-jobless kibao alafu unasema Uchumi unakua!,unakuaje bila uzalishaji??
Marekani kwenyewe ukimsikiliza Biden anakwambia anapambana kutengeneza ajira kwa Wamarekani na ata Makamu wake Haris anakuja Afrika kusaka Business deals Ili kukuza Uchumi!
Sasa huu Uchumi wa tozo za miamala[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah ajabu sana
Ndio founding CEO wa Daresalaam Stock exchange na founding CEO wa UTT...kichwa cha hatari lakini kama hakithaminiki
Mzee Kitwanga ndiyo haya aliyokuwa anayasema, kwanini watu wenye akili wanapigwa vita kwenye hii nchi?
Siyo Kibola tu,kuna yule jamaa anaitwa Moremi Marwa na yeye alikuwa CEO hapo DSE.
 
Back
Top Bottom