Kwa Wazazi ambao watoto wenu bado hawajapokelewa shule za English Mediums kwa sababu bado hamjalipa ada, pitieni hapa

Kwa Wazazi ambao watoto wenu bado hawajapokelewa shule za English Mediums kwa sababu bado hamjalipa ada, pitieni hapa

Kupanga ni kuchagua. Junior kama umemuanzisha English Medium muache amalizie huko ukimleta kayumba mpaka akae sawa inabidi ukaribu wa kumuweka sawa. Anakutana na wenzake darasa limejaa , walimu wana stress za kuliwa pesa na Cwt hakuna kubembelezwa mambo ya don't do hakuna ni mapigo na mwendo.
 
Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"

Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.

Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.

Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.

Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.

Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.


Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.

Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.

Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.

Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.

Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.

So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
Tafuta hela mkuu uache makasiriko kufananisha masaki na mbaghala. Wakati mwingine watu sio tu kwamba wanawatafutia watoto wao shule za bei ili wapate elimu!!? Hapana wanawatengenezea marafiki flan wa Future. Tuseme kwa mfano mwanangu anasoma shule moja na mtoto wa makamba it's obvious watakuwa marafiki na ndio connection zenyewe ukubwan sio kila uliyesoma nae ukisema umtafute hata mpige story mnakuwa mnaelezana majanga tu. Garamia sana eneo utaloishi na familia maana majiran zako ndio connection za watoto. na gharamia sana elimu ya wanao maana Future yao inategemea na waliomzunguka. Hii biashara ya kulewea pombe bar ada za watoto halafu unakuja hapa kujifanya mshaur wa kijiji mzee acha watu wana mipango yao tayar. Acha kujipa umuhim kwenye life la mtu. Biblia inasema atafutae atapata abishae atafunguliwa na aombae atapewa. So chochote unachokitaka kwa kudhamiria utakipata. Ucwe kama wale watu waliochemka kutafuta hela kwasasa wamebaki kuwasema waliopata ni mafreemasson.
 
Jirani yangu alisoma Tanganyika international school,,,Ile shule husoma watoto ambao wazazi wao hutoka mataifa mbalimbali huja kufanyakazi Tz.Huyo jirani yangu Kwa Sasa ni dalali WA vyumba mjini.🤣

Jirani angu mwingine alisoma st Mary's school,,,Kwa Sasa ni mwinilisti haya makanisa ya mwendokasi.

Jirani WA tatu alisoma Uganda,,,,Kwa Sasa hajulikani anachofanya(Hana kazi)
Life haina formula chini. Ungeniambia waliosoma wote shule hiyo ni madalali wa vyumba mjini au wote waliosoma kayumba by that time nao wote wamefanikiwa ingekuwa ni hoja.
 
Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"

Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.

Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.

Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.

Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.

Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.


Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.

Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.

Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.

Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.

Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.

So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
Tafuta hela.
 
Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"

Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.

Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.

Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.

Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.

Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.


Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.

Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.

Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.

Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.

Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.

So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
Ushauri wako mzuri sana.
Huu ushauri wako mpelekee Bakhera, Mwigulu, Samia, Diamond na Majaliwa watakushukuru sana.
 
Nasema hiviii mwanangu hatasoma kayumba hata iweje
Shida linapokuja watu wenye akili za kimasikini wanataka wawashauri wenzao waishi kimasikini kama wao.
Una pesa halafu watoto wanasoma Kayumba, unatafuta pesa za kazi gani? Si bora uache kutafuta pesa tu.
Kama pesa ipo lazima itumike hakuna namna.
 
Mtoa mada nnachoweza kukushauri ni tafuta oesa na punguza makasiriko, kwa Tz tuliyonayo leo, asilimia 70 ya watoto wanaosoma Kayumba ni wale ambao either Baba kakimbia majukumu alafu mama hana pesa, au wale watanzania wanzangu wa kipato cja chini ambao baba akiacha buku 5 mezani siku hiyo shangwe. Zaman kusoma Kayumba ilikua sio shida maana hata mwamko wa elimu tu ulikua tatizo. Ila kiukweli kwa sasa kusoma Kayumba ambako waalimu wetu ndo hawa hawa mishahara duni na zero motivation then unategemea atadedicate muda wake kwa mtoto wako… NEVER

TAFUTA PESA MZEE
 
Mwisho wake Ni pale pale udsm Nkrumah hall ....

Na atatembelea Sana hii site www.ajira Portal .com .... interview ya kuomba Kazi Dodoma zitakuwa nyingi san ,either anataka au hataki ,,[emoji23] ....

