mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,966
- 2,634
Donatila Wambie ubunifu pia muhimu..na uvivu waache..Mtu akiambiwa kaa hivi,ohhh siwezi...
Unamwambia fanya hivi anakwambia mchungaji kasema...Kidogo mara nimechoka..Yani tafrani..
Mtu Style anayoijua yy ni moja tu popo kanyea mbingu..deile hiyo hiyo wala hataki kujiongeza...Ukipata mume mwaminifu kama mm ndo anaweza kuvumilia..Wengine watachepuka tu
Hongera kwakua mwaminifu Mungu azidi kukupigania.
Last edited by a moderator: