Donatila Wambie ubunifu pia muhimu..na uvivu waache..Mtu akiambiwa kaa hivi,ohhh siwezi...
Unamwambia fanya hivi anakwambia mchungaji kasema...Kidogo mara nimechoka..Yani tafrani..
Mtu Style anayoijua yy ni moja tu popo kanyea mbingu..deile hiyo hiyo wala hataki kujiongeza...Ukipata mume mwaminifu kama mm ndo anaweza kuvumilia..Wengine watachepuka tu
Mie mwenyewe nasubiri solution maana kwakweli hilo ni tatizo, akitoa suluhu naomba uniite.
Ngoja tusubiri, ila lazma itakua ni kuongeza manjonjo tu
Yani hadi itoe cheche, chezea ndoa....Hahahahaaaaa! Mpe mpeeee mama, usiibane asijechepuka, mweeeeh, itawaka moto sasa!
Utafia kifuani ha ha ha
Hahahaaaa! Na manjonjo yenyewe hivi aliyatoa?
Yani hadi itoe cheche, chezea ndoa....
Ntakua nimekufa kishujaa mamy
Yani hadi itoe cheche, chezea ndoa....
Donatila Wambie ubunifu pia muhimu..na uvivu waache..Mtu akiambiwa kaa hivi,ohhh siwezi...
Unamwambia fanya hivi anakwambia mchungaji kasema...Kidogo mara nimechoka..Yani tafrani..
Mtu Style anayoijua yy ni moja tu popo kanyea mbingu..deile hiyo hiyo wala hataki kujiongeza...Ukipata mume mwaminifu kama mm ndo anaweza kuvumilia..Wengine watachepuka tu
Habarini,
Tujikumbushe wanawake, maana ubize wa kazi nao unatufanya tuwanyime wwanaume mchezo uleee...
Naona hili suala bado wanawake halijawakaa sawa, Kumekua na malalamiko huku ndani mengi kuhusiana na wanawake kuwanyima tendo la ndoa waume zao au kuwapa kwa kubeep.
Sikia wewe mwanamke ulieolewa, Ndoa haiwezi kukamilika bila huo mchezo, na wanaume wanatoka nje za ndoa zao kwakua wanawake wao wanawapangia siku za kufanya mapenzi.
Mwanamke hakikisha unampa mumeo mchezo wakati wowote akitaka na pia usisubiri akuombe muandalie mazingira ya kucheza kamchezo hako, mpe mama ale ili asitoroke.
Mwanamke unajifunika muda wote mkiwa ndani acha mwili wako kimtego zaidi. Hatakama umechoka tafuta njia ya kumfanya mumeo aridhike kwa kachezo hako.
Najua makungwi wapo huku, Karibuni tujikumbushe atoto evelynesalt misschaga
watakua na matatizoNa wanaume wanaowabania wenzi wao je?
jamani nasubiria jibu bcoz mi ni mhanga wa kubaniwa na me natoboa hata mwezi bila mchezo
mi hata unipe kila siku nitachepuka tu.siwezi kula maharage kila siku
Ni kweli tendo la ndoa si kila kitu, ila ni moja ya mambo muhimu sana ili ndoa iwe. If sex is terrible, there won't be no marriage. That's why I believe in test-driving before making it black n' white, to save each other from unnecessary drama in case we are no match. She's gotta put her ring on it(figuratively), before I put a ring on it (literally).
copied!Ni kweli tendo la ndoa si kila kitu, ila ni moja ya mambo muhimu sana ili ndoa iwe. If sex is terrible, there won't be no marriage. That's why I believe in test-driving before making it black n' white, to save each other from unnecessary drama in case we are no match. She's gotta put her ring on it(figuratively), before I put a ring on it (literally).