Huko ndipo atakutana na st kayumbao Kwa sasa unawaona kama wamepotea njia
Mwanangu hajasoma kayumba, yupo chuo sasa hivi.. Na sio Nkrumah hall jalalani wala popote karibu na hapo.
 
Amini nakwambia, hapa duniani kuna watu ambao wanahitaji kitu kimoja tu. Nacho ni mtu wa kuwaambia " hakuna tatizo kabisa endapo utafanya hivyo " au " usiogope"

Miongoni mwa watu hao ni kundi la wazazi wanao struggle kuwalipia watoto wao ada kwenye shule za kulipia za kiingereza.

Watoto mpaka sasa hivi hawajapokelewa wamebaki nyumbani huku wenzao wapo shuleni wana furahia maisha ya utoto shuleni. Mzazi kichwa kinaelekea kupasuka kwa sababu ambazo kimsingi hazina kichwa wala miguu.

Amini nakwambai , it is very much okay kumhamishia mtoto wako kwenye shule ya Kayumba.

Hakuna tatizo lolote kama utafanya hivyo. Wengi wanafanya hivyo kwa wingi sasa hivi and it is very much okay.

Usi babaishwe na hoja dhaifu kwamba " Tunalipa pesa nyingi kwa sababu tunathamini future za watoto wetu" . Hakuna lolote kwa sababu👇

Kuna tofauti kubwa sana kati ya kununua kitu kwa bei ya juu VS kununua kitu chenye thamani ya juu.


Kununua kitu kwa bei ya juu = Kupigwa.

Wewe kununua kitu kwa bei ya juu haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani ya juu. Ila maana yake ni kwamba muuzaji amekushawishi wewe uamini kwamba kitu hicho bei yake ni ya juu. Wewe kulipa kwa bei ya juu tafsiri yake ni kwamba umeingia kwenye mfumo wa muuzaji wala haimaanishi kwamba kitu hicho kina thamani hiyo.

Unaponunua IPhone kwa sh. Milioni 3 haimaanishi kwamba thamani ya IPhone ni sh milioni 3 ila ina maanisha kwamba muuzaji amekushawishi uamini kwamba thamani ya I phone ni sh milioni 3.

Inawezekana gharama za uzalishaji kwa kila iPhone moja ikawa dola moja au hata chini ya hapo ila wewe unauziwa milioni 3. Na huo unaweza kuwa ndio ukweli wenyewe kwa sababu kwa mabepari , business is when you buy an item for 50 Cent and sell it for 2000 usd. Capitalism is all about minimizing the cost of production in order to maximize the profit. Capitalism is always characterized by unequal exchange.

Hata hayo mamilioni unayo lipa unapigwa tu mkuu ( bwege mtozeni) wala haimaanishi ndio thamani ya anachopewa mtoto wako shuleni.

So ushauri wangu kwako bado hujachelewa. Peleka mtoto wako Kayumba. Utakuja kunishukuru sana.
hakika
 
Wazazi wengi hupenda kupeleka watoto wao shule za bei kubwa sio kwamba wapate elimu bora tu(ambayo kimsingi si kweli) ila pia wapate connection yaani kuwaandalia connection mapema. Sijui nimeeleweka hapa🤔🤔

Maisha yameshabadilika sana tokea enzi hizo aise connection ni muhimu sana.

Sasa shuleni mtu anapata connection gani?
Afrika inamambo
 
Wakati tunasoma kijijini, majirani walikuwa wanamshauri mzee kwamba kwa nini anahangaika kusomesha watoto sekondari, kwa nini asituegemeze kwenye kilimo, mbona kinalipa? Mzee aliwajibu kuwa, alikuta babu yake analima, akamuona baba yake analima na ueye akaingia kulima, lakini haoni mabadiliko. So ameamua kusomesha watoto ili wajaribu kupata experience ya tofauti.

Nikirudi kwenye mada, wazazi tulio wengi tunesoma Kayumba. Tunajua raha na karaha zake, fursa na changamoto zake. Tunapojitutumua kuwapeleka huko English mediums, tunataka wapate experience, japo kidogo, tofauti na Kayumba.
Pili, kuchelewa kumlipia mtoto ada sio kushindwa. Ni suala la muda tu. Changamoto hazikimbiwi. Akisolve, mtoto akapokelewa shule, ndo kushinda changamoto huko.

Mwisho kabisa, dunia inabadilika. Msomeshe mtoto kulingana na mahitaji yake ya baadae, sio kwa mahitaji yako.
bro umeongea vizuri sana nimekuelewa hasa uliposema kuchelewa kulipa ada sio kushindwa kulipa ada hizo na changamoto na ni suala la kusolve. pia changamoto haikimbiwi
 
Back
Top Bottom