Unawaza ajira portal 2024!work up brotherMwisho wake Ni pale pale udsm Nkrumah hall ....
Na atatembelea Sana hii site www.ajira Portal .com .... interview ya kuomba Kazi Dodoma zitakuwa nyingi san ,either anataka au hataki ,,[emoji23] ....
Huko ndipo atakutana na st kayumbao Kwa sasa unawaona kama wamepotea njia
Tafuta hela mkuu uache makasiriko kufananisha masaki na mbaghala. Wakati mwingine watu sio tu kwamba wanawatafutia watoto wao shule za bei ili wapate elimu!!? Hapana wanawatengenezea marafiki flan wa Future. Tuseme kwa mfano mwanangu anasoma shule moja na mtoto wa makamba it's obvious watakuwa marafiki na ndio connection zenyewe ukubwan sio kila uliyesoma nae ukisema umtafute hata mpige story mnakuwa mnaelezana majanga tu. Garamia sana eneo utaloishi na familia maana majiran zako ndio connection za watoto. na gharamia sana elimu ya wanao maana Future yao inategemea na waliomzunguka. Hii biashara ya kulewea pombe bar ada za watoto halafu unakuja hapa kujifanya mshaur wa kijiji mzee acha watu wana mipango yao tayar. Acha kujipa umuhim kwenye life la mtu. Biblia inasema atafutae atapata abishae atafunguliwa na aombae atapewa. So chochote unachokitaka kwa kudhamiria utakipata. Ucwe kama wale watu waliochemka kutafuta hela kwasasa wamebaki kuwasema waliopata ni mafreemasson.Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"
Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.
Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.
Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.
Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.
Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.
Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.
Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.
Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.
Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.
Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.
So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
Life haina formula chini. Ungeniambia waliosoma wote shule hiyo ni madalali wa vyumba mjini au wote waliosoma kayumba by that time nao wote wamefanikiwa ingekuwa ni hoja.Jirani yangu alisoma Tanganyika international school,,,Ile shule husoma watoto ambao wazazi wao hutoka mataifa mbalimbali huja kufanyakazi Tz.Huyo jirani yangu Kwa Sasa ni dalali WA vyumba mjini.🤣
Jirani angu mwingine alisoma st Mary's school,,,Kwa Sasa ni mwinilisti haya makanisa ya mwendokasi.
Jirani WA tatu alisoma Uganda,,,,Kwa Sasa hajulikani anachofanya(Hana kazi)
Tafuta hela.Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"
Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.
Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.
Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.
Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.
Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.
Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.
Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.
Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.
Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.
Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.
So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
Ushauri wako mzuri sana.Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"
Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.
Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.
Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.
Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.
Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.
Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.
Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.
Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.
Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.
Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.
So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
Huyo jamaa ukimsikiliza na kuufuta ushauri wake utakuwa masikini.Tafuta hela.
Shida linapokuja watu wenye akili za kimasikini wanataka wawashauri wenzao waishi kimasikini kama wao.Nasema hiviii mwanangu hatasoma kayumba hata iweje
Mpumbavu tu huyoHuyo jamaa ukimsikiliza na kuufuta ushauri wake utakuwa masikini.
Labda nifulie ile kabisa yaani hakuna namna.Hii inagongelewa na muhuli wa moto,Kisha lamination....
Mwanangu hajasoma kayumba, yupo chuo sasa hivi.. Na sio Nkrumah hall jalalani wala popote karibu na hapo.Mwisho wake Ni pale pale udsm Nkrumah hall ....
Na atatembelea Sana hii site www.ajira Portal .com .... interview ya kuomba Kazi Dodoma zitakuwa nyingi san ,either anataka au hataki ,,[emoji23] ....
Huko ndipo atakutana na st kayumbao Kwa sasa unawaona kama wamepotea njia
hakikaAmini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"
Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.
Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.
Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.
Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.
Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.
Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.
Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.
Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.
Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.
Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.
So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
ni kayumba pekee ambapo mtoto anajuaKayumba nahisi inakosa vyote.
Mungu atutunze tusifike hukoLabda nifulie ile kabisa yaani hakuna namna.
Wazazi wengi hupenda kupeleka watoto wao shule za bei kubwa sio kwamba wapate elimu bora tu(ambayo kimsingi si kweli) ila pia wapate connection yaani kuwaandalia connection mapema. Sijui nimeeleweka hapa🤔🤔
Maisha yameshabadilika sana tokea enzi hizo aise connection ni muhimu sana.
bro umeongea vizuri sana nimekuelewa hasa uliposema kuchelewa kulipa ada sio kushindwa kulipa ada hizo na changamoto na ni suala la kusolve. pia changamoto haikimbiwiWakati tunasoma kijijini, majirani walikuwa wanamshauri mzee kwamba kwa nini anahangaika kusomesha watoto sekondari, kwa nini asituegemeze kwenye kilimo, mbona kinalipa? Mzee aliwajibu kuwa, alikuta babu yake analima, akamuona baba yake analima na ueye akaingia kulima, lakini haoni mabadiliko. So ameamua kusomesha watoto ili wajaribu kupata experience ya tofauti.
Nikirudi kwenye mada, wazazi tulio wengi tunesoma Kayumba. Tunajua raha na karaha zake, fursa na changamoto zake. Tunapojitutumua kuwapeleka huko English mediums, tunataka wapate experience, japo kidogo, tofauti na Kayumba.
Pili, kuchelewa kumlipia mtoto ada sio kushindwa. Ni suala la muda tu. Changamoto hazikimbiwi. Akisolve, mtoto akapokelewa shule, ndo kushinda changamoto huko.
Mwisho kabisa, dunia inabadilika. Msomeshe mtoto kulingana na mahitaji yake ya baadae, sio kwa mahitaji yako.